Kujiunga jeshi isiwe sababu ya kufanya kazi za kutweza utu. Anachofanya mwanajeshi huyu ninaamini hata yeye hakipendi

Kujiunga jeshi isiwe sababu ya kufanya kazi za kutweza utu. Anachofanya mwanajeshi huyu ninaamini hata yeye hakipendi

Hapo lugha chafu Iko wapi bro?
Nakunukuu
"Vijana kazini hapo, we unaongea kwasababu uraiani, unavuna chupi unalala unatanua miguu basi.

Lakini ikizuka vita, ndo utajua hujui Mbwa wee!'

Kusema unavua chupi unalala unatanua miguu...
Wanaume sijui kama wanavaaga chupi sikuizi☺️😊

Pia kuita binadamu mwenzako Mbwa ni hayo tu ndugu...

All in all,

Peace & Love

✌️✌️✌️✌️
 
Nafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.

Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.

Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.

Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.

Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.

Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.

Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.

Haikubaliki!

View attachment 2835681
Kwa mtazamo wako ulitaka hiyo kazi aifanye nani kati ya wafanyakazi wote walioajiriwa na serikali? Au walimu?
 
Kuna vitu mtu wa nje ukimwambia ataona unamdanganya, ila ndio Hali Halisi ya Tz.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ni kweli hata mtu mwenye akili ya wastani kebehi ya hoja ya msingi kuwa vipaumbele vyetu katika matumizi ya kodi ya wananchi havijakaa sawa inavumiliwa Tanzania tu na huu ujinga ni wa kutengenezwa siyo wa kuzaliwa nao!
 
Ni sehemu ya kazi mkuu....Kama kushika tope unaona ni fedheha ,je kukamata Bomu na kuua watu ni sawa? Ni kazi za wito kama udaktari na unesi.
Kwenye hilo tope kuna vijidudu jinavyoweza kumsababishia yeye maradhi na kumwezesha kuambukiza wengine hivyo kusababisha janga jingine ambalo linaweza kusitisha uokoaji.
 
Ni gaidi la mitandaoni.

Posti zake zote ni kuponda, kusengenya, kuzodoa na kukashifu.
Kuna siku aliwahi kuleta mada eti nanihi yake imetanuka sana!

Siku nyingine kaweka mada eti anamuwekeaga masharti mwanaume wake

Yani asipotimiza anammwaga.

Ni kama tomboy hivi hili jitu
 
Kwenye hilo tope kuna vijidudu jinavyoweza kumsababishia yeye maradhi na kumwezesha kuambukiza wengine hivyo kusababisha janga jingine ambalo linaweza kusitisha uokoaji.
Mamako angekuwa ndio anatafutwa kazama humo kwenye tope ungeleta hoja ya ki uharo namna hii?
 
Nafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.

Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.

Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.

Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.

Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.

Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.

Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.

Haikubaliki!

View attachment 2835681
Haya ndo madhara ya Vijana kutoenda walau JKT!

Huo mtizamo wako ni wa Kiraia sana!!

Ni layman per se!

Jeshi ni kitu kingine kabisa we lala tu izo mambo achana nazo kabisa!!
 
Tatizo uliishia elimu ya madrasa ambayo haifundishi kuwa waangalifu wakati wa kuosha maiti.
Kwahiyo hapo anaosha maiti?

Narudia tena, angekuwa mamako huyo ndio yumo humo kwenye tope ungeleta hii elimu yako ya uingereza?
 
Nafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.

Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.

Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.

Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.

Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.

Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.

Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.

Haikubaliki!

View attachment 2835681
Huyu alipoonda camera ndipo akafanya hivyo. Namjua huyo kamanda anapenda sana kiki
 
Kwa mtazamo wako ulitaka hiyo kazi aifanye nani kati ya wafanyakazi wote walioajiriwa na serikali? Au walimu?
Kwahiyo unakubaliana na mwanajeshi kushikishwa tope kwa mikono? Anyway! Wanajeshi wenyewe hawajielewi ndo maana walibebeshwa hata magunia ya korosho
 
Haya ndo madhara ya Vijana kutoenda walau JKT!

Huo mtizamo wako ni wa Kiraia sana!!

Ni layman per se!

Jeshi ni kitu kingine kabisa we lala tu izo mambo achana nazo kabisa!!
Jeshi ni kukamatishwa kinyesi kwa mikono?? Kama siyo mibange kichwani basi you are brainwashed.
 
Nafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.

Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.

Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.

Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.

Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.

Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.

Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.

Haikubaliki!

View attachment 2835681
Mtoto wa kiume analia kumuona mwanajeshe akishika tope.big up sana kwa zile wale wazibua vyoo wote!
 
Back
Top Bottom