stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Uko sahihi mkuu...Dah nawashauri vijana kama uneweza kujenga ukiwa bado hujaanza familia itakua bora sana kuliko kusubiri wakati majukumu yamekua mengi dah inasumbua Sana inaweza ata kuchukua miaka 10 kukamisha nyumba kila kitu.