Hivi viwanda viwe vingi tu, tena viindolewe Kodi zoote, VAT inatosha sana kwa serikali Kwa sekta kama hizi,
Ubunifu hapa, ni kulazimisha kiwanda kiajiri rasmi at least 2people (NSSF plus NHIF) included kwenye malipo Yao na mshahara uwe atleasrt official kima cha Chini cha serikali,
Wakikizi vigezo wasamehewe Kodi zoote za uendeshaji, ibaki VAT kwa whole saler wa product.
Ukifanya hivi utashanga kuna viwanda visivopungua 1M ambavyo vinasajiliwa officially,
Then utaongeza ajira, viwandani, mashambani, na utapunguza bei ya bidhaa Kwa mlaji WA mwisho maana viwanda vitakuwa vingi then vitashindani on price and quality na kumnufaisha mkulima.