denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kosa la Ndugai ni lipi? kuhoji kukopa hovyo kila siku kama ndio sifa hii? nawe kama unaamini Ndugai amekosa una mtindio wa ubongo.Ona sasa kumbe unaishi kwa assumptions? Ndio niliona nia yako ovu toka awali wewe utakuwa ja ubia na ndugai yaani muda wote unalialia kumbe una lako jambo, mwenywe aliyefanya kosa kajua kosa kaomba radhi wewe unasema kafuna kombe ili iweje afunike kombe?