Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

kiranga,mmoja kati ya great thinker wa muda wote hapa jf nakukubali mno. Macho hayana pazia mkuu na ni kero kwa wengine mh. Kiranga
Macho hayana pazia haina maana uangalie kila kitu. Ndiyo maana kuna options za ku block vitu usivyotaka kuona usivione.

Hata hapa JF kuna watu wengi nimewablock sioni watakachoandika, lakini sijaona sababu ya kusema wasiandike wanavyotaka, ni uhuru wao.

Kitu kuwa kero kwako haina maana kimuondolee uhuru mwenzako kujinafasi kwenye 18 zake.

Mimi kuna mengi sipendi kuona, lakini siwezi kulalamikia wanaojiposti, kwa sababu napenda wawe na uhuru wa kuposti wanachotaka kuliko nisivyopenda wanachoposti.

Kitu cha msingi kabisa ni kumuachia mtu afanye mambo kwa uhuru wake.

Kwa sababu hata wewe mtu akija na kukukataza ku post JF kwa sababu yeye anaona si sawa, hutapendelea.
 
Macho hayana pazia haina maana uangalie kila kitu. Ndiyo maana kuna options za ku block vitu usivyotaka kuona usivione.

Hata hapa JF kuna watu wengi nimewablock sioni watakachoandika, lakini sijaona sababu ya kusema wasiandike wanavyotaka, ni uhuru wao.

Kitu kuwa kero kwako haina maana kimuondolee uhuru mwenzako kujinafasi kwenye 18 zake.

Mimi kuna mengi sipendi kuona, lakini siwezi kulalamikia wanaojiposti, kwa sababu napenda wawe na uhuru wa kuposti wanachotaka kuliko nisivyopenda wanachoposti.

Kitu cha msingi kabisa ni kumuachia mtu afanye mambo kwa uhuru wake.

Kwa sababu hata wewe mtu akija na kukukataza ku post JF kwa sababu yeye anaona si sawa, hutapendelea.
salute.
 
Macho hayana pazia haina maana uangalie kila kitu. Ndiyo maana kuna options za ku block vitu usivyotaka kuona usivione.

Hata hapa JF kuna watu wengi nimewablock sioni watakachoandika, lakini sijaona sababu ya kusema wasiandike wanavyotaka, ni uhuru wao.

Kitu kuwa kero kwako haina maana kimuondolee uhuru mwenzako kujinafasi kwenye 18 zake.

Mimi kuna mengi sipendi kuona, lakini siwezi kulalamikia wanaojiposti, kwa sababu napenda wawe na uhuru wa kuposti wanachotaka kuliko nisivyopenda wanachoposti.

Kitu cha msingi kabisa ni kumuachia mtu afanye mambo kwa uhuru wake.

Kwa sababu hata wewe mtu akija na kukukataza ku post JF kwa sababu yeye anaona si sawa, hutapendelea.
salute.
 
Hawa watu waachwe

Wajipost wanavyoweza

Afterall ni watu wazima,maamuzi ni yao,who cares?

Nchi hii bana kufatiliana as if kuna mtu kavunja sheria
 
Wanao jipost post hovyo wamefikiwa, Mweeeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu hawezi kupitisha siku bila kujipost mtandaoni. Anajaza status weeee utasema analipwa na WhatsApp.
Hana siri kila kitu hadharani kwenye mitandao, yaani huna hata haja ya kupeleleza habari zake , ukizitaka tu unazipata mtandaoni.

Akiachwa, akiwa na huzuni, akiwa na furaha vyote ni kupost tu kwenye mitandao.

Amekuwa kama msanii Kila hatua ya maisha yake lazima watu waijue. Wasanii wanapata pesa angalau, sasa mwenzetu unapata nini!?, Zaidi ya like na comments ambazo hazina faida yoyote Ile katika maisha yako.

Huu ni utumwa vilevile. Kataa kuwa mtumwa wa mitandao.
Inaintwa psychological social proof mtu anaweka status kama tairi la baiskeli halafu mwanaume.
 
Huwa sifungui status ya mtu whatsap hata iwe ya mke wangu naona kama ni ushamba ila siwezi tu kumwambia
 
Kuna watu hawezi kupitisha siku bila kujipost mtandaoni. Anajaza status weeee utasema analipwa na WhatsApp.
Hana siri kila kitu hadharani kwenye mitandao, yaani huna hata haja ya kupeleleza habari zake , ukizitaka tu unazipata mtandaoni.

Akiachwa, akiwa na huzuni, akiwa na furaha vyote ni kupost tu kwenye mitandao.

Amekuwa kama msanii Kila hatua ya maisha yake lazima watu waijue. Wasanii wanapata pesa angalau, sasa mwenzetu unapata nini!?, Zaidi ya like na comments ambazo hazina faida yoyote Ile katika maisha yako.

Huu ni utumwa vilevile. Kataa kuwa mtumwa wa mitandao.
Wa mute tuu
 
Atakuwa mama wa kiswahili sio bure, halafu elimu kubwa hakujaaliwa

Bisha
Alitoka bush huko kigoma mlugaluga kaja mjini maisha safi yamenyooka. You can imagine.
Wale ambao walikuwa cheusi mangala lakini sasa hivi cheupe dawa.
 
Mi naonaga aibu nikiona mtu anajipost anaimba imba na anakosea hayo maneno sometimes, na ikiwa ndo mutu ya 30+ nahisi aibu kinyama sijui aibu ya nini wakati hainihusu...... Ila huwa nahisi aibu sana.
Aibu ipi ambayo hunaga??
 
Mitandaon Ni Sehemu ya Entertainment
Kuna watu hawezi kupitisha siku bila kujipost mtandaoni. Anajaza status weeee utasema analipwa na WhatsApp.
Hana siri kila kitu hadharani kwenye mitandao, yaani huna hata haja ya kupeleleza habari zake , ukizitaka tu unazipata mtandaoni.

Akiachwa, akiwa na huzuni, akiwa na furaha vyote ni kupost tu kwenye mitandao.

Amekuwa kama msanii Kila hatua ya maisha yake lazima watu waijue. Wasanii wanapata pesa angalau, sasa mwenzetu unapata nini!?, Zaidi ya like na comments ambazo hazina faida yoyote Ile katika maisha yako.

Huu ni utumwa vilevile. Kataa kuwa mtumwa wa mitandao.
 
Back
Top Bottom