Kujiita wa mjini halafu huna vitu hivi au moja ya hivi vitu ni dalili ya ubwege

mkuu wa mjini tumekukosea nini
 
Ni kama Machadema yaani wanaemtegemea kwenye propaganda hajua kwamba TRA ni ya Muungano anaanza kushangaa Kamishna wa ZRA kuteuliwa Kamishna wa TRA 😃😃

Mabwege ni wengi sana upande ule.
TRA ni Ya Muungano Kwani Kuna Mtu hajui Huko??
Basi wnahitaji shule ya Katiba..

Swala namba 10..Kodi ya Mapato...

 
Wakuja mnahangaika kweli na watoto wa mjini. Tumejikuta tu jamani hatukupenda kuzaliwa mjini.
 
Na kwa nini watu ambao hawana standards za mjini ndio hupendelea kutamba nd kujigamba wao ni Born hiahia.
Je ni kutokujiamini?
Ipo hivyo kila sehemu kwa watu wanaotokea miji mikubwa. Kwetu ni Dar, kwa wakenya ni Nairobi, Nigeria ni Lagos, South Africa ina miji mingi ila watu wanaotokea Johannesburg ndio hujiona superior

Kuna namna mtu akitokea miji hiyo anaona anaishi kwenye sehemu kubwa na imeendelea kuliko wa sehemu nyingine ndio maana kuna ego wanakuwa nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…