Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

"Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake."

Lissu shares these sentiments.

Wewe utaiongelea KARMA kumhusu Lissu kuliko Lissu mwenyewe?

Hii si ndiyo ya kumpenda mtoto wa mtu kuliko mama yake?

Hapo ukiitwa "fataki" itakuwa kukusingizia?
Ingekuwa haki yake asingeomba radhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kulilia haki hivyo kwa mtu aliyeshiriki kwa namna kubwa kuua haki za watu hivyo hapo wewe unalako jambo ni zaidi ya hiyo unayodai bi haki pole sana

Huwezi kushabikia haki ya mtu yeyote kukanyagwa kama wewe si mhusika au mshirika muhimu sana katika kukanyagwa wa haki huo.

Anayekanyaga haki za Ndugai leo ni huyo huyo aliyekanyaga za Polepole, anayekanyaga za Mbowe na wengi magerezani leo, anayekanyaga haki zetu leo, nk.

"Hapa wewe hautakuwa na lako jambo wala si haya machozi ya mamba kuwa unawalilia waliouliwa haki zao na Ndugai?"

Lissu mhanga mkubwa wa Ndugai analaani yaliyomkuta Ndugai. Wewe una uchungu zaidi ya kina Lissu?

"Au ni yale tuliyowazowea ya kumpenda mwana kuliko mama yake (fataki) wee?!"

Vipi mjomba wewe ni mshirika wake muhimu nyeusi wetu kwenye kadhia huli uporaji haki za msingi za watu?
 
Amefurushwa Mh. Ndugai kiongozi wa mhimili kinyume cha katiba.

Katika hali ya kusikitika, ni Chadema na NCCR pekee ndiyo angalau wamefahamika wanasimama wapi kwenye kadhia hii:
View attachment 2073184


Bado hakuna matamko yoyote rasmi ya kupinga au hata kukemea vikali kabisa ukiukwaji mkubwa huu wa haki za Mh. Ndugai.

Pamoja na makosa yake mengine yoyote, kufurushwa kwa kutoa maoni yake tu:

"kumbe angeweza kufurushwa hata kwa kwenda kujisaidia tu?"

Wako wapi CUF, ACT, CHAUSTA, UMD, CHAUMA, DP, nk?

Nani alipaswa kuwaongoza wananchi kuukataa ukiukwaji mkubwa huu wa haki za msingi za watu?

Nchi zinaongozwa kwa mujibu wa katiba si kwa kununa, hasira, chuki, visasi nk.

Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake.
___________

Angalizo: DP ya Mtikila isingeufumbia macho ukiukwaji huu wa haki za mtu.

Nini kimebadilika? DP si ingalipo?

Apumzike kwa amani Rev. Mtikila.
Yeye alipowaita wenzake kuwaji walipo toa maoni yao yanayolindwa kikatiba haikuwa shida? alipotumia madaraka yake vibaya kuwavua wabunge waliochagulowa kihalali na wananchi haikuwa nongwa, yeye alipoleta polisi kuwadhalilisha wabunge wengine ndani ya bunge haikuwa tatizo ,alipowasimamisha baadhi ya wabunge bila sababu za msingi hapakuwa na mawaa.Ila yeye njia zile zile alizotumia kuwasurubu wengine zilipotumiwa dhidi yake kilio kimekuwa kingi!!!.
Kifupi anatakiwa kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka.Ila basi alijitengenezea kinga ya kutoshitakiwa bila hivyo alitakiwa kuwajibika kisheria.
Tena umenikumbusha wale wabunge wa CUF mahakama ilisema warudi bungeni Jamaa yako AKAKAIDI AMRI YA MAHAKAMA.
Yeye alidharau mhimili mwingine malipo ni hapa hapa duniani na yeye leo kadharauliwa na mhimili mwingine,ngoma droo.
Halfu nikukumbushe Jamaa yako alijaa kiburi kuliko maelezo mtu kuuliza swali tu anaitwa kamati ya maadili "it was fair?"
 
Huwezi kushabikia haki ya mtu yeyote kukanyagwa kama wewe si mhusika au mshirika muhimu sana katika kukanyagwa wa haki huo.

Anayekanyaga haki za Ndugai leo ni huyo huyo aliyekanyaga za Polepole, anayekanyaga za Mbowe na wengi magerezani leo, anayekanyaga haki zetu leo, nk.

"Hapa wewe hautakuwa na lako jambo wala si haya machozi ya mamba kuwa unawalilia waliouliwa haki zao na Ndugai?"

Lissu mhanga mkubwa wa Ndugai analaani yaliyomkuta Ndugai. Wewe una uchungu zaidi ya kina Lissu?

"Au ni yale tuliyowazowea ya kumpenda mwana kuliko mama yake (fataki) wee?!"

