Kujenga na kumiliki nyumba ya kuishi ni muhimu kwa watu wa kipato cha chini?

Kujenga na kumiliki nyumba ya kuishi ni muhimu kwa watu wa kipato cha chini?

Sababu zinazowafanya vijana wengi kujenga kabla ya biashara ni, biashara ili ifanikiwe inahitaji usimamizi wa karibu sana pia kufanya biashara sio uhakika kwamba itakulipa kuna kupata faida au hasara wakati ukijenga nyumba ni uhakika itakamilika. Kumbukeni wengi wanachukua mikopo Ili kujenga, huwezi kurisk mkopo wa let say mil 50 ukafanye biashara ambayo huna uzoefu nayo na huwezi kuisimamia.
 
Mafanikio ni vile mtu mwenyewe unayatafsiri. Wao kujenga ni mafanikio. Wengine kushika amri za Mungu ndiyo mafanikio, wengine watoto wengi nk. Kila mtu anatafsiri yake ya mafanikio.
Tunazungumzia mafanikio kwa watu wenye utimamu wa akili na bongo zinazofikiri na kuchakata mambo vizuri.
Ni mpumbavu tu atakayesema kuzaa watoto ishirini ambao wanatembea na kaptula za makalio wazi huku wakilala kwenye kijumba cha udongo nayo ni mafaniko.
 
vipo juu na vinazid kupanda
Laiti serikali iki ingilia kati vinaweza kupungua

Mfano kupata uwanja ulio pimwa budget ya kutenga not less than 5M
Cemwnts 14000 mpaka 15500 Tsh
Mabati sasa ni kilioooo
Misumari tu bei juu
 
Mi naona bora mtu aanze na ujenzi kama ana uhakika wa kuuanza na kukamilika
Maana nyumba anaweza kuombea mkopo na akainuka tena pindi mambo yamekwama
Watu wengi wanajenga na maisha yao yanaisha hapo, hawafanyi jambo lingine lolote la maendeleo hadi wanaenda kaburuni. Wanabaki maskini tegemezi hoehae kwa watoto, ndugu na marafiki wakiwa katika nyumba zao!
 
Watu wengi wanajenga na maisha yao yanaisha hapo, hawafanyi jambo lingine lolote la maendeleo hadi wanaenda kaburuni. Wanabaki maskini tegemezi hoehae kwa watoto, ndugu na marafiki wakiwa katika nyumba zao!
Sasa kiongozi kwenye nchi ambayo sera hazieleweki kama mtu kaotea pesa inatosha kujenga ni bora afanye hivyo tu
Kama yupo serious atajenga na ataendelea na bznez kama kawaida
Fikiria mtu ni machinga leo anaambiwa afanye biashara sehemu fln kesho anaambiwa hatakiwi tena
 
Tunazungumzia mafanikio kwa watu wenye utimamu wa akili na bongo zinazofikiri na kuchakata mambo vizuri.
Ni mpumbavu tu atakayesema kuzaa watoto ishirini ambao wanatembea na kaptula za makalio wazi huku wakilala kwenye kijumba cha udongo nayo ni mafaniko.
Mkuu kuna watu hayo ni mafanikio. Na wanajisikia fahari sana. Na yanampa furaha mno. Ukipima kwa akili utaona kama ni shida tupu lakini kwake ni mafanikio.

Hivyo hivyo kwenye kujenga, mtu akijenga anaona amepata mafanikio makubwa. Anajivunia na kuyafurahia. Ila ukiweka kwenye mizani utaona haliendani na akili mtu kuchagua kujenga badala ya kuwekeza. Kila mtu anadefinition yake ya mafanikio.
 
Huingizi chochote zaidi ya kutoa kwa vile hujapangisha. Umeme, maji, ukarabati nk pesa inatoka haiingiii
Mkuu unaposema nyumba ukiishi mwenyewe inakua liability sidhani kama ni sawa. Kwa hiyo wewe utaishi wapi? Utaenda kupanga? Labda uniambie una nyumba nyingine ya kuishi, hivyo moja upangishe.

