Kujenga audio recording booth ya "kienyeji" inaweza gharimu kiasi gani?

Kujenga audio recording booth ya "kienyeji" inaweza gharimu kiasi gani?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Sikuhizi watu wengi wamejiajiri kama content creator. Sasa ukitaka content zenye quality nzuri unahitaji mahali patulivu pa kurekodia sauti. Nauliza kuunda booth ya kienyeji ya kurekodia itaweza gharimu kiasi gani? Hi zile lining kama matrey ya mayai kwa ajili ya kuzuia mwangi zinapatikanawapi? Kitu gani cha kienyeji unaweza kutumia kama mbadala, Unaweza bandika mablanketi maziko ukutani badala ya hizo? Vipi kuhusu suala la hewa ndani ya kibanda cha kurekodia?

Materials za kuchuja sauti ninazozungumzia ni hizo za blue.
1704273892574.jpeg


Bongo kuna mafundi wenye uzoefu na hizi booth?
1704274414266.jpeg


1704274460460.jpeg
 
Hauhitaji yote hayo kufanya content creation, unahitaji sehemu isiyo na kelele tu na mike external hata lavalier ya dola 10, kama chumba kina echo weka mapazia au mataulo ukutani sauti isidunde. Kisha wakati unaedit audio yako ondoa "noise", karibia software zote za video/audio zina hiyo feature siku hizi.
 
Sikuhizi watu wengi wamejiajiri kama content creator. Sasa ukitaka content zenye quality nzuri unahitaji mahali patulivu pa kurekodia sauti. Nauliza kuunda booth ya kienyeji ya kurekodia itaweza gharimu kiasi gani? Hi zile lining kama matrey ya mayai kwa ajili ya kuzuia mwangi zinapatikanawapi? Kitu gani cha kienyeji unaweza kutumia kama mbadala, Unaweza bandika mablanketi maziko ukutani badala ya hizo? Vipi kuhusu suala la hewa ndani ya kibanda cha kurekodia?

Materials za kuchuja sauti ninazozungumzia ni hizo za blue.
View attachment 2860776

Bongo kuna mafundi wenye uzoefu na hizi booth?
View attachment 2860779

View attachment 2860780
Kama unaishi nyumba isiyokuwa na kelele, basi chumba chenye nguo ziliotundikwa na mashelf ya vitabu ni bora sana sawa tu na kurekodia kwenye gari.
Gari ni bonge moja la booth
 
Sikuhizi watu wengi wamejiajiri kama content creator. Sasa ukitaka content zenye quality nzuri unahitaji mahali patulivu pa kurekodia sauti. Nauliza kuunda booth ya kienyeji ya kurekodia itaweza gharimu kiasi gani? Hi zile lining kama matrey ya mayai kwa ajili ya kuzuia mwangi zinapatikanawapi? Kitu gani cha kienyeji unaweza kutumia kama mbadala, Unaweza bandika mablanketi maziko ukutani badala ya hizo? Vipi kuhusu suala la hewa ndani ya kibanda cha kurekodia?

Materials za kuchuja sauti ninazozungumzia ni hizo za blue.
View attachment 2860776

Bongo kuna mafundi wenye uzoefu na hizi booth?
View attachment 2860779

View attachment 2860780
Tafuta mic nzuri aina ya condenser,

Mic za kichina nyingi ni condenser lakini zitakugharimu kwenye environment mana zinadaka sana sauti mbali na unayoitoa wewe, noise cancellation ni poor, hasa kama unapofanya content creation unaishi na familia utanielewa vizuri.

Ila mambo ya booth ni ya zamani, sikuizi hata studio nyingi hazina booth, kupunguza echo unaweza tumia hata tray chache tu za mayai
 
Tafuta mic nzuri aina ya condenser,

Mic za kichina nyingi ni condenser lakini zitakugharimu kwenye environment mana zinadaka sana sauti mbali na unayoitoa wewe, noise cancellation ni poor, hasa kama unapofanya content creation unaishi na familia utanielewa vizuri.

