Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

Ona sasa kumbe unaishi kwa assumptions? Ndio niliona nia yako ovu toka awali wewe utakuwa ja ubia na ndugai yaani muda wote unalialia kumbe una lako jambo, mwenywe aliyefanya kosa kajua kosa kaomba radhi wewe unasema kafuna kombe ili iweje afunike kombe?
Kosa la Ndugai ni lipi? kuhoji kukopa hovyo kila siku kama ndio sifa hii? nawe kama unaamini Ndugai amekosa una mtindio wa ubongo.
 
Ndugai si wangu mjomba. Nina hangaika na haki.

Haki ni haki tu. Iwe yako, yangu, ya Ndugai, ya Polepole au ya awaye yote.

Hatuwezi kuwa na different standards towards human rights.


Ni hayo tu mheshimiwa Jaji.
Haki ni nini?
 
CHADEMA walishaweka wazi kuwa wanatetea haki ya mtu yeyote yule, iwe ni wa ccm, cuf, act wazalendo au iwe aliwaytesa au kuwanyanyasa ili mradi tu ni mwanadamu na haki yake inavunjwa

a) Tambua msimamo huo wa Chadema ni wa kuungwa mkono.

b) Tambua inafahamika Chadema na NCCR wanasimama wapi kwenye kadhia hilo ni jambo la pongezi, ila haitoshi.

Haitoshi kwa sababu:

1. tumeona press release za Ndugai lakini si yoyote ya vyama.

2. tamko la jana la Lissu tokea Ubelgiji (mbali mno) ni la kuchelewa mno wakati chama kipo hapa na viongozi wote wapo ofisini kasoro ya Mbowe.

3. Kadhia hii ilihitaji matamko rasmi tangia ilipojitokeza.

Uchelewaji huu unakata stimu.

Kuna ineptness ambayo kama vyama vya siasa haitusaidia kuifumbia macho:

1.CHADEMA: Kujipanga kwa Ukombozi hakuna Ukomo

2.Kwanini CCM wanatuita SACCOS?

Tusipende kusikia tunayoyapenda tu. Tupendeni zaidi tusiyoyapenda kwani matatizo yetu ndiko yaliyo.
 
Haki ni nini?

Haki ni nini? Kwa hakika hilo ni la msingi sana. Kama hilo hata Samia halijui, yumkini tuko hapa leo.

"Haki" kwa muktadha wa mjadala huu ni kifupi cha "haki za binadamu."

Haki za binadamu anaita beberu "Human rights" ni kama ilivyo taslimu hapa chini:

Human rights are the basic rights and freedoms that belong to every person in the world, from birth until death. They apply regardless of where you are from, what you believe or how you choose to live your life.

Hapa ni maeneo yake:

1. The right to life.
2. The right to freedom from torture and inhumane treatment.
3. The right to equal treatment before the law.
4. The right to privacy.
5. The right to asylum.
6. The right to marry and have family.
7. The right to freedom of thought, religion, opinion, and expression.
8. The right to work.
9. The right to education.
10. The right to social services.

#7 pale ndipo Mama Samia anapoonekana kupakanyaga kweli kweli.

Hatupaswi kumkubalia hata kidogo.

Habari ndiyo hiyo.
 
CAG Musa Assad
BUNGE NI DHAIFU
kipi kilichomkuta?
Tuna simama na mwenyekiti wetu[emoji1787].
Ila upinzani uwa hawaeleweki wanataka nini
Kuna kipindi walipiga Sana kelele ndugai ajiuzulu ndugai ajiuzulu.
Leo kafukuzwa mnalalamika
 
Jambo kubwa ilikuwa kumtoa Ndugai kuwa Spika mengine tutarekebisha

Una maana penati tumepewa kipa hamna golini sisi tumesusa? Kwamba tutafunga kwa nguvu zetu na hiyo ni fainali kombe la dunia dak za majeruhi?

Seriously?

Bado huoni kuwa tuna matatizo makubwa mno?
 