Vipi mjomba wewe ni mshirika wake muhimu nyeusi wetu kwenye kadhia huli uporaji haki za msingi za watu?

Wewe una chuki na mama huna cha haki wala nini ndio maana hata gwajima alihoji iweje kila kitu kipite kwako alafu utoke hadharani uanze kukosoa wewe si kama una agenda ingine ni ipi? Ndugai kafanya mambo ya ovyo mengi sana kuanzia term ya kwanza ya magu hadi ya pili mwanzoni yote haya hujayaona eti lissu sijui nini, sisi tunachosema ndugui kwanza yeye mwenywe kaomba radhi kwa maana kajua kosa lake ma ndio maana baada ya msamaha wake kukatalia kaamua kujiuzulu leo unasema haki yake imesiginwa, ni haki ipi hiyo? Utoke kwenye sahani ya chakula ndani uje nje ulalamike chakula kina chumvi. Bro nakushauri fanya shughuli zako achana na ushabiki maandazi huo hautakusaidia
 
Amefurushwa Mh. Ndugai kiongozi wa mhimili kinyume cha katiba.

Katika hali ya kusikitika, ni Chadema na NCCR pekee ndiyo angalau wamefahamika wanasimama wapi kwenye kadhia hii:
View attachment 2073184


Bado hakuna matamko yoyote rasmi ya kupinga au hata kukemea vikali kabisa ukiukwaji mkubwa huu wa haki za Mh. Ndugai.

Pamoja na makosa yake mengine yoyote, kufurushwa kwa kutoa maoni yake tu:

"kumbe angeweza kufurushwa hata kwa kwenda kujisaidia tu?"

Wako wapi CUF, ACT, CHAUSTA, UMD, CHAUMA, DP, nk?

Nani alipaswa kuwaongoza wananchi kuukataa ukiukwaji mkubwa huu wa haki za msingi za watu?

Nchi zinaongozwa kwa mujibu wa katiba si kwa kununa, hasira, chuki, visasi nk.

Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake.
___________

Angalizo: DP ya Mtikila isingeufumbia macho ukiukwaji huu wa haki za mtu.

Nini kimebadilika? DP si ingalipo?

Apumzike kwa amani Rev. Mtikila.
Naomba kusisitiza aliyekuwa pengine kinara namba mbili kwa kukiuka haki za watu ni pamoja na unaesema kaadhibiwa kwa kutoa maoni take, ila Imani yangu ni kuwa Hilo limechochea Kuni TU katika kadhia hii. Ila naamini Hadi sasa anepata SoMo la haki, pamoja na wengine wenye mamlaka na watakao para mamlaka. Tuipate katiba mpya kwa ulinzi was haki za raia wote WA Tanzania ikiwa no pamoja na ndugai.
 
Yeye alipowaita wenzake kuwaji walipo toa maoni yao yanayolindwa kikatiba haikuwa shida? alipotumia madaraka yake vibaya kuwavua wabunge waliochagulowa kihalali na wananchi haikuwa nongwa, yeye alipoleta polisi kuwadhalilisha wabunge wengine ndani ya bunge haikuwa tatizo ,alipowasimamisha baadhi ya wabunge bila sababu za msingi hapakuwa na mawaa.Ila yeye njia zile zile alizotumia kuwasurubu wengine zilipotumiwa dhidi yake kilio kimekuwa kingi!!!.
Kifupi anatakiwa kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka.Ila basi alijitengenezea kinga ya kutoshitakiwa bila hivyo alitakiwa kuwajibika kisheria.
Tena umenikumbusha wale wabunge wa CUF mahakama ilisema warudi bungeni Jamaa yako AKAKAIDI AMRI YA MAHAKAMA.
Yeye alidharau mhimili mwingine malipo ni hapa hapa duniani

Tuna tatizo mahali, seriously 😂😂.

Ndugai kafurushwa kwa sababu katoa maoni yake. Haki ya msingi kabisa kama kwenda chooni, kula, kuvuta hewa nk.

Awe na makosa ya kiwango chochote haihalalishi kufukurushwa kwa sababu ya kwenda msalani!

"Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake."

Wewe huoni hivyo mjomba?
 
Tuna tatizo mahali, seriously 😂😂.

Ndugai kafurushwa kwa sababu katoa maoni yake. Haki ya msingi kabisa kama kwenda chooni, kula, kuvuta hewa nk.

Awe na makosa ya kiwango chochote haihalalishi kufukurushwa kwa sababu ya kwenda msalani!

"Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake."

Wewe huoni hivyo mjomba?

