Kujiajiri/Ujasiriamali ni homa ambayo ikikushika haitoki, ila wahitimu wengi vyuo vikuu wana chanjo tayari!

Kujiajiri/Ujasiriamali ni homa ambayo ikikushika haitoki, ila wahitimu wengi vyuo vikuu wana chanjo tayari!

Kupata kazi au ujasiriamali kwa maoni yangu inategemeana na factors nyingi, kama

Ishu za kiroho (spiritual matters)
Ishu za mahusiano (Relationship matters)
Kujituma (commitment)
Uaminifu
Kujitolea
Availability of relevant information
Connection
Etc

Kwa mfano kuna sehemu moja inaitwa kigadye maharage huwa ni cheap sana
But utapata wapi hii taarifa, nani atakupa

Kila mtu humu aliyefanikiwa kufika mahali flani kwenye kipato aidha kuajiriwa au kujiajiri anaweza kushea yeye alifikaje hapo alipofika utagundua inafall kwenye factors nilizozieleza hapo juu au nyinginezo
Nsomba maelezo kidogo kihusu huko kigadye mkuu
 
Vitabu vinafundisha vitu vingi sana vizuri na vinaongeza maarifa sana, but vitabu vingi hivyo havijaelezea hali yetu ya mazingira ya kiafrica so inakuwa ngumu kuaaply kile ulichokisoma kwenye vitabu ili kufanikiwa, kitu kizuri cha kuongezea hapo tafuta ushauri kutoka kwa wajasiliamali wa hapa waliofanikiwa naamini utaongeza maarifa na utaelewa kinachofanyika na tofautii na kwenye vitabu.
 
Graduates wengi tunachanganywa na vyeti vyetu na zile picha za majoho kwamba tukimaliza tunategemea kwenda kufanya kazki katika shining new office, tupige picha na kupost kuonyesha colleagues kwamba tumefanikiwa.

Hii inatokeo kwa baadhi ya watu wanabahatika wanapata kazi mapema na wengine ndio wanachelewa hawapati/hawajapata Mpaka leo.

Unafanya nini sasa kama umekosa kazi?
Ntazungumzia mimi sababu najua humu hamna graduates kihivyo, wengi wenu ni watu wazima. Ila mimi nimesaidiwa na mtu ambae hata leo simkumbuki kwa jina alikuwa jamaa tu alidai ana njaa akaniuzia kitabu Njiani “Cashflow Quadrant by Robert Kiyosaki” Kwa Buku (1000 Tsh/=). Kile kitabu sikukisoma right away... nilikiacha nkakiweka lakin baadae nikapata mda nkakisoma kimenifungua akili sana. Baada ya hapo nkasoma “The Small Business Bible”- by Steven D. Strauss

Nipo na small retail shop ambayo haifanyi vizuri kivile mpaka sasa ila nna furaha sababu nafanya vitu navyovipenda. kutokana na hayo mauzo madogo ili kuboost nmeongeza online presence kwahiyo nna official website ya kuhuzu hizo electronics accessories, Kama nilivyosema biashara haiko booming ila nna furaha Sababu inaniumiza kichwa ku operate kila kitu finance, sales, Marketing kila kitu nafanya mwenyewe inatesa asikwambie mtu ila at the same time it’s fun.

Tatizo linakuja kwa Wazazi, Marafiki na Colleagues linapokuja swala la Interviews. Nili apply for jobs kipindi hiko sasa siku hizi siendi na nisipoenda naulizwa simu kibao. kiukweli niko kwenye safari mpya nna degree ila bado naona sina maarifa ya kutosha bado ni mgeni sijui kitu, though nna degree field ya business. Kwa kusema ukweli elimu ya chuo inansaidia kwa kiasi chake watu wasidharau elimu.

Wazazi wanafikia kusema kua “una matatizo gani kusoma umesoma kazi hautaki?” Hawajui kuwa interview sio guarantee ya kazi. Mind you nimegraduate with honors sio kwamba nna cheti kibaya hapana.

Kweli labda napoteza maana nlkuwa nakaa kwangu ila sasa hivi niko kwa wazazi nimerudi kupunguza matumizi ya kodi, najikusanya nafanya Delivery kwa wateja wa online pamoja Freelancing Remotely kwa ujuzi nliioupata shulen japo wateja ndio changamoto, Marketing inahitajika paid ads hapo pesa tena. kule Kuna mtu ana operate Brick & Mortar kwenye kale ka store napata faraja atleast nimerahisisha maisha ya mtu mmoja.

