Kujamiana siyo jambo baya endapo utazingatia haya

Safi,nimependa ulivyoelezea mkuu
 
Kwani mleta uzi amesemaje?. Naona kama upo nje ya mada.
Hakuna kosa/dhambi, bali tafsiri.
 
Usijamiane na mme au mke wa mtu[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkishakubaliana watu wawili,habari ya dhambi inakuwa hadithi tu!
 
Kipengele cha kwanza kitoe, then mengine tuendelee na mjadala.

Muhimu yawepo makubaliano tu.
 
Wanachoogopa watu ni walichotuambia wamisionari kuwa ni dhambi. Umenena, ni starehe ya pekee Mungu aliyotuzawadia. Sio binadamu tu, kiumbe chochote chanye uhai.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mnaridhiana na mpime Kabisa

Sexy bila Kinga is awesome asikwambie mtu

Utamu ni utamu

Ushauri Tu Vijana wenzagu tusigonge Kila Manzil hata kama unavipesa tafuta pisi Mbili tatu zinajielwa ishi nazo kuwa na wachumba wengi sometime tunaachiwa mikosi na nuksi Tu

Jambo wake za watu tusigonge narudia Tena wake za watu muwapuuze mno ila single mama tuishi nao [emoji8]
 
Kupenda fedha ndio chanzo cha mabaya yote,soma biblia vizuri mkuu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Zingatio la kwanza na la mwisho yanahitikafiana
 
Hapanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena kimewekwa safi kabisa namba moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
umesahau, kufanya ngono na mtu asiye mkeo, yaani uasherati (kwenu msio kwenye ndoa) ni dhambi na itakufanye uende motoni.
 
Ktk mktadha wa mleta mada kuna madhara gani?
- si nke wa ntu.
-si ntoto.
-kuna makubaliano.
Unapofanya na mpenzi wa mtu inamana kwamba unamuumiza yule aliyeko nae, lakini vilevile yule aliye naye anaweza kukudhuru
Watoto hapana kwasababu bado hawawezi kujiongoza wenyewe, wanahitaji kuongozwa na waliowazidi umri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…