Kujiweka karibu na wanasiasa kumeiharibu sana Yanga

Kujiweka karibu na wanasiasa kumeiharibu sana Yanga

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kitendo cha kufikia hatua ya kutoa tuhuma nzito kwa kutumia kipengele cha "Upangaji Matokeo" kuhusiana na mechi ya Mamelodi Sundowns vs Yanga kunanikumbusha siasa zetu za vyama vingi na jinsi migogoro inavyotokeaga.

Kwa haraka nakumbuka migogoro ya kina Mrema ndani ya NCCR, Zito Kabwe ndani ya CHADEMA, na Lipumba ndani ya CUF, hawa wote ni watu waliokaribishwa katika vyama halafu baadae wakaota mapembe na kujaribu kuleta mapinduzi ndani ya vyama vyao.

Ni juzi tu ambapo Yanga ilikuwa inatamba kwamba Hersi ni bosi wa mabosi wote. Leo hii wamesahau yote hayo wanatoa tuhuma kali na nzito dhidi ya Rais wa CAF Patrice Motsepe huku hawajui kuwa ni yeye aliyempa hilo pande Hersi. Na pia jiulize walikuwa wanajisifu nini kwa hiko cheo cha Hersi, kumbe hana ushawishi wowote huko CAF au na yeye ameihujumu Yanga? Labda kweli anaihujumu timu yake maana alishaitabiria kufungwa na Mamelodi.

Yanga wakubali bado ni wachanga katika mashindano haya. Wataendelea kuonewa saaana mpaka kwanza akili ziwakae sawa. Mwaka jana Wydad vs. Simba, Baleke alifunga goli halali lakini refa alipoenda kwenye VAR alifanya maamuzi bila watazamaji kuonyeshwa replay ya VAR, watu tukalalamika kidogo maisha yakaendelea. Yanga kila siku wamekaa kupinga historia za mafanikio ya Simba wakati laiti wangezikubali wasingejiona wao ndiyo wa kwanza kufika huko wanapojisifia maana huko kuonewa Simba wameshakumbana napo sana ikiwemo nusu fainali ya 1974 ambayo Yanga wamekataa kuitambua. Nimewasikia mashabiki hadi viongozi wa Yanga siyo tu hawatambui Simba kufika fainali ya Shirikisho, lakini hawatambui pia Simba kufika nusu fainali ya CAFCL. Kwa maana nyingine hii klabu imeamua kuukumbatia ujinga.

Akili za Yanga zimekuwa corrupted. Juzi kwa ukaribu wao na wanasiasa, wameruhusiwa kuingiza mashabibi bure huku serikali ikijua maafa ambayo yamewahi kutokea walipofanya hivyo siku za nyuma. Maafa yakajirudia tena ila cha kushangaza zaidi, serikali imepoteza mapato kutokana na mechi kufanywa bure, klabu imepoteza mapato bila sababu halafu siku chache baadae serikali hiyo hiyo imeenda kuipatia msaada timu hiyo hiyo ili kupeleka mashabiki Afrika Kusini. Hizi ni akili za watu wanaoendeshwa kisiasa ndiyo wanaweza kufanya maamuzi ya namna hii. Siku zote nimekuwa nasema Yanga ni taasisi ya CCM kama ilivyo UVCCM, UWT-CCM na Baraza la Wazazi. Tofauti ni kuwa kutokana na makatazo ya FIFA, Yanga haijawahi kurasimishwa rasmi kama taasisi ya CCM.

Yanga ikumbuke kuna maisha baada ya robo fainali ya CAFCL 2023-2024. Mashabiki wa Yanga walikuwa wanaicheka Simba kwa kuishia robo fainali kwa misimu mfululizo kama vile wao wameyapatia maisha leo hii wanashangilia "wametoka kiume" katika hatua hiyo hiyo. Kuna AFL ambayo walisema waliahidiwa na Motsepe lakini wanaweza wasipewe hiyo nafasi tena maana anayeweza kuwabeba ndiyo kwanza wanamfanyia zengwe atoke CAF. Kuna kibarua cha Hersi kwenye kile kitaasisi cha mchongo ambacho Motsepe alikianzisha. Yote hayo yatapepea wakiendelea kuwatunishia vifua wenye nguvu na ushawishi.
 