Sema hii safari ni ngumu maana kila mtu anakwambia biashara ngumu, biashara ngumu... Kuanzia wazazi wako, familia na Marafiki wote.

Nasoma vitabu nasikiliza podcasts nafanya kazi still bado earnings inasua sua... wenzangu walio kwenye kazi wanaflex nilisema sitaangaika na 9-5 Job...nikisema nianze kuangaika ntakuwa narudi nyuma...(You can quit anytime, why Now?) niko na deal na computer na simu always reading...mpaka macho naona yanaanza kuuma natafuta Anti-Blue ray glasses huku nikiamini mambo yatakuwa sawa.

Kujiajiri sio rahisi kama inavyosemwa, Kwahiyo vijana wengi wanavyolalamika ukosefu wa ajira ni kwamba wanaogopa hii safari sababu sio rahisi.

Mungu akisaidia nkiweza toboa nataka ntafute njia ya kuwasaidia vijana wenzangu kutoka katika hili tatizo. Na document kila kitu ili ntumie kama learning tools kwa wengine.

Kwa yeyote mwenye Marketing Tips au ushauri ningefurahi kusikia kutoka kwenu wazoefu.

Ahsante.
Unatutisha ujue
 
Good lucky, ingawa bongo sisi vijana kuinvest na kutoka ni ngumu na inachanganya Sana unaweza onekana chizi bado ukandamizaji mwingi kwa idara za serikali zinazosimamia biashara ila nakuombea utatusua tu
 
Good lucky, ingawa bongo sisi vijana kuinvest na kutoka ni ngumu na inachanganya Sana unaweza onekana chizi bado ukandamizaji mwingi kwa idara za serikali zinazosimamia biashara ila nakuombea utatusua tu
Idara za serikali nyingi zinataka TAKRIMA ukiwa nazo penyeza rupia.

Tatizo kwa mtu anaeanza biashara hizo mbumba za takrima atazitoa wapi Hela yote Iko calculated kwenge uendeshaji wa biashara

Lazima akwame mahali au apunguze mtaji kufanikisha vibali hapa na pale.

Africa tabu sana.
 
Kabisa, Ahsante sana.
Vitabu vinafundisha vitu vingi sana vizuri na vinaongeza maarifa sana, but vitabu vingi hivyo havijaelezea hali yetu ya mazingira ya kiafrica so inakuwa ngumu kuaaply kile ulichokisoma kwenye vitabu ili kufanikiwa, kitu kizuri cha kuongezea hapo tafuta ushauri kutoka kwa wajasiliamali wa hapa waliofanikiwa naamini utaongeza maarifa na utaelewa kinachofanyika na tofautii na kwenye vitabu.
 
Africa na kitabu wapi na wapi, kama unataka biashara tafuta role model, au tafuta ushauri kwa watu waliofanikiwa utumie ushauri wao. Ndugu utakufa na hayo mavitabu na hautapata chochote.
 
Africa na kitabu wapi na wapi, kama unataka biashara tafuta role model, au tafuta ushauri kwa watu waliofanikiwa utumie ushauri wao. Ndugu utakufa na hayo mavitabu na hautapata chochote.
Kufuata ushauri kwa waliofanikiwa nakubaliana na wewe 💯 ila kwamba wa Africa ndio hatutakiwi kusoma vitabu hapo hauko sahihi kabisa.
 
Mkuu hata usifate ushauri wa waliofanikiwa, wengi wana kona kona nyingi. Kuna walioiba government funds, kuna washirikina wameua ndugu zao, mama zao watoto, wake zao, kuna waliofanya biashara haramu mfano meno ya faru, tembo na nyara mbalimbali za serikali. Kuna waliofanya dili haramu nyinginezo kama uuzaji wa dawa za kulevya, viungo vya binadamu n.k

Hawa wote mwisho wa siku lazima wasafishe fedha zao ndio utasikia mara wamefungua viwanda, mahoteli na biashara mbalimbali. Je una lipi la kujifunza kutoka kwa hawa philanthropist?

Umesoma vitabu vya motivational speakers wa duniani lakini principles zake zinaweza zisiwe relevant kwa nchi yetu. My take is do the hard work in a smart way, hapo hapo ulipoanzia kazania kuzuia leakage ya mapato kama vijana uliowaajiri wanakuibia rekebisha, faida unayopata tanua biashara na ikiwezekana fungua biashara nyingine.
 
Graduates wengi tunachanganywa na vyeti vyetu na zile picha za majoho kwamba tukimaliza tunategemea kwenda kufanya kazki katika shining new office, tupige picha na kupost kuonyesha colleagues kwamba tumefanikiwa.

