Nyie nyote mnaoshabikia huu us.enge wa Corona ni watu mnaoishi kwa shemeji zenu na hamlipi hata Kodi ya nyumba/chumba. Hivi hiyo Corona unahitaji kumwambia mtu usibanane,vaa barakoa etc!??... Jibu ni kwamba Corona ipo zaidi mitandaoni, siku ikifika mtaani kila nyumba ikawa na msiba hutaona mtu akipanda daladala iliyojaa. Ila Corona mnaikuza kuliko uhalisia wake. Mlivyo WAPUMBAVU mpo mnasisitiza tu Mambo msiyojua athari zake. Petrol imetoka 2050 hadi 2400 na nauli ya Tegeta - Kariakoo bado ni 600 tu, je wakikaa level seat itakuwaje!??.. ndo maana nimesema mtoa mada ni mtu anayekaa kwa shemeji yake.