Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Kama siyo ndugu zako mbona raha tu,tena wawe na chura na wanavaa dera bila chupi na vikuku na hina yaani sihami ngo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa mkuu,mbuzi za kienyeji ziko on fire sana basi tu.Inabidi hapo ujiongeze!!!
ungeungana nao[emoji2][emoji2][emoji2]Nimewahi kukaa nyumba yaku share geti ilikuwa kero sana, kuna wanawake wajinga sana hasa wenye shule ndogo ni mzigo daily wako kimashibdano na chokochoko loh.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wanaboa wana trend ya kugeuza ngazi za chooni kua kijiwe cha story
naam, hili ndio tatizo kubwa mzee unakuta njia ya kwenda choon wao ndo wameweka mkeka wanapiga umbeawanaboa wana trend ya kugeuza ngazi za chooni kua kijiwe cha story
Unaenda chooni na redio ya "ze blutus diwais" ya sundar ya kuchaji unapiga mziki mkubwa kwelikweli huku unashusha mizigo yako bila wasiwasi.wanaboa wana trend ya kugeuza ngazi za chooni kua kijiwe cha story
Peleka moto mpelekee motoHiyo ndo maana ya uswazi,unatoka kuoga bafuni unakuta kuna mbuzi imeingia gheto na kimini eti imekuja kuangalia series ya kikorea.
Sipendagi ujinga walikuwa watu wa hila hila flani hivi na shule ndogo bana hata nikiamka kwenda kazini shida mara umevaa vile mara kile in short vurugu tupuungeungana nao[emoji2][emoji2][emoji2]
Kwani mleta mada amesemaje??Siamini mtu mzima ameweza kuuliza swali kama hili. ... waume zao wanafanya kazi
hii ilinikuta, wakawa wanapeleka maneno kwa mwenye nyumba, ila mwenyenyumba akawa anashindwa kuniambia maana akifulia alikuwa anakuja kunikopa akawa ananionea soo.Kinachoboa zaidi ni umbea na kufuatiliana, unashindwa hata kupuliza mjani kwa amani
inaonekana wewe ni introvertSipendagi ujinga walikuwa watu wa hila hila flani hivi na shule ndogo bana hata nikiamka kwenda kazini shida mara umevaa vile mara kile in short vurugu tupu
Unafiki ni upi hapo?Ushauri umekaa kinafiki huu loh
Sidhani mimi huwa mchangamfu kulingangana na watu tunaoelewana mawazo hata mitazamo najiachia, nikishakusoma nikajua level flani hata ya uelewa nakukwepa fasta, huwa ni mtu mkimya na mpenda amani sipendi distraction so nadhani ndo iliniletea shida, sometime people find difficult to understand meinaonekana wewe ni introvert
AiseeHamna nafuu mkuu, kuna watu wajinga hupendi ugomvi hata ukiwa self ni kosa lazima tu wakuchokonoe,ukiwa busy maneno in short ni tabu tupu. Kuna kipindi nilikuwa naenda kwa rafiki huyo Mama wa nyumba akiona umeenda tu anakaa mlangoni au dirishani ili kusikiliza kinachoendelea.