Kujifukiza ni kinga au ni tiba?

kwenye mambo ya uafrica wenu ndio mnajitia kupenyeza utaalam haya nyie wataalam wa JF mbona hamjaja na kautafiti kokote kwa kitaalam juu ya hivi Virus?

Mafua tumejifukiza sana tu enzi na enzi na tulipona itakua leo.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 

Mkuu, hakuna uthibitisho wa kisayansi kuwa hizi steam inhalation therapy kwamba ni tiba au kinga ya COVID-19.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona mamq mmona kwenye clip moja analalamika.kwa nini hatoi jasho wakati mume na watoto jasho lina watoka..

Kumbe inaweza kuwa kweli kwa concept hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…