Ni ukweli mtupu huo, mfano simba kashiriki AFL hakukua na motisha yoyote Ile, msimu uliohisha waliahidi kutoa motisha kwa kila goli cha ajabu Kuna mechi simba alitoa suluhu ya magoli hakupewa, wakaja na kigezo cha alitakiwa ashinde, hatukwenda mbali mechi ya yanga vs USM Alger kwa mkapa yanga anakufa 1-2 bado wakalipwa kwa goli moja Ili kuwapa motisha 2nd leg. Apa juzi waziri mwenye dhamana anajitokeza kutoa kauli za uzalendo na ukiangalia waliokua wanapokea wageni ni yanga, kiukweli kwa doto haiko fair
 
Hawa watu hawana Akili kabisa ndugu yangu.

Kabla Ya droo ya CAF ya Robo fainali Msemaji wa Yanga alikuwa anatamba kuitaka mamelody.

Baadhi ya mashabiki wa Yanga walikuwa wanaomba kupangiwa na Mamelody. Droo ikapangwa kihuni wakaangukia kwa Mamelody.

Sijui walikuwa hawajui kuwa Mamelody lazima wabebwe!!!!!????

Mambo yakiyonisikitisha zaidi
1. Yanga kuomba kupangiwa Mamelody.

2. Nahodha kushindwa kuwahamasisha wenzie kumzonga mwamuzi kwenda kuangalia VAR kama ni goli ama sio goli.

3. Wachezaji wa yanga Kutojiandaa kwa mikwaju ya Penalt.
Kwa kukosa Penalt.
- Azizi Ki.
-Dicson Job.
-Ibrahim Bakayoko.
 
Kitendo cha kufikia hatua ya kutoa tuhuma nzito kwa kutumia kipengele cha "Upangaji Matokeo" kuhusiana na mechi ya Mamelodi Sundowns vs Yanga kunanikumbusha siasa zetu za vyama vingi na jinsi migogoro inavyotokeaga.

Kwa haraka nakumbuka migogoro ya kina Mrema ndani ya NCCR, Zito Kabwe ndani ya CHADEMA, na Lipumba ndani ya CUF, hawa wote ni watu waliokaribishwa katika vyama halafu baadae wakaota mapembe na kujaribu kuleta mapinduzi ndani ya vyama vyao.

Ni juzi tu ambapo Yanga ilikuwa inatamba kwamba Hersi ni bosi wa mabosi wote. Leo hii wamesahau yote hayo wanatoa tuhuma kali na nzito dhidi ya Rais wa CAF Patrice Motsepe huku hawajui kuwa ni yeye aliyempa hilo pande Hersi. Na pia jiulize walikuwa wanajisifu nini kwa hiko cheo cha Hersi, kumbe hana ushawishi wowote huko CAF au na yeye ameihujumu Yanga? Labda kweli anaihujumu timu yake maana alishaitabiria kufungwa na Mamelodi.

Yanga wakubali bado ni wachanga katika mashindano haya. Wataendelea kuonewa saaana mpaka kwanza akili ziwakae sawa. Mwaka jana Wydad vs. Simba, Baleke alifunga goli halali lakini refa alipoenda kwenye VAR alifanya maamuzi bila watazamaji kuonyeshwa replay ya VAR, watu tukalalamika kidogo maisha yakaendelea. Yanga kila siku wamekaa kupinga historia za mafanikio ya Simba wakati laiti wangezikubali wasingejiona wao ndiyo wa kwanza kufika huko wanapojisifia maana huko kuonewa Simba wameshakumbana napo sana ikiwemo nusu fainali ya 1974 ambayo Yanga wamekataa kuitambua. Nimewasikia mashabiki hadi viongozi wa Yanga siyo tu hawatambui Simba kufika fainali ya Shirikisho, lakini hawatambui pia Simba kufika nusu fainali ya CAFCL. Kwa maana nyingine hii klabu imeamua kuukumbatia ujinga.