Ndugai hajatoa maoni ili amekaripia wanao kopa yeye kama nani atoke kwenye media akaripie watu? Tulitaka tuonae maoni kama haya akiyatoa kipindi akina lissu wanapigwa risasi, akina assad wanavuliwa nafasi zao kwa hila. Sio leo kajichoresha mwenywe alafu useme katoa maoni, ni maoni gani hayo alotoa?
 
Naomba kusisitiza aliyekuwa pengine kinara namba mbili kwa kukiuka haki za watu ni pamoja na unaesema kaadhibiwa kwa kutoa maoni take, ila Imani yangu ni kuwa Hilo limechochea Kuni TU katika kadhia hii. Ila naamini Hadi sasa anepata SoMo la haki, pamoja na wengine wenye mamlaka na watakao para mamlaka. Tuipate katiba mpya kwa ulinzi was haki za raia wote WA Tanzania ikiwa no pamoja na ndugai.

Hatuwezi kuipata katiba mpya bila ya kuzisimamia kwa ukakamavu agenda zetu.

Haki za watu ni agenda yetu. Humo na za Ndugai zimo.

Kama tungesimama imara hapa tukahakikisha hata haki za Ndugai zinalindwa, huoni kulikuwa na katiba inanukia kweli kweli hapa?
 
Hatuwezi kuipata katiba mpya bila ya kuzisimamia kwa ukakamavu agenda zetu.

Haki za watu ni agenda yetu. Humo na za Ndugai zimo.

Kama tungesimama imara hapa tukahakikishwa hata haki za Ndugai zinalindwa, huoni kulikuwa na katiba inanukia kweli kweli hapa?
Tumkabe mrithi wake, kwani atakuwa tayari na Somo la umuhimu wa haki, ambazo hata yeye zitamhusu na kumwepusha nayaliyomkuta Ndugai.
 
Tuna tatizo mahali, seriously 😂😂.

Ndugai kafurushwa kwa sababu katoa maoni yake. Haki ya msingi kabisa kama kwenda chooni, kula, kuvuta hewa nk.

Awe na makosa ya kiwango chochote haihalalishi kufukurushwa kwa sababu ya kwenda msalani!

"Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake."

Wewe huoni hivyo mjomba?
Naona kama wewe ndugu tena kwa macho ya nyama,Shida ni moja tu huyo huyo yeye kwa mdomo wake aliwashughulikia watu walipotumia haki yao kikatiba ya kutoa maoni mfano Prof Assad na wengine kuuliza swali tu wakaitwa kwenye kamati ya maadili ya Bunge akina generally ulimwengu aliwatisha waliopotoa maoni .Kwa nini utaratibu alioutumia yeye kwa wengine ulipotumiwa dhidi yake iwe Shida ?? Ukinijibu hapo sina tatizo na hoja yako. Vinginevyo wewe utakuwa na chuki binafisi mhe Rais wa jamhuri ya Muungano.
 
Tumkabe mrithi wake, kwani atakuwa tayari na SoMo la umuhimu wa haki, ambazo hasta yeye zitamhusu na kumwepusha nataliyomkuta Ndugai.

"Kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi."

Kushindwa kwetu kuchukua hatua stahiki kwenye suala hili ni hasara (set back) kubwa sana kwa wapigania katiba mpya wa dhati hapa nchini.

Vyama vya siasa inabidi vijiangalie sana. Kwa hakika wanatuangusha.

"Ieleweke kwa awaye yote haki ni haki hata kama ni ya jambazi."

Ni kwa njia hiyo tu tutafanikiwa kuzipata haki zetu zote ikiwamo pia katiba mpya.
 
"Kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi."

Kushindwa kwetu kuchukua hatua stahiki kwenye suala hili ni hasara (set back) kubwa sana kwa wapigania katiba mpya wa dhati hapa nchini.

Vyama vya siasa inabidi vijiangalie Dana.

"Ieleweke kwa awaye yote haki ni haki hata kama ni ya jambazi."

Ni kwa njia hiyo tu tutafanikiwa kuzipata haki zetu zote ikiwamo pia katiba mpya.
Ila Pia ni Imani yangu tumeongeza mpigania haki Moja aliyekuwa mhujumu haki, pia ndani ya ccm wapo wanaomhurumia ndugai, wito wangu ni kuwa wajiunge upande wa haki na tuanze kuitaka katiba mpya ya wananchi kwanza.
 
Amefurushwa Mh. Ndugai kiongozi wa mhimili kinyume cha katiba.

Katika hali ya kusikitika, ni Chadema na NCCR pekee ndiyo angalau wamefahamika wanasimama wapi kwenye kadhia hii:
View attachment 2073184


Bado hakuna matamko yoyote rasmi ya kupinga au hata kukemea vikali kabisa ukiukwaji mkubwa huu wa haki za Mh. Ndugai.

