Kujibu Mapigo: Mkutano wa Halima Mdee na Wanahabari Wayeyuka kama theluji mbele ya moto

Kujibu Mapigo: Mkutano wa Halima Mdee na Wanahabari Wayeyuka kama theluji mbele ya moto

Thubutu, kwa moto ule uliowashwa pale ufipani na viongozi wakubwa hao wamama wawatu wangefanyiwa kitu mbaya saanaa. Maana uwanja wote ulijaaa waaandamanaji wafuasi wa chama chenuu huku wakishikilia mabango ya kuwatukanaaa. Hata kama nimtuyeyote asingeweza kujitupa kwenye ule moto uliowashwa na viongozi wakuu wa chama. Kwahekima kubwa yawamama wale waliandika ujumbe kuomba wahudhurie kikao kwa siku walio taja na sababu wakatoa, lakini kulingana na jazba za viongozi hawakuwasikia ombilao. Ingekua hawakuandika ujumbe wowote, ndo tungesema walikaidiii. Walitambua kutatua migogoro wakati wote mnahasira mwishowe nikugombana na kusababisha madhara makubwaaa.
Mkuu ninavyowafahamu wale ni wanawake Wa shoka,Yale mabango kwao so chochote wangeyakabili.
Walirchofanya ni kufuata maagizo ya Muuza ndizi Bashiru ,kuwa wasiende kwenye kikao ili wakifukuzwa chadema basi chama cha mafisi kitawapokea.
 
Akili za ccm hazijawahi kumshinda Mbowe hata siku moja, yaani Mbowe anawajua ccm kuliko ccm wanavyojijua, ni polisi na tiss ndiyo wanaifanya ccm ipumue mbele ya Mbowe ndo maana mara ccm wakifanya michezo yao dhidi ya Mbowe huishia patupu.
 
Watazungumza kesho baada ya Polepole kuapishwa!
Nyie mapimbi mmekazana kukesha mtandaoni kuimba nyimbo za kusifu na kuabudu awamu ya tano , wenzenu kina Polepole wanateuliwa ubunge na atateuliwa kuwa waziri Chakubanga Polepole .
 
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila magerezaccm bila Uhamiajiccm ni weupe sana
Mbaya zaidi sasa hivi wanaongozwa IQ ndogo sana inayoendesha basi 0.000001 kila mpango lazima ubume .
 
Mkuu ninavyowafahamu wale ni wanawake Wa shoka,Yale mabango kwao so chochote wangeyakabili.
Walirchofanya ni kufuata maagizo ya Muuza ndizi Bashiru ,kuwa wasiende kwenye kikao ili wakifukuzwa chadema basi chama cha mafisi kitawapokea.
Wanawake washoka mbele ya kifooo?? Acha ujingaa. Halafu mkutano uitwe office ya chama makaoooo makuu halafu gafula uambiwe tumehama hapoo njoo huku kawee kifichoniii?? Hata ivo ashukuriwe mungu huenda haenda hao wadada tusingewaona tena. Barua ya wito iliwataka waende makaoo makuu ya chama, halafu gafla wakapigiwa simu waende nyumba vingine maeneo tufauti na office , ingekua wewe ungeenda huko ukizingatia wale niwanawakeee?? Acheni kiki kishambaaaa.
 
Yeah na mapambano yanaendelea! Mimi nilitaka tukubali viti maalumu, lakini kwa kuwa chama kimefanya maamuzi, naheshimu maamuzi ya chama!

Mkuu chama kimeheshimu maoni ya wengi. Vinginevyo ingekuwa balaa.

Acha tumsubiri na Seif.

Amandla!
 
Thus umefanyika wa bashiru badala ya wa Mdee.Mdee hawezi kuwa maarufu nje ya chadema.
Mdee na wenzie watahamia cCM na watapewa nyadhifa km ukuu wa mkoa,ukuu wa wilaya wengine watakuwa manaibu waziri,cCm sana nafasi nyingi sana hats zisipotosha mkulu atavunja katiba na atawatafutia nafasi nyingine maana yeye ndiye bunge,mahakama na serikali
 
Utanyooka tu!
Mtanyooka nyie mlioiba kura halali za watanzania na sasa spana imewabana hadi mnawabembeleza Covid 19 waingie bungeni kwa minajili ya kutimiza uharamia mliofanya tarehe 28 October. Na hizo kamati za PAC na LAC muwaweke wabunge wenu wa Ccm waziongoze tuone kama bei ya sukari na saruji itashuka!
 
Mtanyooka nyie mlioiba kura halali za watanzania na sasa spana imewabana hadi mnawabembeleza Covid 19 waingie bungeni kwa minajili ya kutimiza uharamia mliofanya tarehe 28 October. Na hizo kamati za PAC na LAC muwaweke wabunge wenu wa Ccm waziongoze tuone kama bei ya sukari na saruji itashuka!
Kwa taarifa yako Maalim Self alishajitoa kwenye uchaguzi 2015 na mambo yakaendelea kama kawaida lakini akawadanganya wafuasi wake kuwa atapewa urais na wazungu lakini haikutokea mpaka imefika 2020! Na nyinyi endeleeni kusubiri mwisho itafika 2025!
 
Wanawake washoka mbele ya kifooo?? Acha ujingaa. Halafu mkutano uitwe office ya chama makaoooo makuu halafu gafula uambiwe tumehama hapoo njoo huku kawee kifichoniii?? Hata ivo ashukuriwe mungu huenda haenda hao wadada tusingewaona tena. Barua ya wito iliwataka waende makaoo makuu ya chama, halafu gafla wakapigiwa simu waende nyumba vingine maeneo tufauti na office , ingekua wewe ungeenda huko ukizingatia wale niwanawakeee?? Acheni kiki kishambaaaa.
Mkuu haya ni mawazo yako,katika vyama vya kisiasa hapa nchini ni chama kimoja pekee,chadema kina wafuasi watiifu kuliko vyama vyote nchi hii.
Hata viongozi wao wakiwekwa ndani kwa uonevu huwa wanakaa kwa kutulia.
Leo hii uniambie kina Mdee wangeuwawa kama wangeenda kuhojiwa si kweli haya ni mawazo yako binafsi.hawa covid 19 wameingizwa chaka tu na bashiru&slowslow
 
Kama chadema hawawataki wahamie chama chochote ili mradi wanawatumikia watanzania
Machadema yanaweweseka yanajua chama Cha siasa ni CCM tuuu, kwani wakiamua kwenda chauma watakuwa hawajahama chadema?
 
Back
Top Bottom