Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Kiufupi polisi duniani kote wana mitambo ya kusikiliza na kukutrack popote ulipo duniani kote.

Njia rahisi wakupate wana chukuwa namba za watu wako wa karibu kupitia mtandao wa simu.

Hapa hata kama utabadilisha namba wanajua huyu ni wewe kwa kupitia njia mbili sauti yako au wanamfata alie pigiwa atowe ushahidi kama kweli alikuwa mtuhumiwa alie ongea nae.

Mtuhumiwa kosa lake mara nyingi inayo sababisha akamatwe ni kufanya mawasiliano na mzee,mke,mchumba,ndugu au marafiki. Pia kutumia kitambulisho kama Passport au Nida kwa kusafiria au kusajili namba ya simu kwa kutumia vitambulisho husika. Pia njia ya kutumia kutoa hela kwenye bank yake kwa [emoji763] au tawi la bank hii hujua huyu mtu yupo eneo gani.

Kwaiyo unataka kusema kama angeitupa simu na raini asingekamatwa
 
Muna si jina la kinyiramba mkuu, ni jina kinyaturu hukohuko singida kwa watani zako. Ni kweli intelijensia ya polisi imekua, iwe hivyo hivyo hata kwa wanaofanya mauji kwa raia wa kawaida na kutokomea kusikojulikana wakamatwe, pia intelijensia itumike na kwa wahalifu wengine
 
Mapambio huyeyusha werevu. Nchi zilizoendelea pamoja na budget kubwa ya inayotengwa kuimarisha teknolojia ya usalama, bado kuna “unsolved cases” nyingi tu zimerundikana. Ndo uje useme Tanzania teknolojia imekua kwenye mambo ya ulinzi na usalama?

Ukileta ubabe, uwe tayari kupokea matokeo regardless cheo na wadhifa wako. Watu sio wanyonge. Huyo bakabaka alipata alichostahili kwa wakati huo. RIP
Ni kweli kwa sababu wavumbuzi sio serikali ni watu binafsi waniuzia serikali
 
Hata usipotumia chombo chochote Cha mawasiliano labda usipande hata basi

Mabasi Yana kamera ndani picha hurushwa Kwa vyombo vyote vya Usafiri utadakwa tu

Ukitumia Usafiri private Traffic wote wanakuwa na picha ya mhalifu ukisimamishwa gari watajifanya wanakagua ushushe vioo vyote wanakagua Hadi kwenye buti nk kumbe wanakuwinda mwenyewe
Hii kamba, acha uongo wa Kitoto, bhana.
 
Ujinga ni kujifanya unajificha halafu unazima simu na kuwasha au kutupa Line ya simu na kununua mpya afu kuendelea kutumia simu Ile Ile.
Tupa simu tupa line uone kama utadakwa kirahisi. Ingekuwa mm ningekuwa Mogadishu muda huu
 
Sasa yeye Kato rasta km alishafanikisha kuingia Songea, si angechapa laba msumbiji kupitia njia ya mbinga had mitomonii.

Maana kupitia njia ya muhukuru angepata shida pale Mkenda.
Nweiii Afande Muna harudi tena Duniani, ndo ishatokaa hiyooo.
Kuna kuishiwa pesa unapiga simu nyumbani usaidiwe nauli.....hela kula ...unaweza kujikuta uko mganga miezi 6 umeishiwa oohhh
 
Hapo nunua line ya mchongo isiyo na usajili wa majina yako. .tafuta chaka mikoa ambayo ina shuguli za madini na uvuvi (wageni huwa wengi) hvyo hakuna atakayehisi ugeni wako ..jitupie huko kisha kata mawasiliano na mtu yoyote kwa muda wa mwaka mmoja.
Hata iwe miaka mitano watakudaka tu pana jamaa alimpiga mtu kwenye ugomvi hapo Chuga alikimbia karibu miaka 6 hakuonekana alipo baadae akadhani kesi imeisha akawa anaonekana mjini akidhani wahuni wamesahau kuna siku alikamatwa kwa kuitwa tu jina lake aisee fulani emu njoo mara moja yupo Kisongo mpaka leo...kesi ya mada ni tofauti na ujambazi navyoona mimi majambazi wakiacha anaweza kuishi ila sio kuua Mtu...
 
Hapo nunua line ya mchongo isiyo na usajili wa majina yako. .tafuta chaka mikoa ambayo ina shuguli za madini na uvuvi (wageni huwa wengi) hvyo hakuna atakayehisi ugeni wako ..jitupie huko kisha kata mawasiliano na mtu yoyote kwa muda wa mwaka mmoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji86] yaaan Happ. Mnafundishana namna Bora ya kutoroka
 
Mkuu pamoja na kuisifia intelijensia ya tanpol....ni muhimu pia watu kutambua kuwa unapofanya kosa ambalo unatafutwa na dola njia primitive ya kutoroka ni kuzima simu....

kuzima simu tu hakutoshi....tupa simu nzima pamoja na line zake walau utawakimbia hata miezi kadhaa japo utadakwa tu.

Simu ndio adui namba moja kwa usaliti kwa mhalifu.
vipi nikivunja lines zangu halafu sim nikatupa ikaokotwa na mwingine. Hapo nakuwa nimeuza msala?
 
Back
Top Bottom