Kujifukiza ni kinga au ni tiba?

Hili joto tunaongelea ni la kuua kirusi ambacho kipo ktk mwili wa mtu,

Je kwa joto linaloweza kuua kirusi, mwili wa binadamu unastahimili joto hilo? Joto hilo linaua kirusi cha korona tu au hata kirusi wa ugonjwa mwingine!?

Wataalam wapo mahospitalini wakitibu watu. Mvuke unaua virusi, joto kali linaua virusi. Kuna viwango vya joto vikifikiwa hakuna virus mwenye kuweza kuendelea kuwa hai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mwenyewe aliesema hivo, amehama mjengoni" analala juu ya mawe!
Mbona hajatulia tu mjengoni na aendelee kujifukiza!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajabu mbona kuna watu wanapoa vifua sugu kwa kufukizwa dawa za kienyeji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafukizia kwa muda mkuu sio maisha yako yote.

Joto linaua kirusi cha corona nadhani na vingine vinakufa.
 
Mtafia kwenye mablanket na mashuka bure

Dehydration inakuachaje salama hapo?
Acheni kudanganya watu..hata kabla Rais hajasema hicho,siku zote kujifukiza na maji moto hata bila mwarobaini wala hivyo vitunguu swaumu lakini hata kama una Magonjwa kiasi yanapotelea mbali,hii tiba mbona ya kitambo sana tu,binafsi maishani naumwaga meno tu lakini siyo haya magonjwa mengine na wala sinywi dawa za madukani...Corona ni nini kwa muafrika nyie..!!!!

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Niliwahi kuishi mji mmoja ambapo karibu kila mtu alikuwa anajisifia kuwa na majini na ilifikia hatua ikawa ngumu kupata dem kama hauna jini hata 1 ni bora hata uzuge unalo. Huku ndo nilikuwa naona watu wanafukizwa sana mvuke na moshi so huenda corona nae ana asili ya jini
 
Sasa mbona rais anapoteza mamilioni kujenga mahospitali ,mazahanati na ma vituo vya afya? Tena tunaambiwa kajenga vingi kuliko zote zilizojengwa na serikali zilizomtangulia.Je kufukizia kuna mhijataji mtu kwenda hospital? Kwani tunapoteza pesa hivyo?
 
Unajifukiza usiku na mchana?

Kama mtu hana afya njema ama haongezi maji kurudisha yaliyopotea atajifia kibudu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawakuwa nayo lakini pia sijui Kama magonjwa Kama Corona na ukimwi and the like yalikuwepo those days? Lakini pia mabadiliko ya tabia ya nchi yamebadili vitu vingi
Wewe hakuna ugonjwa ambao haujawahi kuwepo duniani, magonjwa yote haya ni marudio, Ukimwi uliitwa Lugandaganda, na Virusi vya Corona vilikuwepo tangia miaka hiyo ya 1500 na watu walijifukiza na kunywa dawa za asili na walipona, shida mmeshikwa akili na wazungu, tangu walipowaaminisheni kwamba kila mila na desturi na tiba zenu ni za kishenzi na ww mmoja wao wa wajinga mnaoamini kwamba maelekezo mazuri ya tiba yatatoka kwa wazungu tu, bila hata kujua oparesheni ya kwanza ya uzazi ilianzia afrika ndio ikaitwa Caesar au siza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…