Sio kila kitu kinachokutoa pesa ni liability (Kwa maana nyingine unatoa pesa kidogo kuliko ambayo ungetoa kama usingekua na nyumba - kiuhalisia unasave hela japo unadhani unatoa). Gharama za kuishi kwako kwa kawaida ni nafuu kuliko kupanga. Kwa maana hiyo kuishi kwenye nyumba yako ni asset na sio liability.
 
Biashara ni kipaji na ni hobby pia.

Mimi binafsi nikifanya biashara,siwezi pata kiu ya soda halafu mezani kuna buku naiangalia.

Unawezaona ni kwa namna gani biashara sio fani yangu.

Kingine inabidi tushukuru wafanyakazi wa aina hiyo,maana wanawapisha wasio wafanyakazi nao waishi kupitia biashara, vinginevyo itakuwa ni urafi na roho za ubinafsi.
Kabisaaa
 
Hovyoo ..sasa haujiulizi kwann na complain vifaa vipo bei juu kama nisingejenga ningewezaje kufahamu bei za vifaa vya ujenzi ...rubbish

Sina muda wa kujiuliza kwa mtu anayelialia, vifaa vikipanda tafuta hela zaidi maisha hayasimami…. ujenge usijenge kulialia haikusaidii.
 
Jaribu kuchukua mkopo mil 80 halafu nunua hiyo eicher nenda na hizo hesabu njoo baada ya miaka miwili uone kama uko realisric au ni zile hadithi za kilimo cha matikiti maji kwa eka na bei ya tikiti kuwa ni wastani wa elfu mbili.
hata kujenga nyumba ya kupangisha bado sio uchaguzi mzuri kibiashara.

mfano nyumba uliyojenga kwa 80mln tabata,unawezapangisha kwa 250-300 kwa mwezi.
300×12=3.6ml÷ 80mln=biashara kichaa.

wakati eicher la 80ml linaingiza 4.5ml kwa mwezi.
4.5mln×12=54 mln
ndani ya miaka 2 tayari hela imesharudi na hapa ni kama si mkataba,kama ni mkataba unaachia gari ukiwa na hela nyingi zaidi.

nyumba si uwekezaji mzuri kabisaa,labda kwa malengo ya muda mrefuja
 
Jaribu kuchukua mkopo mil 80 halafu nunua hiyo eicher nenda na hizo hesabu njoo baada ya miaka miwili uone kama uko realisric au ni zile hadithi za kilimo cha matikiti maji kwa eka na bei ya tikiti kuwa ni wastani wa elfu mbili.
Ni bora hadithi za kilimo cha matikiti kwa eka kuliko kuzika pesa chini.
 
Bahati mbaya biashara sio ya kila mtu, wengine hawawezi kabisa, ni wazuri katika kuajiriwa. Hawa tuwaache lakini haipendezi kujenga kwa shida miaka 10 huku unalipa mkopo. Ilitakiwa wajenge nyumba za kawaida kulingana na kipato chao au wajenge kwa awamu, yaani vinakamilika vyumba 2 unahamia na kuondoa gharama za kodi ili kuongeza nguvu ya kumalizia ujenzi.

Kama una jicho na akili ya biashara huna haja ya kwenda kufukia mtaji. Utakuja kujenga nyumba bila stress na kwa muda mfupi.
 
Ni bora hadithi za kilimo cha matikiti kwa eka kuliko kuzika pesa chini.
Kodi unalipa sh ngapi kwanza kwa mwezi? Ushawza utakapofikia umri wa miaka walau 70 huna hata kibada utakuwa unaishi wapi na kwa nani?
 
