Kujibu Mapigo: Mkutano wa Halima Mdee na Wanahabari Wayeyuka kama theluji mbele ya moto

Baada ya kuona hayo bashiru katumia huo mwanya kuwaalika Ccm
 
Tunajua kabisa watawapa reward, hilo linajulikana.....Wawape na ukuu wa Mikoa na uwaziri.......................... lkn CDM itaheshimu misingi yake.
 
Wazungu na pua zao ndefu hawana jeuri hiyo!
Hahahaaaa... mwenyekiti wa MATAGA mwenyewe anawaheshimu na kuwaogopa sana hadi alifikia kuwaita "wanaume wa shoka", sembuse wewe comrade?
Anawaogopa mnoo ndiyo maana ya hizi sarakasi za kulazimisha Chadema iteue wabunge wa viti maalumu - akaishia kuwateua yeye mwenyewe hawa COVID-19 - that's why nasema wanamwangalia kwa dharaaau sana kwa sababu wanajua anachokitafuta kwao ambacho kiukweli hawatampa!
 
Makada wa chadema usaliti ndo jadai yenu. Hamuaminiki kabisa! We ulisikia wapi hata makatibu wa kuu wa chama kujivua uwanachama na kujiunga na kingine!
Ni uhuru wa mtu kuhama ila kwenu wanaogopa yaliyomkuta Mzee Mangula.
 
Waende huko kwani tayari baadhi ya makada wa CCM wamejimilikisha covid 19 na kuwa michepuko yao rasmi hata Paskal mayala tayari anaishi nyumbani kwa mdee ,kwa mjibu Le mutuz msiri mkubwa wa CCM
 
Hapo Mimi namhurumia Nusrat Hanje, wengine hao wameshiriki kupiga deal. Hanje maskini katolewa jela kiaina na kujikuta anatakiwa aape . Na kwake limefanyika kuhalalisha uhalifu

Hazina ya taifa inatumika visivyo
Hanje chadema wanajua alichezeshwa sinema na mdee pasipo kujua ndiyo maana chadema hawana shida nae wala kumuongelea sana, Tatizo kubwa ni Mdee na Bulaya kwani ndiyo wasuka michongo ya uuzaji na ununuzi wa covid 19 kienyeji kwa njia haramu za kishetani
 
Kwani hao The 19 Dadaz wakihamia CCM Kwetu kuna tatizo au watapatwa na mkasa wowote? Ni Mpumbavu tu pekee ambaye ataichukia CCM hii.
CCM ipi unaisemea isiyo na wapumbavu? Kwani kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu ni ujanja au upumbavu? Kuwanunua covid 19 kienyeji kwa njia haramu za kishetani ni upumbavu au ujanja? Kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani ni upumbavu au ujanja?
 
Hao covid 19 wataitumia mahakamaccm mali binafsi ya CCM kuwa wabunge wa mahakama mpaka 2025 kitu ambacho kisingewezekana kwenye mahakama huru na haki
 
Kina Esther hao wawili wamewaacha wananchi wao waliokuwa pamoja kwenye campaign wakiwa ndani na kesi za kubumba, wengine wameumizwa mwenzao wa Serengeti amepigwa na mwenyekiti wa chama (w) wameumizwa , wengine wamelemazwa . Kumbe wao wanasuka deal la kuwawahi wenzao ktk viti maalumu ?!. INAUMA SANA
 
Tunajua kabisa watawapa reward, hilo linajulikana.....Wawape na ukuu wa Mikoa na uwaziri.......................... lkn CDM itaheshimu misingi yake.
Kuwafuza chadema imeiokoa chama mno kuliko wangebakia chadema ingefariki ghafra na kuwa kama UDP DP TLP NCCR na CUF ya Lipumba
 
Covid 19 ni hatari kwa afya ya binadamu
Chukueni hao viruses

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…