Ila mambo ya booth ni ya zamani, sikuizi hata studio nyingi hazina booth, kupunguza echo unaweza tumia hata tray chache tu za mayai
Condensor mic nyingi za bei rahisi ni poor quality mics kwanza nyingi katoka recording hazizidi 16bits na sauti inakuwa haina quality na haijashiba.
Condensor mic yenye one direction inafaa.
Shure mic ni nzuri sana
 
Condensor mic nyingi za bei rahisi ni poor quality mics kwanza nyingi katoka recording hazizidi 16bits na sauti inakuwa haina quality na haijashiba.
Condensor mic yenye one direction inafaa.
Shure mic ni nzuri sana
Zipo mic nzuri tu kwa matumizi ya huyu mdau below $40, kwasabu Shure ni ghali mno mkuu,
Hata kwenye live recording sijawahi tumia Shure zaidi ya 5, kwa wanaoback vocal, Sasa ukija kwenye studio condenser angalia best shure ni more than $200
 
Zipo mic nzuri tu kwa matumizi ya huyu mdau below $40, kwasabu Shure ni ghali mno mkuu,
Hata kwenye live recording sijawahi tumia Shure zaidi ya 5, kwa wanaoback vocal, Sasa ukija kwenye studio condenser angalia best shure ni more than $200
Unatumia mic gani ambayo ni chini ya $40?
Ni usb au xlr?
 
Tafuta mic nzuri aina ya condenser,

Mic za kichina nyingi ni condenser lakini zitakugharimu kwenye environment mana zinadaka sana sauti mbali na unayoitoa wewe, noise cancellation ni poor, hasa kama unapofanya content creation unaishi na familia utanielewa vizuri.

Ila mambo ya booth ni ya zamani, sikuizi hata studio nyingi hazina booth, kupunguza echo unaweza tumia hata tray chache tu za mayai
Hi ya matray itafaa sana. Shukrani. Mic nimeona rode nt1 imependekezwa sana. Wanadai itahitajika na preamp, unapendekeza ipi? Kazi yenyewe ni kama podcast/narration.
 
Hivi ukiwa na mic, preamp na pc unaweza kurekodi muziki wa kiprofesional?
Kuna kipindi nilifatilia sana hizo mambo huko youtube na nikaja gundua hili, kuna mwenye studio ya 20 Million na mwingine ana mic + PC na Audio Interface ila tofauti yake wimbo ukitolewa ni mdogo sana.

Mkuu nimecheki pia covers nyingi za youtube watu wanafanyia kwa kutumia hizo tools ulizotaja hapo tu na kazi zinakua nzuri, so mi nakupa go ahead mengine utajiongeza mbele ya safari.
 
Unatumia mic gani ambayo ni chini ya $40?
Ni usb au xlr?
Zipo XLR below $40 kwa matumizi ya YouTube.
Hata BM za mchina zinafanya Kaz fresh tu, anachohitaji ni soundcard au kama ni za USB atafute zipo.
 
Zipo XLR below $40 kwa matumizi ya YouTube.
Hata BM za mchina zinafanya Kaz fresh tu, anachohitaji ni soundcard au kama ni za USB atafute zipo.
Mkuu mic za bm ni mic mbovu kabisa. Labda kama anataka kuwa kama watu wengine. Ila kqa mtu anayejua quality ya sauti na anataka kufanya eding nzuri hawezi tumia mic za BM.
Kama anazitaka zinauzwa pale mikocheni kuanzia 80000 hadi 120000.
Ila ni mic mbovu.
Ukitaka kufanya kitu kikulipe, fanya kwa viwango vya juu. Ndio maana mkbh aliset standard ya ubora wa video na sauti kwa youtubers.
 
Mkuu mic za bm ni mic mbovu kabisa. Labda kama anataka kuwa kama watu wengine. Ila kqa mtu anayejua quality ya sauti na anataka kufanya eding nzuri hawezi tumia mic za BM.
Kama anazitaka zinauzwa pale mikocheni kuanzia 80000 hadi 120000.
Ila ni mic mbovu.
Ukitaka kufanya kitu kikulipe, fanya kwa viwango vya juu. Ndio maana mkbh aliset standard ya ubora wa video na sauti kwa youtubers.
Unataka quality gani ambayo bm mic haiwezi kukupa kwaajili ya YouTube mkuu ?
Mbona hata simu unatoboa nayo tu fresh ?
Ila vocal recording nitakubaliana na wewe, sio youtube
 
Back
Top Bottom