Akili za Yanga zimekuwa corrupted. Juzi kwa ukaribu wao na wanasiasa, wameruhusiwa kuingiza mashabibi bure huku serikali ikijua maafa ambayo yamewahi kutokea walipofanya hivyo siku za nyuma. Maafa yakajirudia tena ila cha kushangaza zaidi, serikali imepoteza mapato kutokana na mechi kufanywa bure, klabu imepoteza mapato bila sababu halafu siku chache baadae serikali hiyo hiyo imeenda kuipatia msaada timu hiyo hiyo ili kupeleka mashabiki Afrika Kusini. Hizi ni akili za watu wanaoendeshwa kisiasa ndiyo wanaweza kufanya maamuzi ya namna hii. Siku zote nimekuwa nasema Yanga ni taasisi ya CCM kama ilivyo UVCCM, UWT-CCM na Baraza la Wazazi. Tofauti ni kuwa kutokana na makatazo ya FIFA, Yanga haijawahi kurasimishwa rasmi kama taasisi ya CCM.

Yanga ikumbuke kuna maisha baada ya robo fainali ya CAFCL 2023-2024. Mashabiki wa Yanga walikuwa wanaicheka Simba kwa kuishia robo fainali kwa misimu mfululizo kama vile wao wameyapatia maisha leo hii wanashangilia "wametoka kiume" katika hatua hiyo hiyo. Kuna AFL ambayo walisema waliahidiwa na Motsepe lakini wanaweza wasipewe hiyo nafasi tena maana anayeweza kuwabeba ndiyo kwanza wanamfanyia zengwe atoke CAF. Kuna kibarua cha Hersi kwenye kile kitaasisi cha mchongo ambacho Motsepe alikianzisha. Yote hayo yatapepea wakiendelea kuwatunishia vifua wenye nguvu na ushawishi.
Kolo umeandika Nini hiki? Ebu tulia kwanza omba maji ya kunywa urudi Tena maana pointless zako zinaonyesha mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama
 
Kitendo cha kufikia hatua ya kutoa tuhuma nzito kwa kutumia kipengele cha "Upangaji Matokeo" kuhusiana na mechi ya Mamelodi Sundowns vs Yanga kunanikumbusha siasa zetu za vyama vingi na jinsi migogoro inavyotokeaga.

Kwa haraka nakumbuka migogoro ya kina Mrema ndani ya NCCR, Zito Kabwe ndani ya CHADEMA, na Lipumba ndani ya CUF, hawa wote ni watu waliokaribishwa katika vyama halafu baadae wakaota mapembe na kujaribu kuleta mapinduzi ndani ya vyama vyao.

Ni juzi tu ambapo Yanga ilikuwa inatamba kwamba Hersi ni bosi wa mabosi wote. Leo hii wamesahau yote hayo wanatoa tuhuma kali na nzito dhidi ya Rais wa CAF Patrice Motsepe huku hawajui kuwa ni yeye aliyempa hilo pande Hersi. Na pia jiulize walikuwa wanajisifu nini kwa hiko cheo cha Hersi, kumbe hana ushawishi wowote huko CAF au na yeye ameihujumu Yanga? Labda kweli anaihujumu timu yake maana alishaitabiria kufungwa na Mamelodi.

Yanga wakubali bado ni wachanga katika mashindano haya. Wataendelea kuonewa saaana mpaka kwanza akili ziwakae sawa. Mwaka jana Wydad vs. Simba, Baleke alifunga goli halali lakini refa alipoenda kwenye VAR alifanya maamuzi bila watazamaji kuonyeshwa replay ya VAR, watu tukalalamika kidogo maisha yakaendelea. Yanga kila siku wamekaa kupinga historia za mafanikio ya Simba wakati laiti wangezikubali wasingejiona wao ndiyo wa kwanza kufika huko wanapojisifia maana huko kuonewa Simba wameshakumbana napo sana ikiwemo nusu fainali ya 1974 ambayo Yanga wamekataa kuitambua. Nimewasikia mashabiki hadi viongozi wa Yanga siyo tu hawatambui Simba kufika fainali ya Shirikisho, lakini hawatambui pia Simba kufika nusu fainali ya CAFCL. Kwa maana nyingine hii klabu imeamua kuukumbatia ujinga.

