Aanze na manesi wa ICUUmeanza vizuri kwa kutambua kama mwanajeshi yuko kwa ajili ya kupigania Taifa lake...na ndicho hicho anachofanya hapo.
Maelezo yako yangekuwa na mashika kama ungeonyesha huyu mwanajeshi amelalamika kwa hicho anachokifanya.
Je unajua wanachokifanya madaktari hospitalini?!
Dah!Nafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.
Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.
Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.
Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.
Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.
Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.
Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.
Haikubaliki!
View attachment 2835681
Ni wazi kuwa wewe hujaenda jando na kama ni hivo hijatahiriwa. Ni wazi wewe siyo Polisi hata JKT hujapita. Bora ukae kimya huna uzalendo wowote wewe ni msaliti sawa nazwanaosaidia mabeberu kuiba makanikia yetu na kukamata ndege yetu. Ni sheer riff-raff on the fringes of our society. Tazama ramani utaona Nji nzuri yenye mito na mabonde mengi ya nafaka.Nafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.
Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.
Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.
Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.
Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.
Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.
Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.
Haikubaliki!
View attachment 2835681
Msihatarishe maishe ya ndugu zetu askari kwa mwavuli wa uzalendo uchwara. Mbona mnanunua maV8 na magari ya washawasha badala ya vifaa vya uokozi??Ni wazi wewe siyo Polisi hata JKT hujapita. Bora ukae kimya huna uzalendo wowote wewe
Unaongea ujinga , mafunzo ya kijeshi siyo y vetaNafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.
Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.
Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.
Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.
Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.
Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.
Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.
Haikubaliki!
View attachment 2835681
Muulize yeye usiniulize mimi, afande wako akikuambia chimba hapo chimba, usimuombe chepe.Una uhakika hapo hajavaa gloves ?
Mafunzo ya jeshi ni namna ya kutumia vifaa vya kivita, siyo kubeba tope kwa mikono. Amka wewe.Unaongea ujinga , mafunzo ya kijeshi siyo y veta
Makalio fc mna upuuzi mwingi sanaMalalamiko fc mpo vizuri
Alikuwa analowa zamani huko kijijini, kwa sasa anajipaka matope ili kuhadaa wajinga.Picha Ina shida gani??
Mbona Jumaa Aweso analowaga matope akipambana upate maji??
Kutetea ccm wabaki madarakani kwa shuruti. Halafu utakuta wanajeshi wanawatetemekea wanasiasa wa ccm vibaya sana.Hawa Malalamiko FC hawajui hata kiapo cha askari kipoje.
Mwalimu Tindo ushajisajiri kwenye ESS? Sitaki ukose mshahara mwezi wa kumi na mbili halafu uanze kulalamika Serikali ya CCM mbaya. Ya Askari waachie wenyewe. Hao hawana ESS.Kutetea ccm wabaki madarakani kwa shuruti. Halafu utakuta wanajeshi wanawatetemekea wanasiasa wa ccm vibaya sana.
Ingekuwa ni wewe au ndugu yako amekwsma kwenye hilo tope usingeandika huu utopolo badala yake ungemsifu kwa kuokoaNafahamu mwanajeshi ameapa kufa kwa ajili ya kulinda taifa lake.
Lakn kamwe hakuapa kuwa hata kinyesi atakishika kwa mikono. Hakuapa kuwa hata mkojo atauzoa kwa mdomo.
Hakuapa kuwa kwenye shughuli za uokoaji atatumia mikono yake kutafuta maiti kwenye tope.
Serikali imenunua magari 270 ya kisiasa na kuwakabidhi polisi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mwakani na 2025. Magari haya ni ya gharama kubwa na yana speed ya 270km/h.
Serikali pia Imenunua magari ya kurusha maji ya washawasha na kuipatia kila kila wilaya ili kupambana na wapinzani kirahisi.
Kwa mantiki hiyo serikali ya ccm inajali zaidi uchaguzi na kupambana na maandamano ya wapinzani kuliko kuwekeza ktk zana na vifaa vya uokozi wakati wa majanga.
Ili kufunika pengo hilo ndiyo inaamua kuwatweza watoto wetu, wadogo zetu, dada/kaka zetu , baba/mama zetu walioamua kujiunga jeshi kwa kuwashikisha tope kwa mikono.
Haikubaliki!
View attachment 2835681
Anafanya kazi ipi na kwa kutumia zana zipi? Anabebwshwa magunia ya korosho begani? Anazoa tope kwa mikono? Halafu viongozi wa ccm wananunuliana maV8?Mwanajeshi kufanya kazi kwenye eneo la maafa kumbe ni kufanya kazi ya kutweza?
Hawajaokoa hata mtu mmoja. Wameepoa maiti tu. Sijui unaelewa tofauti ya kuokoa na kuopoa?Ingekuwa ni wewe au ndugu yako amekwsma kwenye hilo tope usingeandika huu utopolo badala yake ungemsifu kwa kuokoa
Kama hunywi bangi basi unaumwaHakuna tatizo!!!