BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Biashara niifanyayo sasa iko vizuri tu kiasi nnaweza kuweka akiba ya kutosha
Sasa nipo njiapanda hatua ipi ifuate?
1. Ninawaza kuanza ujenzi kwa hatua...!!msingi...kati kisha kupaua
2. Nifungue biashara nyingine..(ni biashara nzuri na ina hela kama ikipata location nzuri)
Naomba mawazo yenu wadau
Thanks in advance
Sasa nipo njiapanda hatua ipi ifuate?
1. Ninawaza kuanza ujenzi kwa hatua...!!msingi...kati kisha kupaua
2. Nifungue biashara nyingine..(ni biashara nzuri na ina hela kama ikipata location nzuri)
Naomba mawazo yenu wadau
Thanks in advance