Kukaa nyumba Ambayo kuna wapangaji wengi hasa wanawake ni kero

Kukaa nyumba Ambayo kuna wapangaji wengi hasa wanawake ni kero

Nimewahi kukaa nyumba yaku share geti ilikuwa kero sana, kuna wanawake wajinga sana hasa wenye shule ndogo ni mzigo daily wako kimashibdano na chokochoko loh.
ungeungana nao[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hiyo ndiyo maana ya maisha, hiyo siyo kero ndiyo maisha. Hayo ndiyo maisha yako. Kamwe hauwezi kuyakimbia. Fanya bidii uame kwenye mfumo huo wa maisha.
MAISHA YANA MATUKIO MENGI
 
Siamini mtu mzima ameweza kuuliza swali kama hili. ... waume zao wanafanya kazi
Kwani mleta mada amesemaje??
Umejuaje km wana wanaume?? Unaweza ona ni dume kumbe shoga...

Jua kuna wasagaji
kuna wengine wana double sex.
Wengine dume jike ukijichanganya wewe na ubara wako unaliwa nyaa! Kiulainii...

Onyo:
Siku nyengine babu, usikurupukege tulia tuli upewe ubuyu Babuee!!ee..... Tchaaaa!!
 
Sipendagi ujinga walikuwa watu wa hila hila flani hivi na shule ndogo bana hata nikiamka kwenda kazini shida mara umevaa vile mara kile in short vurugu tupu
inaonekana wewe ni introvert
 
mwaka flani nilikaa yombo na chalii yangu aisee wale wapangaji wanoko sana
real mimi ni mtu wa mademu naweza nikaingiza madema hata watatu kwa siku za wikiend
chalii yangu yeye ndy kipanga zaid some times alikuwa anapiga boda aisee tuliwagonga sana kuku wa kienyeji
 
inaonekana wewe ni introvert
Sidhani mimi huwa mchangamfu kulingangana na watu tunaoelewana mawazo hata mitazamo najiachia, nikishakusoma nikajua level flani hata ya uelewa nakukwepa fasta, huwa ni mtu mkimya na mpenda amani sipendi distraction so nadhani ndo iliniletea shida, sometime people find difficult to understand me
 
Hamna nafuu mkuu, kuna watu wajinga hupendi ugomvi hata ukiwa self ni kosa lazima tu wakuchokonoe,ukiwa busy maneno in short ni tabu tupu. Kuna kipindi nilikuwa naenda kwa rafiki huyo Mama wa nyumba akiona umeenda tu anakaa mlangoni au dirishani ili kusikiliza kinachoendelea.
Aisee
 
Back
Top Bottom