Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Wanajamvi, ninafahamu humu jamvini Kuna magwiji wa kila idara from miti shamba hadi PhD za MD.
Hivi kujifukiza ni kinga au ni tiba ya corona? Najua watanzania kutokana na umasikini wetu wa kipato na akili tunapenda sana mteremuko.
Hapa Tanzania ni kawaida sana kumsikia abiria akimpigia kelele dereva wa Basi apunguze mwendo wakati kuvunga tu mkanda kumemshinda, same applies to corona, kila Kona sasa ni kujifukiza kujifukiza, wengine wanatuambia tujifukize usiku na mchana na yawezekana kabisa tukaacha kuchukua tahadhari kisafukizia, je kujifukiza ni kinga ya corona au ni tiba?
Je kujifukiza huku kila siku unagombania daladala na mwendokasi au kila siku upo Kariakoo kupiga kazi haiwezi kuwa gharama kubwa kuliko kushinda nyumbani? Watu wa economic benefits analysis nisaidie pia katika hili. Je kweli mvuke unatoka kwenye maji yenye centigrade Mia moja hayawezi kusababisha chemical changes kwenye sura zetu?
Mwisho.
Je kujifukiza kwa mitishamba kumekuja baada ya Mungu kuonekana ameshindwa au ni back up?
Hivi kujifukiza ni kinga au ni tiba ya corona? Najua watanzania kutokana na umasikini wetu wa kipato na akili tunapenda sana mteremuko.
Hapa Tanzania ni kawaida sana kumsikia abiria akimpigia kelele dereva wa Basi apunguze mwendo wakati kuvunga tu mkanda kumemshinda, same applies to corona, kila Kona sasa ni kujifukiza kujifukiza, wengine wanatuambia tujifukize usiku na mchana na yawezekana kabisa tukaacha kuchukua tahadhari kisafukizia, je kujifukiza ni kinga ya corona au ni tiba?
Je kujifukiza huku kila siku unagombania daladala na mwendokasi au kila siku upo Kariakoo kupiga kazi haiwezi kuwa gharama kubwa kuliko kushinda nyumbani? Watu wa economic benefits analysis nisaidie pia katika hili. Je kweli mvuke unatoka kwenye maji yenye centigrade Mia moja hayawezi kusababisha chemical changes kwenye sura zetu?
Mwisho.
Je kujifukiza kwa mitishamba kumekuja baada ya Mungu kuonekana ameshindwa au ni back up?