Kujenga ukiwa tayari una familia si mchezo

Kujenga ukiwa tayari una familia si mchezo

Hela ya mshahara haijengi ndo maana unaumia imagine mshahara wako take home ni 1.3m monthly, nyumbani matumizi ni 15000 kila siku kwa mwezi 450k usafiri wako ni na luch 5000 kila s siku 150,000 kodi ya nyumba ni 200k, jumla 800,000, salio 700,000 kila mwezi ukiweka kwenye nyumba itakuchukulia miaka 20 kijenga nyumba ya 50m. Kama umeanza kujenga na miaka 40 unaingia nyumba ukiwa 60yrs
Too theoretical ingawa ukweli kwamba atasevu 700,000 hana hiyo jeuri alijitahidi sana Kwa kujibana ni 400k..

Omba kuwe na posho la sivyo matumizi ya hela ni makubwa sana kijamii
 
Nyumba ndogo ndo ya shillkng ngapi? vyumba vingapi wakati una watoto wa kike na kiume, hapo unajipa pressure ya kujenga nyumba nyingine mbeleni
Achana mambo ya shilinngi ngapi tunaposema nyumba ndogo tunainanisha nyumba standard ambayo familia inaweza kukaa haina mambo mengi na unaweza ijenga ikaisha katika ultra

Siyo unajenga nyumba kubwa kutaka ufurahishe watu matokeo yake unapaua unahamia nyumba haina milango haina maximisation sakafu tu unaishia kutesa watoto kwa mafua maama sakafu la zege vumbi lake hatari yani unajenga nyumba ukiambiwa garage za kuweka bandaging na kufunga gypsum board ni pesa ndefu huna unapotezea
Hizi ndio tunasema jengq kipindi nafasi ipo usijilazimishe
 
Bado hiyo nyumba unayoijenga kwa tabu,ukiishimo sana ni 15 years,kisha utamwachia huyo Mkeo ambaye hata haja struggle kuipata kama wewe.

Dunia haipo fair kabisa kwa upande wa Mwanaume.
Ukisema usijenge Kwa haraka ukivuta mapema au kupoteza uwezo wa kutafuta Kwa ugonjwa nk hakuna mtu rangi utaacha kuona,so Bora ujenge ukija kufa mapema sio kesi Mzee hakuna maana ya kuwahi au kuchelewa kufa
 
Embu mkuu njoo na Hesabu ya kima Cha chini Cha mshahara serikarini ili tuone hiyo hesabu
Si ndio hapo,huyo Jamaa anazungumzia maofisa wa taasisi nzuri ila majority hawako huko..

Mwalimu anaanza na 900k Sasa Hadi aje afike huko ameshakaa kazini zaidi ya miaka 10 sawa sawa na maelfu ya wafanyabiashara wengi wa Serikali..

Ndio sababu bila dili za udokozi na ukosefu wa uadilifu wa hapa na pale huwezi kutoboa Kwa salary ni ngumu sana.
 
Too theoretical ingawa ukweli kwamba atasevu 700,000 hana hiyo jeuri alijitahidi sana Kwa kujibana ni 400k..

Omba kuwe na posho la sivyo matumizi ya hela ni makubwa sana kijamii
Mkuu kazi zetu posh zitoke wapi ni kujibana na mshahara wako tu, tena hapo ujaweka ada ya watoto wakina junior and Brain
 
Nyumba ndogo ndo ya shillkng ngapi? vyumba vingapi wakati una watoto wa kike na kiume, hapo unajipa pressure ya kujenga nyumba nyingine mbeleni
Kweli wakati mwingine ni kupeleka mbele majukumu ni Bora ujenge hata kama haitaishaa utamalizia mbele kwa mbele
 
Nyumban kwa wazazi unapigiwa simu unaambiwa hatuna ela ya kula....

Hujakaaa sawa umeungwa kwenye group la michango, afu unaambiwa ahidi...

Hujakaa sawa unaambiwa gesi inaisha, ila ya nondo ipunguze ununue gas....

Nyie wanaume tumeumbwa mateso
Hapoo Sasa ndio mtihani wenyewe mpk kichwa kinaumaa
 
Ukweli ni huo, kijana kama unajishugulisha na unapata kipato anza sasa kuwekeza kwenye ujenzi, wale wenye ajira za uhakika inaweza kuwa rahisi.

Ila wale kwenye mvua, jua vyote ni vyao hakika pambana kuitafuta shilingi na uwekeze, issue ya uwekezaji sasa, maana kuna changamoto sana baadaye.
Kweli kabisaa bro
 
Sasa unajenga... ile unamalizia ujenzi tu unadedi... wahuni wanakuja kumla wife tunda kimasihara kwenye nyumba yako

Kama yule jamaa wa bagamoyo. Aliyezua kizaa zaa za kaburi lake kuwekwa mbele ya nyumba yake
 
Ona kama hili limbukeni, Sasa kauli gan hizo za kuita wenzako masikini na kusema walaaniwe kisa wanadiscuss maswala ya kujenga, kama kuna Uzi ambao hauflow kwenye priorities zako unakaa kimya,Yan kwamba watu wakiwa wanadiscuss maswala ya kujenga wewe unawaita masikini na kusema walaaniwe, uko timamu kweli?
Hilo li Nesi litakuwa li simbe ndo mana lina stress za kuolewa
 
Nyumban kwa wazazi unapigiwa simu unaambiwa hatuna ela ya kula....

Hujakaaa sawa umeungwa kwenye group la michango, afu unaambiwa ahidi...

Hujakaa sawa unaambiwa gesi inaisha, ila ya nondo ipunguze ununue gas....

Nyie wanaume tumeumbwa mateso
Na ukiimaliza kama umeoa kichaa anaanza vitimbwi mgawane 50 kwa 50
 
Na ukiimaliza kama umeoa kichaa anaanza vitimbwi mgawane 50 kwa 50
Hii ndio huwa inakatisha tamaa kwenye hizo mambo...esp kama kipato cha chini...ukiwaza kuwa kunawatu wanaeza chukua hizi mali effortlessly
 
Back
Top Bottom