Kujamiana siyo jambo baya endapo utazingatia haya

Kujamiana siyo jambo baya endapo utazingatia haya

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Ndugu zangu nataka niwatoe wasiwasi kuwa kujamiana sio jambo baya na msiogope kujamiana nawaomba mzingatie yafuatayo:

  • Usijamiane na mme au mke wa mtu
  • Usijamiane na watoto
  • Usimlazimishe mtu kujamiana nawe bila ridhaa yake
  • Zingatika kinga na hakikisha unazuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa
  • Muhimu zingatia kuwa mnaridhiana na mtu unayetaka kucheza nae isiwe kinyume chake hii itakusaidia kujitetea pale mambo meusi yatakapokupata mana wote mnakuwa mliridhiana.
  • Usiendekeze ngono kiasi kwamba utaathiri familia yako

Endapo unazingatia haya basi wewe ngonoka mpaka pale kiuno kitakapovunjika hakuna atakayekusumbua kwani hayo ni maisha na starehe yako.

Kumbuka kuwa hili ni jambo la makubaliano na hakuna mtu au kiumbe yeyote anayeingilia makubaliano ya watu, huwa yanaingiliwa pale mmoja anapokuwa analalamika.

Zingatia zaidi makubaliano kati yako na mtu wako
 
Uzinzi ndio uovu mkuu na ndio chanzo cha maovu yote duniani ikiwemo mapenzi ya jinsia moja

Solution ya haya yote ilikuwa ni kufanya hilo tendo kwenye ndoa tu ila watu wakatafuta visingizio vya kipumbavu vya kuhalalisha uzinzi

Na matokeo yake badala ya kuitwa tendo la ndoa limegeuka kuwa ngono tu ambayo hata wanyama wanaifanya
 
usisubirie mpaka uoe/uolewe

ingekua Mungu anataka watu wasizini, basi angeweka balehe ianze kwenye miaka 30 wakati wa kuoa
Mkuu Mungu alimpa Mwanadamu uwezo wa kuzuia haja za kufanya tendo na kwamba wale wanaolazimisha kulifanya mapema wanajiendekeza tu, napingana na wanaosema sex ni basic need kwa binadamu sababu binadamu hafi kwa kukosa sex, yes basic need ni hitaji ambalo binadamu akilikosa basi lazima atakufa tu
 
Mkuu Mungu alimpa Mwanadamu uwezo wa kuzuia haja za kufanya tendo na kwamba wale wanaolazimisha kulifanya mapema wanajiendekeza tu, napingana na wanaosema sex ni basic need kwa binadamu sababu binadamu hafi kwa kukosa sex, yes basic need ni hitaji ambalo binadamu akilikosa basi lazima atakufa tu
Basi angeweka mtu awe anavutiwa na atakaefunga nae ndoa tu
 
Uzinzi ndio uovu mkuu na ndio chanzo cha maovu yote duniani ikiwemo mapenzi ya jinsia moja

Solution ya haya yote ilikuwa ni kufanya hilo tendo kwenye ndoa tu ila watu wakatafuta visingizio vya kipumbavu vya kuhalalisha uzinzi

Na matokeo yake badala ya kuitwa tendo la ndoa limegeuka kuwa ngono tu ambayo hata wanyama wanaifanya
Kwa maisha ya sasa wala usipate tabu wewe zingatia tu kuwa mwenzako ameridhia manake haya ni makubaliano na kikawaida hakuna mtu au kiumbe anayeingilia makubaliano ya watu
 
Ndugu zangu nataka niwatoe wasiwasi kuwa kujamiana sio jambo baya na msiogope kujamiana nawaomba mzingatie yafuatayo:

  • Usijamiane na mme au mke wa mtu
  • Usijamiane na watoto
  • Usimlazimishe mtu kujamiana nawe bila ridhaa yake
  • Zingatika kinga na hakikisha unazuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa
  • Muhimu zingatia kuwa mnaridhiana na mtu unayetaka kucheza nae isiwe kinyume chake hii itakusaidia kujitetea pale mambo meusi yatakapokupata mana wote mnakuwa mliridhiana.
  • Usiendekeze ngono kiasi kwamba utaathiri familia yako

Endapo unazingatia haya basi wewe ngonoka mpaka pale kiuno kitakapovunjika hakuna atakayekusumbua kwani hayo ni maisha na starehe yako.
Kwa akili yako unafikiri uliletwa duniani kuja kuonesha umahili wa kufanya ngono.
 
basi angeweka mtu awe anavutiwa na atakaefunga nae ndoa tu
Mkuu vitu pekee ambavyo binadamu hawezi kujizuia kwa muda mrefu ni njaa, usingizi, kiu ya maji na pumzi tu basi kwa sababu ni dhahiri utakufa, hayo mengine yote HAKUNA binadamu asiyeweza kujizuia narudia HAYUPO hata ungekuwa na sehemu za siri mwili mzima, ni watu tu wanaamua kujiendekeza na kutafuta sababu za kuhalalisha upumbavu ukisoma saikolojia ya binadamu utaelewa mkuu
 
Kwa akili yako unafikiri uliletwa duniani kuja kuonesha umahili wa kufanya ngono.
Ndugu nataka nikukumbushe kuwa hakikisha unatumia kila kiungo cha mwili wako vizuri katika kazi yake manake binadamu huwa anachoka na kuzeeka sasa utakapovizeesha bure bila kuvipa kazi hii haitakuwa na maana ndugu
 
Back
Top Bottom