Tuache maneno mengi na ujuaji mwingi nyumba nimuhimu sanaa aswa unapokuwa na familia.
Yeye muache huyo ni mjanja ,ngoja kwanza awekeze kwenye biashara na maisha yetu ni uncertainty Yani kila kitu ni uncertainty anayebisha anyooshe mkono juu.
Unapolala hujui Kama utaamka.
 
hata kujenga nyumba ya kupangisha bado sio uchaguzi mzuri kibiashara.

mfano nyumba uliyojenga kwa 80mln tabata,unawezapangisha kwa 250-300 kwa mwezi.
300×12=3.6ml÷ 80mln=biashara kichaa.

wakati eicher la 80ml linaingiza 4.5ml kwa mwezi.
4.5mln×12=54 mln
ndani ya miaka 2 tayari hela imesharudi na hapa ni kama si mkataba,kama ni mkataba unaachia gari ukiwa na hela nyingi zaidi.

nyumba si uwekezaji mzuri kabisaa,labda kwa malengo ya muda mrefu.
Bro wewe wekeza kwenye eicher afu tuletee mrejesho kabisa.
Acha kila mtu ayaishi mawazo yake.
 
Tunazungumzia mafanikio kwa watu wenye utimamu wa akili na bongo zinazofikiri na kuchakata mambo vizuri.
Ni mpumbavu tu atakayesema kuzaa watoto ishirini ambao wanatembea na kaptula za makalio wazi huku wakilala kwenye kijumba cha udongo nayo ni mafaniko.
Mkuu miaka na miaka milongo na milongo ama milenia na milenia mbona binadamu aliishi nyumba ya udongo ,mapangoni,bila hata nguo ama wamefunga ngozi tu hapo kwenye pa kukojolea si waliishi ama unajiona saivi ndo unaishi na huku saivi hata haufurahii maisha Kama walivyoishi hapo zamani.
Nikuambie maisha ya zamani enzi hizo watu walienjoi kuliko saivi. Nowadays you've to work manya hours just paying for some non basic needs shit.
Mbona waeskimo wanaishi kwenye nyumba za barafu mkuu.

Nguo zimekuja tu miaka ya 1960s before that watu walikuwa wanatembea na ngozi tu mkuu na maisha yanaenda.
So impinge huyo jamaa hapo juu kila mtu katika maisha haya Ana matazamio yake kuwa afanikishe Nini.
Ukivaa nguo ya milioni what then?
Binafsi huwa na wish ningezaliwa zamani ni mwendo wa nyama choma matunda pori free from genetic modifications seed, asali, ndege wa porini mayai ya kanga mnatega sungura. Yaani kulikuwa hakuna complications Sana Kama Zama hizi
 
Mkuu miaka na miaka milongo na milongo ama milenia na milenia mbona binadamu aliishi nyumba ya udongo ,mapangoni,bila hata nguo ama wamefunga ngozi tu hapo kwenye pa kukojolea si waliishi ama unajiona saivi ndo unaishi na huku saivi hata haufurahii maisha Kama walivyoishi hapo zamani.
Nikuambie maisha ya zamani enzi hizo watu walienjoi kuliko saivi. Nowadays you've to work manya hours just paying for some non basic needs shit.
Mbona waeskimo wanaishi kwenye nyumba za barafu mkuu.

Nguo zimekuja tu miaka ya 1960s before that watu walikuwa wanatembea na ngozi tu mkuu na maisha yanaenda.
So impinge huyo jamaa hapo juu kila mtu katika maisha haya Ana matazamio yake kuwa afanikishe Nini.
Ukivaa nguo ya milioni what then?
Binafsi huwa na wish ningezaliwa zamani ni mwendo wa nyama choma matunda pori free from genetic modifications seed, asali, ndege wa porini mayai ya kanga mnatega sungura. Yaani kulikuwa hakuna complications Sana Kama Zama hizi
Mapori bado yako duniani, kwa nini hauamii kwenye pori mojawapo ule asali, matuda na sungura wa kuchoma?
 
Bro wewe wekeza kwenye eicher afu tuletee mrejesho kabisa.
Acha kila mtu ayaishi mawazo yake.
sijui kaka umenielewa,kasome post no 2 ni yangu pia.

najaribu kusema ni kwa namna gani biashara si ya kila mtu,na kujenga nyumba ni kama kutimiza hitaji la muhimu,sio kuwekeza kama wengi wananvyotaka kuona.
 
Back
Top Bottom