Akili za Yanga zimekuwa corrupted. Juzi kwa ukaribu wao na wanasiasa, wameruhusiwa kuingiza mashabibi bure huku serikali ikijua maafa ambayo yamewahi kutokea walipofanya hivyo siku za nyuma. Maafa yakajirudia tena ila cha kushangaza zaidi, serikali imepoteza mapato kutokana na mechi kufanywa bure, klabu imepoteza mapato bila sababu halafu siku chache baadae serikali hiyo hiyo imeenda kuipatia msaada timu hiyo hiyo ili kupeleka mashabiki Afrika Kusini. Hizi ni akili za watu wanaoendeshwa kisiasa ndiyo wanaweza kufanya maamuzi ya namna hii. Siku zote nimekuwa nasema Yanga ni taasisi ya CCM kama ilivyo UVCCM, UWT-CCM na Baraza la Wazazi. Tofauti ni kuwa kutokana na makatazo ya FIFA, Yanga haijawahi kurasimishwa rasmi kama taasisi ya CCM.

Yanga ikumbuke kuna maisha baada ya robo fainali ya CAFCL 2023-2024. Mashabiki wa Yanga walikuwa wanaicheka Simba kwa kuishia robo fainali kwa misimu mfululizo kama vile wao wameyapatia maisha leo hii wanashangilia "wametoka kiume" katika hatua hiyo hiyo. Kuna AFL ambayo walisema waliahidiwa na Motsepe lakini wanaweza wasipewe hiyo nafasi tena maana anayeweza kuwabeba ndiyo kwanza wanamfanyia zengwe atoke CAF. Kuna kibarua cha Hersi kwenye kile kitaasisi cha mchongo ambacho Motsepe alikianzisha. Yote hayo yatapepea wakiendelea kuwatunishia vifua wenye nguvu na ushawishi.
How can you utilize productive time to write rubbish article like this?
 
Mbumbumbu Fc kwasasa hawana pakushika wamebaki na fedheha.
 
Kitendo cha kufikia hatua ya kutoa tuhuma nzito kwa kutumia kipengele cha "Upangaji Matokeo" kuhusiana na mechi ya Mamelodi Sundowns vs Yanga kunanikumbusha siasa zetu za vyama vingi na jinsi migogoro inavyotokeaga.

Kwa haraka nakumbuka migogoro ya kina Mrema ndani ya NCCR, Zito Kabwe ndani ya CHADEMA, na Lipumba ndani ya CUF, hawa wote ni watu waliokaribishwa katika vyama halafu baadae wakaota mapembe na kujaribu kuleta mapinduzi ndani ya vyama vyao.

Ni juzi tu ambapo Yanga ilikuwa inatamba kwamba Hersi ni bosi wa mabosi wote. Leo hii wamesahau yote hayo wanatoa tuhuma kali na nzito dhidi ya Rais wa CAF Patrice Motsepe huku hawajui kuwa ni yeye aliyempa hilo pande Hersi. Na pia jiulize walikuwa wanajisifu nini kwa hiko cheo cha Hersi, kumbe hana ushawishi wowote huko CAF au na yeye ameihujumu Yanga? Labda kweli anaihujumu timu yake maana alishaitabiria kufungwa na Mamelodi.

Yanga wakubali bado ni wachanga katika mashindano haya. Wataendelea kuonewa saaana mpaka kwanza akili ziwakae sawa. Mwaka jana Wydad vs. Simba, Baleke alifunga goli halali lakini refa alipoenda kwenye VAR alifanya maamuzi bila watazamaji kuonyeshwa replay ya VAR, watu tukalalamika kidogo maisha yakaendelea. Yanga kila siku wamekaa kupinga historia za mafanikio ya Simba wakati laiti wangezikubali wasingejiona wao ndiyo wa kwanza kufika huko wanapojisifia maana huko kuonewa Simba wameshakumbana napo sana ikiwemo nusu fainali ya 1974 ambayo Yanga wamekataa kuitambua. Nimewasikia mashabiki hadi viongozi wa Yanga siyo tu hawatambui Simba kufika fainali ya Shirikisho, lakini hawatambui pia Simba kufika nusu fainali ya CAFCL. Kwa maana nyingine hii klabu imeamua kuukumbatia ujinga.