Wewe una chuki na mama huna cha haki wala nini ndio maana hata gwajima alihoji iweje kila kitu kipite kwako alafu utoke hadharani uanze kukosoa wewe si kama una agenda ingine ni ipi? Ndugai kafanya mambo ya ovyo mengi sana kuanzia term ya kwanza ya magu hadi ya pili mwanzoni yote haya hujayaona eti lissu sijui nini, sisi tunachosema ndugui kwanza yeye mwenywe kaomba radhi kwa maana kajua kosa lake ma ndio maana baada ya msamaha wake kukatalia kaamua kujiuzulu leo unasema haki yake imesiginwa, ni haki ipi hiyo? Utoke kwenye sahani ya chakula ndani uje nje ulalamike chakula kina chumvi. Bro nakushauri fanya shughuli zako achana na ushabiki maandazi huo hautakusaidia

Hapa ni bandiko lako mjomba:

IMG_20220108_132624_269.jpg


Huelewi maana ya haki wala kujua umuhimu wake.

Ushauri wa bure: kaa kimya mada imekuzidi kimo.
 
CAG Musa Assad
BUNGE NI DHAIFU
kipi kilichomkuta?
Tuna simama na mwenyekiti wetu[emoji1787].
Ila upinzani uwa hawaeleweki wanataka nini
Kuna kipindi walipiga Sana kelele ndugai ajiuzulu ndugai ajiuzulu.
Leo kafukuzwa mnalalamika

"Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake."
 
Mussa Asad yeye haikuwa haki yake kutoa maoni?
Upinzani sijui mmerogwa na Nani?huyo jamaa kawatesa Sana bungeni leo mnamuonea huruma
"Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake."
 
Yeye alipowaita wenzake kuwaji walipo toa maoni yao yanayolindwa kikatiba haikuwa shida? alipotumia madaraka yake vibaya kuwavua wabunge waliochagulowa kihalali na wananchi haikuwa nongwa, yeye alipoleta polisi kuwadhalilisha wabunge wengine ndani ya bunge haikuwa tatizo ,alipowasimamisha baadhi ya wabunge bila sababu za msingi hapakuwa na mawaa.Ila yeye njia zile zile alizotumia kuwasurubu wengine zilipotumiwa dhidi yake kilio kimekuwa kingi!!!.
Kifupi anatakiwa kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka.Ila basi alijitengenezea kinga ya kutoshitakiwa bila hivyo alitakiwa kuwajibika kisheria.
Tena umenikumbusha wale wabunge wa CUF mahakama ilisema warudi bungeni Jamaa yako AKAKAIDI AMRI YA MAHAKAMA.
Yeye alidharau mhimili mwingine malipo ni hapa hapa duniani na yeye leo kadharauliwa na mhimili mwingine,ngoma droo.
Halfu nikukumbushe Jamaa yako alijaa kiburi kuliko maelezo mtu kuuliza swali tu anaitwa kamati ya maadili "it was fair?"

Ustake ncheke 😁😁.

1. Kosa moja au zaidi hakuhalalishi kosa jingine. Wala kosa moja (au hata zaidi hakuharamishi lolote lilo halali.

2. Kwamba Ndugai alifanya ukiukwaji mkubwa? Hilo halina ubishi, ila angewajibishwa kwa hayo si kwa hili la kutoa maoni.

"Ndugai mnyongeni ila kutoa maoni ilikuwa haki yake."
 
Una maana penati tumepewa kipa hamna golini sisi tumesusa? Kwamba tutafunga kwa nguvu zetu na hiyo ni fainali kombe la dunia dak ya majeruhi?

Seriously?

Bado huoni kuwa tuna matatizo makubwa mno?
katiba imevunjwa mara ngapi na mbona hamkuchukua hatua zozote?
 