Hii inatokeo kwa baadhi ya watu wanabahatika wanapata kazi mapema na wengine ndio wanachelewa hawapati/hawajapata Mpaka leo.

Unafanya nini sasa kama umekosa kazi?
Ntazungumzia mimi sababu najua humu hamna graduates kihivyo, wengi wenu ni watu wazima. Ila mimi nimesaidiwa na mtu ambae hata leo simkumbuki kwa jina alikuwa jamaa tu alidai ana njaa akaniuzia kitabu Njiani “Cashflow Quadrant by Robert Kiyosaki” Kwa Buku (1000 Tsh/=). Kile kitabu sikukisoma right away... nilikiacha nkakiweka lakin baadae nikapata mda nkakisoma kimenifungua akili sana. Baada ya hapo nkasoma “The Small Business Bible”- by Steven D. Strauss

Nipo na small retail shop ambayo haifanyi vizuri kivile mpaka sasa ila nna furaha sababu nafanya vitu navyovipenda. kutokana na hayo mauzo madogo ili kuboost nmeongeza online presence kwahiyo nna official website ya kuhuzu hizo electronics accessories, Kama nilivyosema biashara haiko booming ila nna furaha Sababu inaniumiza kichwa ku operate kila kitu finance, sales, Marketing kila kitu nafanya mwenyewe inatesa asikwambie mtu ila at the same time it’s fun.

Tatizo linakuja kwa Wazazi, Marafiki na Colleagues linapokuja swala la Interviews. Nili apply for jobs kipindi hiko sasa siku hizi siendi na nisipoenda naulizwa simu kibao. kiukweli niko kwenye safari mpya nna degree ila bado naona sina maarifa ya kutosha bado ni mgeni sijui kitu, though nna degree field ya business. Kwa kusema ukweli elimu ya chuo inansaidia kwa kiasi chake watu wasidharau elimu.

Wazazi wanafikia kusema kua “una matatizo gani kusoma umesoma kazi hautaki?” Hawajui kuwa interview sio guarantee ya kazi. Mind you nimegraduate with honors sio kwamba nna cheti kibaya hapana.

Kweli labda napoteza maana nlkuwa nakaa kwangu ila sasa hivi niko kwa wazazi nimerudi kupunguza matumizi ya kodi, najikusanya nafanya Delivery kwa wateja wa online pamoja Freelancing Remotely kwa ujuzi nliioupata shulen japo wateja ndio changamoto, Marketing inahitajika paid ads hapo pesa tena. kule Kuna mtu ana operate Brick & Mortar kwenye kale ka store napata faraja atleast nimerahisisha maisha ya mtu mmoja.

Sema hii safari ni ngumu maana kila mtu anakwambia biashara ngumu, biashara ngumu... Kuanzia wazazi wako, familia na Marafiki wote.

Nasoma vitabu nasikiliza podcasts nafanya kazi still bado earnings inasua sua... wenzangu walio kwenye kazi wanaflex nilisema sitaangaika na 9-5 Job...nikisema nianze kuangaika ntakuwa narudi nyuma...(You can quit anytime, why Now?) niko na deal na computer na simu always reading...mpaka macho naona yanaanza kuuma natafuta Anti-Blue ray glasses huku nikiamini mambo yatakuwa sawa.

Kujiajiri sio rahisi kama inavyosemwa, Kwahiyo vijana wengi wanavyolalamika ukosefu wa ajira ni kwamba wanaogopa hii safari sababu sio rahisi.

Mungu akisaidia nkiweza toboa nataka ntafute njia ya kuwasaidia vijana wenzangu kutoka katika hili tatizo. Na document kila kitu ili ntumie kama learning tools kwa wengine.

Kwa yeyote mwenye Marketing Tips au ushauri ningefurahi kusikia kutoka kwenu wazoefu.

Ahsante.
Ushauri wangu; vitabu vingi vya wazungu vimeandikwa kwa kuzingatia mazingira ya biashara ya kwao kwaiyo havipo applicable katika mazingira ya Afrika pia vitabu vipo outdated maana tangu mtu anakusanya tips za kuandika, anachapisha, anatafuta vibali vyote, anapublish kitabu chake ndio kinaingia sokoni huo mlolongo unaweza kuchukua miaka kadhaa kwaiyo unakuta yaliyoandikwa humo tayari ni outdated kwenye mazingira ya leo ambayo dunia inabadilika kila siku, ushauri penda kukusanya information mitaani izo zinakua currently data kuliko kutegemea sana vitabu vya wazungu na hata wabongo wenzako pia.
 