Akili za Yanga zimekuwa corrupted. Juzi kwa ukaribu wao na wanasiasa, wameruhusiwa kuingiza mashabibi bure huku serikali ikijua maafa ambayo yamewahi kutokea walipofanya hivyo siku za nyuma. Maafa yakajirudia tena ila cha kushangaza zaidi, serikali imepoteza mapato kutokana na mechi kufanywa bure, klabu imepoteza mapato bila sababu halafu siku chache baadae serikali hiyo hiyo imeenda kuipatia msaada timu hiyo hiyo ili kupeleka mashabiki Afrika Kusini. Hizi ni akili za watu wanaoendeshwa kisiasa ndiyo wanaweza kufanya maamuzi ya namna hii. Siku zote nimekuwa nasema Yanga ni taasisi ya CCM kama ilivyo UVCCM, UWT-CCM na Baraza la Wazazi. Tofauti ni kuwa kutokana na makatazo ya FIFA, Yanga haijawahi kurasimishwa rasmi kama taasisi ya CCM.

Yanga ikumbuke kuna maisha baada ya robo fainali ya CAFCL 2023-2024. Mashabiki wa Yanga walikuwa wanaicheka Simba kwa kuishia robo fainali kwa misimu mfululizo kama vile wao wameyapatia maisha leo hii wanashangilia "wametoka kiume" katika hatua hiyo hiyo. Kuna AFL ambayo walisema waliahidiwa na Motsepe lakini wanaweza wasipewe hiyo nafasi tena maana anayeweza kuwabeba ndiyo kwanza wanamfanyia zengwe atoke CAF. Kuna kibarua cha Hersi kwenye kile kitaasisi cha mchongo ambacho Motsepe alikianzisha. Yote hayo yatapepea wakiendelea kuwatunishia vifua wenye nguvu na ushawishi.
Mmechotwa na CCM Hadi mkiona watu wanadai haki zào mnawachukia?
 
Hawa watu hawana Akili kabisa ndugu yangu.

Kabla Ya droo ya CAF ya Robo fainali Msemaji wa Yanga alikuwa anatamba kuitaka mamelody.

Baadhi ya mashabiki wa Yanga walikuwa wanaomba kupangiwa na Mamelody. Droo ikapangwa kihuni wakaangukia kwa Mamelody.

Sijui walikuwa hawajui kuwa Mamelody lazima wabebwe!!!!!????

Mambo yakiyonisikitisha zaidi
1. Yanga kuomba kupangiwa Mamelody.

2. Nahodha kushindwa kuwahamasisha wenzie kumzonga mwamuzi kwenda kuangalia VAR kama ni goli ama sio goli.

3. Wachezaji wa yanga Kutojiandaa kwa mikwaju ya Penalt.
Kwa kukosa Penalt.
- Azizi Ki.
-Dicson Job.
-Ibrahim Bakayoko.
kumzonga sio hoja kabisa kwani ye hajui kazi yake..? hao walio kwenye var walikuwa na kazi gani kama hawakumuita refa aangalie! ...
issue ni kuwa wamepuyanga marefa wote lile jambo linautata na walichokifanya kimeongeza zaidi utata,there is no meaning of var if you don't use it especially on what happened!...
 
Hawa watu hawana Akili kabisa ndugu yangu.

Kabla Ya droo ya CAF ya Robo fainali Msemaji wa Yanga alikuwa anatamba kuitaka mamelody.

Baadhi ya mashabiki wa Yanga walikuwa wanaomba kupangiwa na Mamelody. Droo ikapangwa kihuni wakaangukia kwa Mamelody.

Sijui walikuwa hawajui kuwa Mamelody lazima wabebwe!!!!!????

Mambo yakiyonisikitisha zaidi
1. Yanga kuomba kupangiwa Mamelody.

2. Nahodha kushindwa kuwahamasisha wenzie kumzonga mwamuzi kwenda kuangalia VAR kama ni goli ama sio goli.

3. Wachezaji wa yanga Kutojiandaa kwa mikwaju ya Penalt.
Kwa kukosa Penalt.
- Azizi Ki.
-Dicson Job.
-Ibrahim Bakayoko.
Wakati mpira unaendelea niliwaambia watu niliokuwa naangalia nao mechi, ikienda kwenye penati Yanga inafungwa maana hakuna wapigaji. Halafu nikawakumbushia alichofanya kipa wa Mamelodi kule AFCON. Nilipomuona Bacca anaenda kupiga ile penati ndiyo kabisa nikasema wameisha, watu hawataki kusema ila ule ulikuwa uchaguzi mbaya wa mpiga penati.

