Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
bila kumtoa Ndugai ni ngumu kufanikiwaKwa sababu ya Ndugai tu huoni umuhimu wa kukwamisha mpira huo wavuni tuchukue kombe kwanza:
View attachment 2073490
tukashughulika na Ndugai na wote tulio na makando kando nao baada ya mechi?
Hatuwezi kabisa kukubaliana japo kwenda kwa utaratibu huu?
1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda zetu ni za kudumu si marafiki.
Yeye alipowaita wenzake kuwaji walipo toa maoni yao yanayolindwa kikatiba haikuwa shida? alipotumia madaraka yake vibaya kuwavua wabunge waliochagulowa kihalali na wananchi haikuwa nongwa, yeye alipoleta polisi kuwadhalilisha wabunge wengine ndani ya bunge haikuwa tatizo ,alipowasimamisha baadhi ya wabunge bila sababu za msingi hapakuwa na mawaa.Ila yeye njia zile zile alizotumia kuwasurubu wengine zilipotumiwa dhidi yake kilio kimekuwa kingi!!!.
Kifupi anatakiwa kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka.Ila basi alijitengenezea kinga ya kutoshitakiwa bila hivyo alitakiwa kuwajibika kisheria.
Tena umenikumbusha wale wabunge wa CUF mahakama ilisema warudi bungeni Jamaa yako AKAKAIDI AMRI YA MAHAKAMA.
Yeye alidharau mhimili mwingine malipo ni hapa hapa duniani na yeye leo kadharauliwa na mhimili mwingine,ngoma droo.
Halfu nikukumbushe Jamaa yako alijaa kiburi kuliko maelezo mtu kuuliza swali tu anaitwa kamati ya maadili "it was fair?"
bila kumtoa Ndugai ni ngumu kufanikiwa
Asante mkuuBabati heshima kwako mkuu.
Ndugai: Ndoto ya Mihimili huru rasmi Imeyeyuka
Hakukuwa na njia rahisi zaidi hapa?
Amehuzulishwa na chama chake mwenyewe pasipo ridhaa yake!!