Graduates wengi tunachanganywa na vyeti vyetu na zile picha za majoho kwamba tukimaliza tunategemea kwenda kufanya kazki katika shining new office, tupige picha na kupost kuonyesha colleagues kwamba tumefanikiwa.

Hii inatokeo kwa baadhi ya watu wanabahatika wanapata kazi mapema na wengine ndio wanachelewa hawapati/hawajapata Mpaka leo.

Unafanya nini sasa kama umekosa kazi?
Ntazungumzia mimi sababu najua humu hamna graduates kihivyo, wengi wenu ni watu wazima. Ila mimi nimesaidiwa na mtu ambae hata leo simkumbuki kwa jina alikuwa jamaa tu alidai ana njaa akaniuzia kitabu Njiani “Cashflow Quadrant by Robert Kiyosaki” Kwa Buku (1000 Tsh/=). Kile kitabu sikukisoma right away... nilikiacha nkakiweka lakin baadae nikapata mda nkakisoma kimenifungua akili sana. Baada ya hapo nkasoma “The Small Business Bible”- by Steven D. Strauss

Nipo na small retail shop ambayo haifanyi vizuri kivile mpaka sasa ila nna furaha sababu nafanya vitu navyovipenda. kutokana na hayo mauzo madogo ili kuboost nmeongeza online presence kwahiyo nna official website ya kuhuzu hizo electronics accessories, Kama nilivyosema biashara haiko booming ila nna furaha Sababu inaniumiza kichwa ku operate kila kitu finance, sales, Marketing kila kitu nafanya mwenyewe inatesa asikwambie mtu ila at the same time it’s fun.

Tatizo linakuja kwa Wazazi, Marafiki na Colleagues linapokuja swala la Interviews. Nili apply for jobs kipindi hiko sasa siku hizi siendi na nisipoenda naulizwa simu kibao. kiukweli niko kwenye safari mpya nna degree ila bado naona sina maarifa ya kutosha bado ni mgeni sijui kitu, though nna degree field ya business. Kwa kusema ukweli elimu ya chuo inansaidia kwa kiasi chake watu wasidharau elimu.

Wazazi wanafikia kusema kua “una matatizo gani kusoma umesoma kazi hautaki?” Hawajui kuwa interview sio guarantee ya kazi. Mind you nimegraduate with honors sio kwamba nna cheti kibaya hapana.

Kweli labda napoteza maana nlkuwa nakaa kwangu ila sasa hivi niko kwa wazazi nimerudi kupunguza matumizi ya kodi, najikusanya nafanya Delivery kwa wateja wa online pamoja Freelancing Remotely kwa ujuzi nliioupata shulen japo wateja ndio changamoto, Marketing inahitajika paid ads hapo pesa tena. kule Kuna mtu ana operate Brick & Mortar kwenye kale ka store napata faraja atleast nimerahisisha maisha ya mtu mmoja.

Sema hii safari ni ngumu maana kila mtu anakwambia biashara ngumu, biashara ngumu... Kuanzia wazazi wako, familia na Marafiki wote.

Nasoma vitabu nasikiliza podcasts nafanya kazi still bado earnings inasua sua... wenzangu walio kwenye kazi wanaflex nilisema sitaangaika na 9-5 Job...nikisema nianze kuangaika ntakuwa narudi nyuma...(You can quit anytime, why Now?) niko na deal na computer na simu always reading...mpaka macho naona yanaanza kuuma natafuta Anti-Blue ray glasses huku nikiamini mambo yatakuwa sawa.

Kujiajiri sio rahisi kama inavyosemwa, Kwahiyo vijana wengi wanavyolalamika ukosefu wa ajira ni kwamba wanaogopa hii safari sababu sio rahisi.

Mungu akisaidia nkiweza toboa nataka ntafute njia ya kuwasaidia vijana wenzangu kutoka katika hili tatizo. Na document kila kitu ili ntumie kama learning tools kwa wengine.

Kwa yeyote mwenye Marketing Tips au ushauri ningefurahi kusikia kutoka kwenu wazoefu.

Ahsante.
Chukua kitabu kingine kinaitwa Forex Bible
 
My take is do the hard work in a smart way, hapo hapo ulipoanzia kazania kuzuia leakage ya mapato kama vijana uliowaajiri wanakuibia rekebisha, faida unayopata tanua biashara na ikiwezekana fungua biashara nyingine.
👍🏽
 
Back
Top Bottom