Kuhusu kuwataka Mamelodi, niliandika katika uzi mmoja toka Yanga ilipotangazwa kucheza na Mamelodi ni kama walichanganyikiwa hivi. Bongo zao zilishindwa kuchakata hali iliyo mbele yao ndiyo maana hilo la uwezekano wa Mamelodi kubebwa wala hawakuliwazia.
 
Kolo umeandika Nini hiki? Ebu tulia kwanza omba maji ya kunywa urudi Tena maana pointless zako zinaonyesha mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama
Baada tu ya kupangwa na Mamelodi niliwaambia mmeingia choo cha kike hamkutaka kusikia.

 
Yanga kakupiga 5 tarehe 5 November
Kidonda bado kibichi

Yanga katolewa kwa hujuma kapambana

Mbumbumbu kapigwa kinyonge nyuma na mbele na akafurahia mapigo ya mwarabu
Yanga hajaruhusu goli dk 180

Halafu leo mbumbumbu wamesahau magumu yao wanasherekea ya yanga

Tumwache mo amiliki 5imba upande ule watu ni mbumbumbu
 
🤣🤣🤣😅😅 watu hawalali kisa yanga! Mechi ya Simba na yanga ni trh 20 jiandae na hiyo mechi tutawaingizia vijiti vitano Tena. Mmemshindwa kujadili ubovu qa timu lenu.
 
Wakati mpira unaendelea niliwaambia watu niliokuwa naangalia nao mechi, ikienda kwenye penati Yanga inafungwa maana hakuna wapigaji. Halafu nikawakumbushia alichofanya kipa wa Mamelodi kule AFCON. Nilipomuona Bacca anaenda kupiga ile penati ndiyo kabisa nikasema wameisha, watu hawataki kusema ila ule ulikuwa uchaguzi mbaya wa mpiga penati.

Kuhusu kuwataka Mamelodi, niliandika katika uzi mmoja toka Yanga ilipotangazwa kucheza na Mamelodi ni kama walichanganyikiwa hivi. Bongo zao zilishindwa kuchakata hali iliyo mbele yao ndiyo maana hilo la uwezekano wa Mamelodi kubebwa wala hawakuliwazia.
Unaandika upuuzi tu hapa... Kwani Dunia hii aliyekosa penalty ni Bacca au hao Mamelod hawajakosa penalty? Simba mmeingia Mara 5 robo Kuna mechi mliotolewa kwa penalty au zote mlikuwa mnapigwa mapema?.
 
Yanga kakupiga 5 tarehe 5 November
Kidonda bado kibichi

Yanga katolewa kwa hujuma kapambana

Mbumbumbu kapigwa kinyonge nyuma na mbele na akafurahia mapigo ya mwarabu
Yanga hajaruhusu goli dk 180

Halafu leo mbumbumbu wamesahau magumu yao wanasherekea ya yanga

Tumwache mo amiliki 5imba upande ule watu ni mbumbumbu
Shida yenu ndiyo hiyo ushamba mwingi. Mmekalia matokeo ya November 5 kwani nyie toka tarehe hiyo mmefungwa mechi ngapi?

Eti haujafungwa goli dakika 180, kuna walioruhusu goli lakini wako nusu fainali sasa hivi, point yako ni nini?
 
Sijawahi ona timu iliyojaa wajinga kama UTO hata ukikaa nao kijiweni mnapo bishana unaona tu jinsi walivyo na iq ndogo..
Haswaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa watu hawana Akili kabisa ndugu yangu.

Kabla Ya droo ya CAF ya Robo fainali Msemaji wa Yanga alikuwa anatamba kuitaka mamelody.

Baadhi ya mashabiki wa Yanga walikuwa wanaomba kupangiwa na Mamelody. Droo ikapangwa kihuni wakaangukia kwa Mamelody.

Sijui walikuwa hawajui kuwa Mamelody lazima wabebwe!!!!!????

Mambo yakiyonisikitisha zaidi
1. Yanga kuomba kupangiwa Mamelody.

2. Nahodha kushindwa kuwahamasisha wenzie kumzonga mwamuzi kwenda kuangalia VAR kama ni goli ama sio goli.

3. Wachezaji wa yanga Kutojiandaa kwa mikwaju ya Penalt.
Kwa kukosa Penalt.
- Azizi Ki.
-Dicson Job.
-Ibrahim Bakayoko.
Kumbe uliifuatilia ile mechi mkuu?
 
Back
Top Bottom