Stratroni kimario
Member
- Oct 10, 2023
- 26
- 43
- Thread starter
-
- #21
Nilihaso Sana kupata A flat tena lugalo military medical schoolNi kweli mkuu NACTEVET wanamfumo mbovu sana linapokuja swala la kucalculate GPA hizo 5 nyingi ni fake tatizo wanashindwa kubadli mfumo wa GPA ilibidi waweke mfumo wa OVERALL GPA sio hiyo ya kuangalia mwaka wa mwisho tu. hivyo hizo gpa za 5 nyingi hazina uhalisia mkuu.
Lugalo chiefMmmh GPA ya 5, chuo gani mkuu??
Bado wanakosea sana ku calculate GPA kwa mfumo huoNilihaso Sana kupata A flat tena lugalo military medical school
Ila ndo hivyo chief, ok probability ya kupata Md muhas ipoje ndg?Bado wanakosea sana ku calculate GPA kwa mfumo huo
Sina uelewa sana na hiyo kada, naona members hapo juu wameshare uzoefu waoIla ndo hivyo chief, ok probability ya kupata Md muhas ipoje ndg?
NACTEVET hawahusiki saana kwenye matokeo maana wao hupelekewa tuNi kweli mkuu NACTEVET wanamfumo mbovu sana linapokuja swala la kucalculate GPA hizo 5 nyingi ni fake tatizo wanashindwa kubadli mfumo wa GPA ilibidi waweke mfumo wa OVERALL GPA sio hiyo ya kuangalia mwaka wa mwisho tu. hivyo hizo gpa za 5 nyingi hazina uhalisia mkuu.
Hapo ndo shida inapoanzia, na sijui lini litafanyiwa kazi hili la GPA ?NACTEVET hawahusiki saana kwenye matokeo maana wao hupelekewa tu
Acha watu wafaulu kuna vyuo vingine vinakaza kishenzi wanatembeza makalai tu, afu baadae mnasema tuna upungufu wa maprofesa.Hapo ndo shida inapoanzia, na sijui lini litafanyiwa kazi hili la GPA ?
Vip uwezekano wa kupata muhas?Hapo ndo shida inapoanzia, na sijui lini litafanyiwa kazi hili la GPA ?
Shida italeta ugumu kupata vyuo vya umma hasa kwa afya kutakua na ushindani mkubwa maana hizo GPA za 5 zipo za kutosha mkuuAcha watu wafaulu kuna vyuo vingine vinakaza kishenzi wanatembeza makalai tu, afu baadae mnasema tuna upungufu wa maprofesa.
Vp uwezekano wa muhasNACTEVET hawahusiki saana kwenye matokeo maana wao hupelekewa tu
Huwezekano upo mkuu muhimu apply mapema mwakani usije ukakosa maana wenye hizo 5 mpo wengi sana. pia vyuo sio MUHAS tu, kuna UDOM,UDSM jaribu na huko kuna MD utapataVip uwezekano wa kupata muhas?
Acha watu wafaulu kuna vyuo vingine vinakaza kishenzi wanatembeza makalai tu, afu baadae mnasema tuna upungufu wa maprofv
Shukran chiefHuwezekano upo mkuu muhimu apply mapema mwakani usije ukakosa maana wenye hizo 5 mpo wengi sana. pia vyuo sio MUHAS tu, kuna UDOM,UDSM jaribu na huko kuna MD utapata
Apo sasa ndio inategemea na chuo sasa unakuta mtu yupo vizuri kapata 3.4 ila mwingine hayupo vizuri kapata GPA ya 5.Shida italeta ugumu kupata vyuo vya umma hasa kwa afya kutakua na ushindani mkubwa maana hizo GPA za 5 zipo za kutosha mkuu
Ni kweli mkuu kwa maana hiyo sidhani kama waliopata chini ya hiyo GPA watapata vyuo hasa vya umma sijajua kwa private hali ipoje mkuu.Apo sasa ndio inategemea na chuo sasa unakuta mtu yupo vizuri kapata 3.4 ila mwingine hayupo vizuri kapata GPA ya 5.
Maisha hayajawahi kuwa fair
Ni kweli mkuu kwa maana hiyo sidhani kama waliopata chini ya hiyo GPA watapata vyuo hasa vya umma sijajua kwa private hali ipoje mkuu.Apo sasa ndio inategemea na chuo sasa unakuta mtu yupo vizuri kapata 3.4 ila mwingine hayupo vizuri kapata GPA ya 5.
Maisha hayajawahi kuwa fair
Ni huruma tu ya Mungu tu mwenyezi, hivi mfano muhimbili wanachukua 5 waliotoka diploma, hapo hata kama una GPA ya tano bado unaweza kosa.Ni kweli mkuu kwa maana hiyo sidhani kama waliopata chini ya hiyo GPA watapata vyuo hasa vya umma sijajua kwa private hali ipoje mkuu.
Kwa kweli mkuu hizo 5 zimejaa mkuu labda kwa kozi zenye ushindani mdogo ila kwa MD, Pharmacy au nursing ni ngumu.Ni huruma tu ya Mungu tu mwenyezi, hivi mfano muhimbili wanachukua 5 waliotoka diploma, hapo hata kama una GPA ya tano bado unaweza kosa.
Nami nilitaka sema... GPA 5.0!!Nina mashaka na chuo chako! Umepata GPA ya tano?