Mussa Asad yeye haikuwa haki yake kutoa maoni?
Upinzani sijui mmerogwa na Nani?huyo jamaa kawatesa Sana bungeni leo mnamuonea huruma

Uliyerogwa utakuwa ni wewe. Wakukusikiliza kwenye huu utopolo wako labda Chatto na Makunduchi huko:

1. Tulipokuwa tukimpigia kelele Ndugai kwenye ukiukaji wake mkubwa wa katiba dhidi, ya kina Assad, pascal, na yake mengi bungeni - mlikuwa upande wa udhwalimu.

2. Leo tukipigia kelele haki za Ndugai kukiukwa - mko upande wa upande wa udhwalimu.

Tofauti yetu na nyinyi ni kuwa sisi hatuna simile na ubaradhuli.

Bila shaka utakuwakuwa ni mmoja katika washirika muhimu sana kwenye ubaradhuli.
 
Shida hamjui mnataka nini.
Na mna mchanganya Mungu.
au mnadhani ndugai akiwa spika wa bunge ndo atawapa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi?
Ndugai awepo asiwepo hawasaidii chochote katika harakati zenu ni kazi bure NI sawa na mumtetee au msimtetee HAMUWEZI KUBADILISHA MAAMUZI.
Mbowe kapewa kesi ya ugaidi umemuona ndugai akimtetea?
Ila nyie wazee wa kuruka na beat kimbele mbele.
JIFUNZENI KUBALANCE SHOBO
Uliyerogwa utakuwa ni wewe. Wakukusikiliza kwenye huu utopolo waki labda Chatto na Makunduchi huko:

1. Tulipokuwa tukimpigia kelele Ndugai kwenye ukiukaji wake mkubwa wa katiba dhidi, ya kina Assad, pascal, na yake mengi bungeni - mlikuwa upande wa udhwalimu.

2. Leo tukipigia kelele haki za Ndugai kukiukwa - mko upande wa upande wa udhwalimu.

Tofauti yetu na nyinyi ni kuwa sisi hatuna simile na ubaradhuli.

Bila shaka utakuwakuwa ni mmoja katika washirika muhimu sana kwenye ubaradhuli.
 
Atoke kwanza Ndugai mengine yatafuata sababu Ndugai ndiyo alikuwa anaongoza kwa kuvunja katiba

Kwa sababu ya Ndugai tu huoni umuhimu wa kukwamisha mpira huo wavuni tuchukue kombe kwanza:

IMG_20220108_152714_631.jpg


tukashughulika na Ndugai na wote tulio na makando kando nao baada ya mechi?

Hatuwezi kabisa kukubaliana japo kwenda kwa utaratibu huu?

1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda zetu ni za kudumu si marafiki.
 
Shida hamjui mnataka nini.
Na mna mchanganya Mungu.
au mnadhani ndugai akiwa spika wa bunge ndo atawapa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi?
Ndugai awepo asiwepo hawasaidii chochote katika harakati zenu ni kazi bure NI sawa na mumtetee au msimtetee HAMUWEZI KUBADILISHA MAAMUZI.
Mbowe kapewa kesi ya ugaidi umemuona ndugai akimtetea?
Ila nyie wazee wa kuruka na beat kimbele mbele.
JIFUNZENI KUBALANCE SHOBO

Una mawazo mgando na huelewi unachoongea.

"Ndugai kama Ndugai ni adui yetu mkubwa kama ulivyo wewe."

Hata hivyo haki hata za adui yetu ukiwamo wewe ukipenda ni haki zetu pia.
 
"JIFUNZENI KUBALANCE SHOBO"
Una mawazo mgando na huelewi unachoongea.

"Ndugai kama Ndugai ni adui yetu mkubwa kama ulivyo wewe."

Hata hivyo haki hata za adui yetu ukiwamo wewe ukipenda ni haki zetu pia.
 
Kosa la Ndugai ni lipi? kuhoji kukopa hovyo kila siku kama ndio sifa hii? nawe kama unaamini Ndugai amekosa una mtindio wa ubongo.

Huyo mwamba ni huyu hapa:

IMG_20220108_132624_269.jpg


Jina la kazi - chawa.

Hoja aitoe wapi?
 
Back
Top Bottom