Mvua inayonyesha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2022
- 267
- 581
Dah Nina kibanda hapa dah kinantesa mnoo kila hela ukitaka upeleke huku familia inakuvuta Shati dah tabu tupu yaaniNdo ukweli mkuu [emoji120][emoji120]
Mke hasaidii?Dah Nina kibanda hapa dah kinantesa mnoo kila hela ukitaka upeleke huku familia inakuvuta Shati dah tabu tupu yaani
Aaa wapi... Kujenga ni woga wa maisha. Kulq maisha kifo hakibishi hodiNdo ukweli mkuu 🙏🙏
Jamani🤭Aaa wapi... Kujenga ni woga wa maisha. Kulq maisha kifo hakibishi hodi
Mzee jazia nyama, tupate ElimuDah nawashauri vijana kama uneweza kujenga ukiwa Bado hujaanza familia itakua Bora Sana kuliko kusubiri wakati majukumu yamekua mengi dah inasumbua Sana inaweza ata kuchukua miaka 10 kukamisha nyumba kila kitu
Kipato kidogo c unajua Kuna madogo pia shule lazimaa xo dah mziki sio kitotoMke hasaidii?
Sasa unajenga... ile unamalizia ujenzi tu unadedi... wahuni wanakuja kumla wife tunda kimasihara kwenye nyumba yakoJamani🤭
Yah ila nazungumzia kwa sisi kipato kidogo mkuuHyo logic haiwi applied kwa wote,
Ila TAFUTA HELA.
[emoji38][emoji38][emoji38] we jamaa bhana mawazo gani hayo xaxaSasa unajenga... ile unamalizia ujenzi tu unadedi... wahuni wanakuja kumla wife tunda kimasihara kwenye nyumba yako
Wanwake vitongaMke hasaidii?
Hapo sawa.. TAFUTA HELA.Yah ila nazungumzia kwa sisi kipato kidogo mkuu
Majukumu kibao mkuu huku Kodi, matumizi ya daily , wazazi upige tufu kidg na ada za watoto na matumizi yao ya kila siku shule sio kitoto lazima kichwa kiumee alafu na umri nao ndo unatupa mkono dahMzee jazia nyama, tupate Elimu
Imetokea kwa besti wangu. Roho inaniuma sana. Shemela anaingiza majamaa utadhani Nabi anafanya sub Utopoloni[emoji38][emoji38][emoji38] we jamaa bhana mawazo gani hayo xaxa