Katiba ya JMT imeeleza wazi uhuru wa muhimili wa bunge na madaraka ya spika ila tatizo Ndugai alishashiriki kuvunja nguvu ya bunge analoliongoza kwa kugeuka kibaraka wa muhimili mwingine ndio maana hata katiba imeshindwa kumlinda.
Katiba ya JMT imeeleza wazi uhuru wa muhimili wa bunge na madaraka ya spika ila tatizo Ndugai alishashiriki kuvunja nguvu ya bunge analoliongoza kwa kugeuka kibaraka wa muhimili mwingine ndio maana hata katiba imeshindwa kumlinda.
We brazaj mbona unahangaika sana na huyo ndugai wako? Huo uhuru wa kutoa maoni umeona kwenye tril 1.3? Tena zimekopwa zinatumika ndani, lakini zile tril 1.5 alizokwapua mwendazake ambapo ndugai alikuwa anazikingia kifua kwa kila aliyejaribu kuhoji kumuita kamati ya bunge? Mbona huo uhuru wake hakuutumia kwenye kamati ya bajeti wakati pendekezo limepekwa bungeni kwake? Pole sana ndugai kashaliwa kichwa
We brazaj mbona unahangaika sana na huyo ndugai wako? Huo uhuru wa kutoa maoni umeona kwenye tril 1.3? Tena zimekopwa zinatumika ndani, lakini zile tril 1.5 alizokwapua mwendazake ambapo ndugai alikuwa anazikingia kifua kwa kila aliyejaribu kuhoji kumuita kamati ya bunge? Mbona huo uhuru wake hakuutumia kwenye kamati ya bajeti wakati pendekezo limepekwa bungeni kwake? Pole sana ndugai kashaliwa kichwa
Huwezi kulilia haki hivyo kwa mtu aliyeshiriki kwa namna kubwa kuua haki za watu hivyo hapo wewe unalako jambo ni zaidi ya hiyo unayodai bi haki pole sana
Katiba ya JMT imeeleza wazi uhuru wa muhimili wa bunge na madaraka ya spika ila tatizo Ndugai alishashiriki kuvunja nguvu ya bunge analoliongoza kwa kugeuka kibaraka wa muhimili mwingine ndio maana hata katiba imeshindwa kumlinda.
Wengine sio rahisi uwaone hapo, kuna kiongozi mmoja wa chama mshirika anakuja na kauli "Tume Huru ilete Katiba Mpya" huyu ameshajua rafiki yake alisema Katiba Mpya isubiri sasa anaenda na matakwa yake, sio mpinzani tena.