Kujifukiza ni kinga au ni tiba?

Kujifukiza ni kinga au ni tiba?

kwenye mambo ya uafrica wenu ndio mnajitia kupenyeza utaalam haya nyie wataalam wa JF mbona hamjaja na kautafiti kokote kwa kitaalam juu ya hivi Virus?

Mafua tumejifukiza sana tu enzi na enzi na tulipona itakua leo.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Wanajamvi, ninafahamu humu jamvini Kuna magwiji wa kila idara from miti shamba hadi PhD za MD.

Hivi kujifukiza ni kinga au ni tiba ya corona? Najua watanzania kutokana na umasikini wetu wa kipato na akili tunapenda sana mteremuko.

Hapa Tanzania ni kawaida sana kumsikia abiria akimpigia kelele dereva wa Basi apunguze mwendo wakati kuvunga tu mkanda kumemshinda, same applies to corona, kila Kona sasa ni kujifukiza kujifukiza, wengine wanatuambia tujifukize usiku na mchana na yawezekana kabisa tukaacha kuchukua tahadhari kisafukizia, je kujifukiza ni kinga ya corona au ni tiba?

Je kujifukiza huku kila siku unagombania daladala na mwendokasi au kila siku upo Kariakoo kupiga kazi haiwezi kuwa gharama kubwa kuliko kushinda nyumbani? Watu wa economic benefits analysis nisaidie pia katika hili. Je kweli mvuke unatoka kwenye maji yenye centigrade Mia moja hayawezi kusababisha chemical changes kwenye sura zetu?

Mwisho.
Je kujifukiza kwa mitishamba kumekuja baada ya Mungu kuonekana ameshindwa au ni back up?

Mkuu, hakuna uthibitisho wa kisayansi kuwa hizi steam inhalation therapy kwamba ni tiba au kinga ya COVID-19.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona mamq mmona kwenye clip moja analalamika.kwa nini hatoi jasho wakati mume na watoto jasho lina watoka..

Kumbe inaweza kuwa kweli kwa concept hii.
Sijijui,
Kuna video moja ya TV moja India mtangazaji anahojiana na Professor ambaye ni Daktari wa magonjwa ya binadamu ni bingwa wa tafiti mbalimbali. Kifupi ametoa mawazo yake nikalinganisha na kauli za Mh Rais nikaona kuna mantiki.

Yeye anasema virus wakishangilia mwilini kuna dalili kama uchovu kuishiwa nguvu utajisikia, kisha mwili uta detect kwamba kuna stranger hivyo utafanya attack kwa kupandisha joto la mwili l.

Anasema ukishajisikia joto la mwili liko juu unachotakiwa kufanya CHEMSHA MAJI WEKA KWENYE CHUPA YA CHAI HALAFU KILA BAADA YA MUDA FULANI KUNYWA YALE MAJI YAKIWA YA MOTO HADI UHAKIKISHE UNATOA JASHO LA KUTOSHA FANYA HIVYO MARA KWA MARA KWA SIKU MBILI MFULULIZO. Anasema kufanya hivyo linapandisha joto la mwili hivyo kuvunja vunja virus mwilini mwako kwani joto la mwili likipanda kwa degree celsius 1°c ni joto tosha kuharibu virus.

Linganisha mantiki ya Mh Rais na huyu Mtabibu toka India.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni mbinu mbadala ya kujifukizia
IMG_20200424_004659.jpg
 
Back
Top Bottom