Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
bila kumtoa Ndugai ni ngumu kufanikiwaKwa sababu ya Ndugai tu huoni umuhimu wa kukwamisha mpira huo wavuni tuchukue kombe kwanza:
View attachment 2073490
tukashughulika na Ndugai na wote tulio na makando kando nao baada ya mechi?
Hatuwezi kabisa kukubaliana japo kwenda kwa utaratibu huu?
1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda zetu ni za kudumu si marafiki.