Pamoja na makosa yake mengine yoyote, kufurushwa kwa kutoa maoni yake tu:

"kumbe angeweza kufurushwa hata kwa kwenda kujisaidia tu?"

Wako wapi CUF, ACT, CHAUSTA, UMD, CHAUMA, DP, nk?

Nani alipaswa kuwaongoza wananchi kuukataa ukiukwaji mkubwa huu wa haki za msingi za watu?

Nchi zinaongozwa kwa mujibu wa katiba si kwa kununa, hasira, chuki, visasi nk.

Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake.
___________

Angalizo: DP ya Mtikila isingeufumbia macho ukiukwaji huu wa haki za mtu.

Nini kimebadilika? DP si ingalipo?

Apumzike kwa amani Rev. Mtikila.
CHADEMA walishaweka wazi kuwa wanatetea haki ya mtu yeyote yule, iwe ni wa ccm, cuf, act wazalendo au iwe aliwaytesa au kuwanyanyasa ili mradi tu ni mwanadamu na haki yake inavunjwa
 
Amefurushwa Mh. Ndugai kiongozi wa mhimili kinyume cha katiba.

Katika hali ya kusikitika, ni Chadema na NCCR pekee ndiyo angalau wamefahamika wanasimama wapi kwenye kadhia hii:
View attachment 2073184


Bado hakuna matamko yoyote rasmi ya kupinga au hata kukemea vikali kabisa ukiukwaji mkubwa huu wa haki za Mh. Ndugai.

Pamoja na makosa yake mengine yoyote, kufurushwa kwa kutoa maoni yake tu:

"kumbe angeweza kufurushwa hata kwa kwenda kujisaidia tu?"

Wako wapi CUF, ACT, CHAUSTA, UMD, CHAUMA, DP, nk?

Nani alipaswa kuwaongoza wananchi kuukataa ukiukwaji mkubwa huu wa haki za msingi za watu?

Nchi zinaongozwa kwa mujibu wa katiba si kwa kununa, hasira, chuki, visasi nk.

Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake.
___________

Angalizo: DP ya Mtikila isingeufumbia macho ukiukwaji huu wa haki za mtu.

Nini kimebadilika? DP si ingalipo?

Apumzike kwa amani Rev. Mtikila.
Anatafutwa speaker kutoka zenj au saudia
 
Ona sasa kumbe unaishi kwa assumptions? Ndio niliona nia yako ovu toka awali wewe utakuwa ja ubia na ndugai yaani muda wote unalialia kumbe una lako jambo, mwenywe aliyefanya kosa kajua kosa kaomba radhi wewe unasema kafuna kombe ili iweje afunike kombe?

Agenda yako haieleweki. Unaruka ruka huku na kule. Huna sera wala agenda.

"Kwamba imekuwa assumptions? Kisha ghafla ukapata conclusion? Nia ovu? .... 😂😂"

Hiiiiii bagosha!

Wewe kwenye uzi huu:

Mkimfunga Mbowe hakuna kiongozi mwingine wa CHADEMA atayehofia au kuona hasara kwenda jela

si ndiyo huyu hapa?

IMG_20220108_132624_269.jpg


Wewe ndiye mwenye kumlilia Lissu na machozi ya binadamu? Kwamba unamlilia sana Lissu?

Wewe si ni fataki kweli?

Una moral authority gani wewe ya kumshauri nani wapi kuhusu haki?

Seriously?
 
Wewe una chuki na mama huna cha haki wala nini ndio maana hata gwajima alihoji iweje kila kitu kipite kwako alafu utoke hadharani uanze kukosoa wewe si kama una agenda ingine ni ipi? Ndugai kafanya mambo ya ovyo mengi sana kuanzia term ya kwanza ya magu hadi ya pili mwanzoni yote haya hujayaona eti lissu sijui nini, sisi tunachosema ndugui kwanza yeye mwenywe kaomba radhi kwa maana kajua kosa lake ma ndio maana baada ya msamaha wake kukatalia kaamua kujiuzulu leo unasema haki yake imesiginwa, ni haki ipi hiyo? Utoke kwenye sahani ya chakula ndani uje nje ulalamike chakula kina chumvi. Bro nakushauri fanya shughuli zako achana na ushabiki maandazi huo hautakusaidia
Chuki gani na mama, wacha kuleta personal issues kwenye hoja ya kitaifa.

Ndugai kuwepo wakati wa ukiukwaji wa haki za hao wengine hakuna maana naye haki yake ikiukwe halafu watu wakae kimya. Siasa zenu zimejikita kwenye uchama tu.

Tulipiga kelele akiwaonea wengine na tunapiga kelele akionewa yeye, kwasababu kesho pia unaweza onewa wewe au shangazi yako, hiyo ndio consistence, sio kuangalia sura ya mtu.
 
Back
Top Bottom