Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,212
Ninataka ufafanuzi wako kwenye eneo hili la Trilioni 60 kuwa ni nyingi zaidi ya kila kitu tulichonacho..Magu amefanya makosa mengi kuliko mazuri,deni la taifa sasa ni 60 tri,yaani ni kubwa kuliko vitu vyote tulivyonavyo kama nchi