Unataka kusema waliotekwa, kujeruhiwa, waliouliwa na kupotezwa walikuwa vitani? Amani haiji bila ncha ya upanga. Huu msemo hutumika kwa watu wanaopigana vita kujikomboa kwa watu madhalimu acha kupotosha watu.
Nchi zote unazoona zimesimama duniani zimemwga damu hasa kuwandoa wasaliti Rwanda leo mnapenda kuitolea mfano ila fuatilia historian take miaka 10 nyuma. utajua kwamba hakuna mamlaka takatifu.
Nchi zote unazoona zimesimama duniani zimemwga damu hasa kuwandoa wasaliti Rwanda leo mnapenda kuitolea mfano ila fuatilia historian take miaka 10 nyuma. utajua kwamba hakuna mamlaka takatifu.