Kukaa kimya ni hekima na kuepusha madhara yasiyo ya lazima! Kusakwa kwa wanaharakati ni kukuza jambo na kuongeza joto la upinzani wa mkataba

Viongozi wa serikali ya Tanzania wanawadharau sana wananchi kwa kuwasabb wananchi ni mazoba. Hata hili la DP World litapita tu.
 
Afrika haswa nchi zenye mazwazwa wengi ka Tanzania, Rwanda Rahisi ni mungu na ana wafuasi wake kama kina Lucas Msambwanda
 
Wananchi na Viongozi wa Tzn sio wajinga kama huko unakotaja,kwanza huko walikuwa wanagombea vyeo
Kwani huku mnavyopora chaguzi zetu huwa mnagombea nini? Shukurani bado Makondoo ni wengi hapa Tanzania.
 
Nimeshangaa sana kusikia watu wanaotoa maoni hasi juu yabuuzaji wa Tanganyika wanasakwa na kufanyiwa majaribio ya mauaji, hii haikubalika, kwani lazima mtuuze sisi, si muize Zanzibar yenu, shida nini?!
 
How did we get here ?!!!!

Things are Falling Apart.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…