Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Hapo ndio utambue kuwa ukiachalia swala LA age difference between Mme na Mke,hizo stress za majukumu lazima zitafanya ufe haraka.
Imagine hapo utafute kwa akili ya Mke na watoto-chakula bado,bado uhakikishe unamfarahisha mkeo ukiwa ndani ya hizo hizo stress-bado uhakikishe huko unapopatia hela zako pawe sawa.
Kwa hali hiyo kwa nini usife haraka
Imagine hapo utafute kwa akili ya Mke na watoto-chakula bado,bado uhakikishe unamfarahisha mkeo ukiwa ndani ya hizo hizo stress-bado uhakikishe huko unapopatia hela zako pawe sawa.
Kwa hali hiyo kwa nini usife haraka