Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro tukutane ukiwa na 50 years ukiwa na hela nyingi alafu huna nyumbaUnaona jinsi ulivyo muoga? What is 50? Muhimu uwe na hela tu maana ukiwa na hela hata watoto wako utawapa hizo nyumba ukiwa na 50. Tafuta hela nyumba itakuja as a by-product na sio unajikakamua hadi ukose hela ya kula kisa unajenga.
Mkuu umenena point za maana. Jenga kwa hela ya faida isiyokuumiza kichwa jenga baada ya kuwa financially stable kwanza utajenga nyumba kali sana na mambo yako hayatayumba.Yupi huyo? Kujenga ni woga tu. Hata ukisoma humu sababu za watu utasikia mara unaweza kupoteza kazi ukakosa kodi,mara biashara itakufa utakosa kodi,ada. Ukiangalia deep unaona ni woga tu. Muhimu tafuta hela, jenga kwa starehe sio hadi unajibana hela ya kula kisa woga utalala nje!
Huwezi fanya kila kitu asset.Nyumba ni asset kama ukiipangisha but ni liability kama ukiishi wewe.
All in all it's all about your dreams and plans and your priorities.
Jamaa una akili nyingi sana, i like the way unavyo fikiria wiselyKama huna kipato cha uhakika inabidi ukazane na ujitihadi kupata kipato cha uhakika na sio kukumbilia kuzika pesa kwenye kiwanja na nyumba ambayo haitakusaidia kupata hicho kipato cha uhakika.
Hii hatua hata Mengi alikufa haijafikia ndio maana alikuwa anakomaa kusakaMkuu umenena point za maana. Jenga kwa hela ya faida isiyokuumiza kichwa jenga baada ya kuwa financially stable kwanza utajenga nyumba kali sana na mambo yako hayatayumba.
Mtu mmoja yupo Canada alisema kule ni kupanga tuu. Kujenga ni gharama kubwa sana. Pia nyumba za kupanga zipo vizuri....ni za serikali. Hata Sweden...na nchi zote za ScandinaviaKwa nchi kama TZ nyumba bora za kuishi ni chache sana, hivyo ni muhimu sana kuendelea kujenga hata kabla ya mishe zingine.
Usilinganishe na nchi za watu ambako nyumba za kupanga zipo kila pale, labda na sisi tutafikia huko lakini sio leo.
Kama unajua ni hulka ya binadamu...itafika wapi ndo ujue upo stable?Wanaokomaa kusaka pesa sio kwamba wote hawako financially stable, kujilimbikizia pesa na mali, kutaka kuwa juu ya wengine ni hulka na asili ya binadamu.
Wanapitaga penye kivuli. Pasiwe juaniUnajengaje njiani?
(Alihoji mtu bwana mmoja akinukuu vitabu vya Dini kuwa sisi ni wapitaji tu hapa Duniani)..
mkuu umenena vyema sanaBiashara ni kipaji na ni hobby pia.
Mimi binafsi nikifanya biashara,siwezi pata kiu ya soda halafu mezani kuna buku naiangalia.
Unawezaona ni kwa namna gani biashara sio fani yangu.
Kingine inabidi tushukuru wafanyakazi wa aina hiyo,maana wanawapisha wasio wafanyakazi nao waishi kupitia biashara, vinginevyo itakuwa ni urafi na roho za ubinafsi.
Hii aliifanya mama kipindi bado mimi na ndugu zangu tunasoma.Wewe wekeza kwenye biashara nunua hiace ndani ya mwaka imekujengea wewe tuache masikini tukimbilie nyumba tuishi kwa Uhuru kwa kujiachia tukiondoa wazo la kulipa Kodi.
Ada za watt tunajenga nyumba inasomesha watoto. Yaani kila mtt akiwa na nyumba yake unamkabidhi ndio anaiomba hela mie sipendi kuombea hela.
Yaani namuwezesha kila mmoja anasimama kwa miguu yake.
Yaani ukiniomba hela nenda ukachukue kule Kodi nabaki mie naishi kwa Uhuru Tena ndio nawagongea.
F ni uhakika tena analejesha mkopo na kuumaliza kabla ya ya miaka sita. huyu ataishi vyema sana maana hii biashara ni kubwa na inafaida sana.Kuwa na maamuzi sahihi ni kipaji:
Watu A, B, C, D,E, F walikopa bank, kila mmoja sh. 20m kwa marejesho ya jumla ya sh. 36m kwa muda miaka 6, Kila mmoja aliamua kuwekeza fedha yake kama ifuatavyo:-
Mtu A
Mtu B
- Aliamua kuwekeza fedha yote kwenye ujenzi wa nyumba, na nyumba haikumalizika iliishia kwenye kupaua.
Mtu C
- Aliamua kuwekeza kwenye ujenzi wa nyumba ndogo,na ilimalizika na hatimaye aliweza kuhamia
Mtu D
- Aliwekeza milioni 10 kwenye ujenzi na kumi kwenye biashara ya kuuza vilevi
Mtu E
- Aliwekeza fedha yote kwenye ujenzi wa ofisi ya ushonaji,ofisi imekamilika ila vitendea kazi bado kukamilisha
Mtu F
- Aliwekeza fedha yote kwenye usafiri wa kutembelea
- Aliwekeza fedha yote kwenye bashara ya vifaa vya ujenzi
Swali,je baada ya miaka sita (6) hawa watu (A,B,C,D,E,F) ni yupi atakuwa na maisha ya kuridhisha?