Mvua inayonyesha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2022
- 267
- 581
- Thread starter
- #41
Kweli kabisaa nayaona saiv aiseeJenga nyumba yako ndio uoe, ukifanya kinyume chake basi utapata taabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaa nayaona saiv aiseeJenga nyumba yako ndio uoe, ukifanya kinyume chake basi utapata taabu sana
Kweli mkuu ni kazi mnooo yaanWell said. Kujenga ukiwa na familia yataka moyo unaweza kujuta
Ahsante sana mkuu kwa kutukumbusha sisi vijana ambao hatujao kufanya jambo hili mapema hata la nyumba ya vyumba vitatu then napiga pembeni ya nyumba vyumba viwili vya nje kama madarasa kwa ajili ya wageni nakuwa nimemaliza,hadi hapo kipato changu kitakachokuja kuwa imara Cha kupiga mjumba mkubwaDah nawashauri vijana kama uneweza kujenga ukiwa Bado hujaanza familia itakua Bora Sana kuliko kusubiri wakati majukumu yamekua mengi dah inasumbua Sana inaweza ata kuchukua miaka 10 kukamisha nyumba kila kitu
[emoji38][emoji38] tukiwaza ayo bosi hatutafanya kitu xaxaKama watoto wenyewe ni wake sasa. Kwa uchepukaji ule unaweza kuta mshkaji alikuwa analelea wajuba.
Ni sawa na umnunulie gari mkeo afu wajuba wanaompa hela za mafuta ndio anawaona wana thamani... Mimi ndo maana sipendi kumiliki bastola...
Sasa wewe Acha kuinjoi maisha ukihofia usichokijua. Maisha ni hayahaya[emoji38][emoji38] tukiwaza ayo bosi hatutafanya kitu xaxa
Basi huna mipango mizuri ya matumizi, hiyo pesa ni kubwa sanaNi ndogo au kubwa? mimi wakati naacha kazi hiyo ya utumwa ya kwa jiliwa na wa bongo wenzangu nilikua na lipwa 1.63m take home
Dah nawashauri vijana kama uneweza kujenga ukiwa bado hujaanza familia itakua bora sana kuliko kusubiri wakati majukumu yamekua mengi dah inasumbua Sana inaweza ata kuchukua miaka 10 kukamisha nyumba kila kitu.
Itategemeana na source of fund/pesa kwa wengine wapo kwenye familia wanajenga na wengine wapo kwenye familia. Unaweza kutokuepo kwenye familia na ukashindwa kujenga endapo Huna chanzo cha kuaminika cha pesaDah nawashauri vijana kama uneweza kujenga ukiwa bado hujaanza familia itakua bora sana kuliko kusubiri wakati majukumu yamekua mengi dah inasumbua Sana inaweza ata kuchukua miaka 10 kukamisha nyumba kila kitu.
Achana na jina languDah Nina kibanda hapa dah kinantesa mnoo kila hela ukitaka upeleke huku familia inakuvuta Shati dah tabu tupu yaani
Inategemeana na familia yako, kama mume na mke wote mna kipato, haiwezi kusumbua.Dah nawashauri vijana kama uneweza kujenga ukiwa bado hujaanza familia itakua bora sana kuliko kusubiri wakati majukumu yamekua mengi dah inasumbua Sana inaweza ata kuchukua miaka 10 kukamisha nyumba kila kitu.
Inategemea ila Bora ujenge kabisa kabla ya kuona kwasababu itakupa muda wa wewe kujiweka imara kiuchumi mfano umejenga una miaka 30 unaoa unamiaka 32 unajua inakusaidia mpaka unafika miaka 40 unakua mbali Sana kiuchumi kama unadiscipline ya pesa nzuriiInategemeana na familia yako, kama mume na mke wote mna kipato, haiwezi kusumbua.
Ila pia kama unajenga kabla ya juoa wakau usimalize kabisa ili wife naye awe sehemu ya project..
Hii inasaidia sana wakati wa majanga kama kifo, mara nyingi ndugu wakaisha jua mke hakushiriki basi kuna uwezekano mkubwa akafukuzwa na watoto kupata shida.
Ushauri wangu, weka mazingira mazuri ya ujenzi na na ikiwekena fanya mambo yote ya msingi ila usimalize kabisa..
Utanishukuru siku moja
Na usipokufa?Sasa unajenga... ile unamalizia ujenzi tu unadedi... wahuni wanakuja kumla wife tunda kimasihara kwenye nyumba yako
Watoto watano ? Mi nikadhani usizidishe watatu mkuu, unless una pesa nyingi, ukiwa na watoto watatu kuna kipindi itafika ada za watoto kwa mwaka ni 6M hapo hawajala hawajafanya kitu kingine chochoteMkuu jenga nyumba ndogo, alafu balance watoto wasifuatane sana, pia usizae zaidi ya watoto watano
Kweli mkuu huyuu jamaa anasema tu five child sio MCHEZO kwanza msosi tu wa kila siku kwa kipato kidg wee sio kitotoWatoto watano ? Mi nikadhani usizidishe watatu mkuu, unless una pesa nyingi, ukiwa na watoto watatu kuna kipindi itafika ada za watoto kwa mwaka ni 6M hapo hawajala hawajafanya kitu kingine chochote
Tatizo mtumishi wa umma anacho waza ni kujenga pekee na kusubr kufa..hafikirii hata future za watoto wake hapo baadae. Ni ubinafsi wa hali ya juu mnoo.Kwa mshahara kweli ni changamoto, jikaze upate mtaji ufanye na biashara mkuu wewe sio mtumishi wa serikali milele.