bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kwa vijijini jenapendekeza magari binafsi yote yapigwe marufuku
ni usafiri wa umma tu udunde
Mbona unahamaki?Safari za Nje za Watumishi ndio zinamaliza Dola? Bwege wewe
Itakua ni vidola vingapi tutasave?Mbona unahamaki?
Kwani watumishi wa umma hutumika pesa zao binafsi za madafu kusafiria?
Very minor ndio maana nakushangaaMbona unahamaki?
Kwani watumishi wa umma hutumia pesa zao binafsi za madafu kusafiria?
Ndugu Choice variable au bi Faiza fox , Lord Denim,wangetujuza safari moja ya kiongozi wetu mkuu akiwa na wapambe na waandamizi timu nzima kwenda merekani Kwa uchache hukomba vidola vingapi hazina.Itakua ni vidola vingapi tutasave?
Nadhani sio significant amount maana uhitaji wa dala ni billions of dollars...sasa hata tukisave dola labda laki mbili itakua sio kituNdugu Choice variable au bi Faiza fox wangetujuza safari moja ya kiongozi wetu mkuu akiwa na wapambe na waandamizi timu nzima kwenda merekani Kwa uchache hukomba vidola vingapi hazina.
Mwenye data tafadhali,Nadhani sio significant amount maana uhitaji wa dala ni billions of dollars...sasa hata tukisave dola labda laki mbili itakua sio kitu
Basi jikite kwenye HOJA,Umeanza vizuri,ukamaliza vibaya.magu ndo jinga aliyeleta yote haya
Unashauri walioficha nje pesa zetu wakizirudisha wasamehewe case ya uhujumu Uchumi na money loundry?Hauwezi kuzuia wizi Serikalini, hata wakati wa mwendazake kulikuwa na wizi. Cha muhimu ni kuelekezwa wanaoiba wawekeze nchini. Nchi nyingi za Afrika ambazo zina rasilimali kutuzidi sisi lakini wametuzidi umasikini kwa sababu wanasiasa wake wamewekeza nchi za nje. Angalia DRC wanasiasa wake wamewekeza Ufaransa na Afrika Kusini. Nchi za Afrika magharibi wanasiasa wake wamewekeza Ufaransa na Ubelgiji. Kwa hio hawa watu inabidi waambiwe wawekeze nchini. Mtu anapiga hela ananunua nyumba Dubai huo ni ujinga. Wakati anaweza kufungua kiwanda na kuajiri watu wengi hapa nyumbani.
Ahsante.Mpambe mmoja hutumia wastani wa mil40-80 tu kwa safari ya marekani kwa wiki 1...pesa ndogo sana
Tuhamie kwenye magari ya umeme.napendekeza magari binafsi yote yapigwe marufuku
ni usafiri wa umma tu udunde
Ukiwekeza hapa nzi wengiHauwezi kuzuia wizi Serikalini, hata wakati wa mwendazake kulikuwa na wizi. Cha muhimu ni kuelekezwa wanaoiba wawekeze nchini. Nchi nyingi za Afrika ambazo zina rasilimali kutuzidi sisi lakini wametuzidi umasikini kwa sababu wanasiasa wake wamewekeza nchi za nje. Angalia DRC wanasiasa wake wamewekeza Ufaransa na Afrika Kusini. Nchi za Afrika magharibi wanasiasa wake wamewekeza Ufaransa na Ubelgiji. Kwa hio hawa watu inabidi waambiwe wawekeze nchini. Mtu anapiga hela ananunua nyumba Dubai huo ni ujinga. Wakati anaweza kufungua kiwanda na kuajiri watu wengi hapa nyumbani.
Ni zaidi ya mwaka sasa Serikali yetu inalalamika upungufu wa Dollar Kwa ajili ya kuagizia bidhaa na kulipa mikopo na mahitaji mengine muhimu.
Safari za nje Kwa viongozi wa umma, Hazina yetu ya dollar hutumika, hivyo nashauri tuanze na kufuta safari za nje za viongozi Ili kutunza akiba ya pesa za kigeni kiduchu zilizopo.
Wakati hatua za mwanzo zikiendelea kuchukuliwa,
Tuwaombe viongozi wetu wa Dini wawaombe viongozi na wafanyabiashara wanaosemekana wameficha dollar majumbani wazitoe, walioficha ktk mabenki ya nje warudi kuwekeza nchini!!
Mikutano na vikao na mataifa ya nje itumike video conference kama kipindi Cha corona.
Magu alisema TUTAMKUMBUKA!!!
Tusione
Itatusaidia sana kumalizana na chama chakavu!!Shikamoo USA dollar
Tusiende kula life ughaibuni? Hilo haliwezekan kbs!!! Huu ni wakat wetu wa kula bafataaaa!!!Ni zaidi ya mwaka sasa Serikali yetu inalalamika upungufu wa Dollar Kwa ajili ya kuagizia bidhaa na kulipa mikopo na mahitaji mengine muhimu.
Safari za nje Kwa viongozi wa umma, Hazina yetu ya dollar hutumika, hivyo nashauri tuanze na kufuta safari za nje za viongozi Ili kutunza akiba ya pesa za kigeni kiduchu zilizopo.
Wakati hatua za mwanzo zikiendelea kuchukuliwa,
Tuwaombe viongozi wetu wa Dini wawaombe viongozi na wafanyabiashara wanaosemekana wameficha dollar majumbani wazitoe, walioficha ktk mabenki ya nje warudi kuwekeza nchini!!
Mikutano na vikao na mataifa ya nje itumike video conference kama kipindi Cha corona.
Magu alisema TUTAMKUMBUKA!!!
Tusione haya kujisahihisha.
Karibuniš
Zile safari zinakausha hazina Kweli Kweli ndugu,Tusiende kula life ughaibuni? Hilo haliwezekan kbs!!! Huu ni wakat wetu wa kula bafataaaa!!!
Anaenda marekani mara ngapi kwa wiki au mwezi?Asante,
Unaweza kutudokeza Kwa uchache safari moja ya kiongozi mkuu wetu kwenda merekani akiwa na wapambe na waandamizi wake hugharimu Pesa za kigeni kiasi Gani?
MWAKA 2022/2023, safari za nje Kwa watumishi wote wa umma,akiwemo Yeye, ziligharimu pesa za kigeni kiasi Gani?Anaenda marekani mara ngapi kwa wiki au mwezi?