desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Wewe ni choko ndo mana huwazi kuwa na familia na nyumbaNyie mnaokimbilia kujenga ni mbwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni choko ndo mana huwazi kuwa na familia na nyumbaNyie mnaokimbilia kujenga ni mbwa tu
Pole kwa umasikini ulionao! Najua inauma kupitia hiyo hali pole sanaWewe ni choko ndo mana huwazi kuwa na familia na nyumba
Una umri gani mkuu?Majukumu kibao mkuu huku Kodi, matumizi ya daily , wazazi upige tufu kidg na ada za watoto na matumizi yao ya kila siku shule sio kitoto lazima kichwa kiumee alafu na umri nao ndo unatupa mkono dah
Sasa sisi wa tamisemi tunaopata take home ya 800k itakuajeNi ndogo au kubwa? mimi wakati naacha kazi hiyo ya utumwa ya kwa jiliwa na wa bongo wenzangu nilikua na lipwa 1.63m take home
Hivi ukiwa na 800 Huna familia,haiwezi kutosha?Sasa sisi wa tamisemi tunaopata take home ya 800k itakuaje
Utapata tabu sanqNa usipokufa?
Sasa kuwa na sehemu nzuri ya uhakika wa kulala sio ndio kula maisha kwenyewe, au unataka kulewa halafu ulale barabaraniAaa wapi... Kujenga ni woga wa maisha. Kulq maisha kifo hakibishi hodi
Unapita mule mule mkuuNyumban kwa wazazi unapigiwa simu unaambiwa hatuna ela ya kula....
Hujakaaa sawa umeungwa kwenye group la michango, afu unaambiwa ahidi...
Hujakaa sawa unaambiwa gesi inaisha, ila ya nondo ipunguze ununue gas....
Nyie wanaume tumeumbwa mateso
Ukigundua huielewi ramani yako unapangisha au unauzaTatizo la kuwahi kujenga ni pale unapogundua kia ramani yako ni old fashioned!!
HUWA inauma sana unakuta wenzio wanajenga Brand New Bungalows!!
UleHivi ukiwa na 800 Huna familia,haiwezi kutosha?
Kama ikibidi jaribu punguza matumizi yasiyo ya lazima ikiwemo ada za watoto walio shule za msingi, hamishia shule zetu za St. Kayumba ili upate kusave.Majukumu kibao mkuu huku Kodi, matumizi ya daily , wazazi upige tufu kidg na ada za watoto na matumizi yao ya kila siku shule sio kitoto lazima kichwa kiumee alafu na umri nao ndo unatupa mkono dah
Kuna watu nawajua wanapata milioni 1.5 lakini hawana nyumba wamepanga.Hapo sawa.. TAFUTA HELA.
Hili nalo vijana walitazameKwa mpiga madili ni rahisi, kama huna dili mpaka jasho la jino litakutoka.
Nina Imani tatizo sio uwepo wa Familia, tatizo ni hela kutotosha mahitaji.Dah nawashauri vijana kama uneweza kujenga ukiwa bado hujaanza familia itakua bora sana kuliko kusubiri wakati majukumu yamekua mengi dah inasumbua Sana inaweza ata kuchukua miaka 10 kukamisha nyumba kila kitu.
Noumaa Mzee ada ni kipengele Sana aiseeHili nalo vijana walitazame
Kweli mkuu aisee Wacha kupambaneeKama ikibidi jaribu punguza matumizi yasiyo ya lazima ikiwemo ada za watoto walio shule za msingi, hamishia shule zetu za St. Kayumba ili upate kusave.
Tunashindwa kufikia malengo makubwa kwa sababu kila kitu tunataka tuvimiliki kwa wakati mmoja ilhali kipato hakitoshi.
Maisha mazuri utayapata kupitia malengo yako.