Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Usiyavunje.Yakaange mazimamazima.Kila njia nafanya lakini nashindwa kukaanga mayai,kila nikijaribu yanavurugika,je nitumie mbinu gani nifanikiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiyavunje.Yakaange mazimamazima.Kila njia nafanya lakini nashindwa kukaanga mayai,kila nikijaribu yanavurugika,je nitumie mbinu gani nifanikiwe
do you think am a fool,right?Usiyavunje.Yakaange mazimamazima.
Mimi ni chotara wa kijerumani broWewe utakuwa mpare, unajifunza kupika halafu mbahili kwenye mafuta 🤣
Okay, pambana chotara ujue kupika ili ukiolewa umpikie shem vizuri.Mimi ni chotara wa kijerumani bro
Nakupa maujanja.Shauri yako.😂do you think am a fool,right?
pole,nakupuuza tuNakupa maujanja.Shauri yako.😂
Mimi niolewe,ama sijui unawaza nini,mimi nineoa wake 2 bro,naishi kimya,nikiwa nimestaafu,jifunze kuwa mstaarabu itakusaidia maishani kwakoOkay, pambana chotara ujue kupika ili ukiolewa umpikie shem vizuri.
Nakushauri mwacje mkeo apike mayai then utakula mayai pamoja na mpishi wake.Mimi niolewe,ama sijui unawaza nini,mimi nineoa wake 2 bro,naishi kimya,nikiwa nimestaafu,jifunze kuwa mstaarabu itakusaidia maishani kwako
Ukinipuuza ndiyo mayai yanaiva?Jinga wewe na jina lako lenye k.pole,nakupuuza tu
ha haUsikute anakaanga bila kupasua yai
nilikuwa shuleOngea,vizuri na Bi Mkubwa akwambie vizuri wakati wenzako wanajifunza weye ulikuwa wapi?
sasa nishajua,wengi wamenifunzaUkitaka hayo mayai ya kukaanga uyapatie pasua matano .... Ukipasua mawili yatamezwa na kikaango
poleachana na habari ya mapishi mwenyewe nilishawahi kuunguza yai la kuchemsha ndugu
njia pekee ni kuoa, habari ya jiko mama mdogo wako atashulikiapole