ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mleta mada anashauri kwenye kujipost, sio kupost. Mudhui ya kibiashara ni mazuri kwa ajili ya kujitangaza, kujulikana kibiashara nk ila kubinua matako, kuonyesha manyonyo nk...mh. Japo kila mtu ana uhuru wa kuishi anavyojisikia.Kwakweli inategemea na maudhui na namna mtu anasocialize kunawengine wanatotivate sana
Kuna mkaka kanifnya nianze mipngo ya kufuga kuku the way imekuwa faida asingejipost nisingetamni na kuanza kufatilia