Kukamatwa kwa kiwanda bubu cha mafuta ya mawese mkoani Pwani, nawapongeza Zitto na Bashe kwa hatua walizochukua

Kukamatwa kwa kiwanda bubu cha mafuta ya mawese mkoani Pwani, nawapongeza Zitto na Bashe kwa hatua walizochukua

Wanaofundishwa ni wale wanao report shughuli zao kwa mwenyekiti wa kijiji, au popote mpaka mamlaka za juu; wenye kuwaelekeza wapi pa kwenda kurasimisha uzalishaji wao.

Watu wapo vijijini kabisa wanajizalishia umeme wao wenyewe lakini wanaelewa kupeleka nyumba ya jirani bila ya kuja kukaguliwa na TANESCO ni kuvunja sheria.

Swala la wazalishaji wadogo wa mafuta yakupikia huyo sio kwanza na wala atakuwa wa mwisho; soma hiyo article niliyoweka kutoka habari leo kwanini mafunzo ni muhimu.

Binafsi namjua mtu ambae kapoteza mdogo wake kupitia bia fake kutoka viwanda bubu.

Kwenye mafuta kuna wazalishaji wadogo zaidi yake wanasijali iweje yeye asijue.

Ni muhuni tu hakuna cha ubunifu wala nini kuna maelfu ya watu wanazalisha mafuta yeye sio wa kwanza. Amevunja sheria kwa makusudi tu, watu kama hao sio wakuchekewa.
Mjomba wake Zitto!!!
 
Watanzania ni viumbe wa ajabu sana.....hapa wanailaumu serikali kuchukua hatua juu ya uzalishaji holela wa bidhaa zinazotumiwa na wanadamu.....lakini ni watu hao hao ndio watakapo ilaumu serikali madhara yakitokea baada ya kutumia bidhaa ambayo haijathibitishwa kwa matumizi ya binadamu.......

Hii ni nchi na nchi ina utaratibu wa mambo yote yanavyokwenda hasa yanayogusa maisha au afya za binadamu moja kwa moja.........

Tunachotakiwa ni kupigania serikali kuondoa vikwazo vinavyoonekana kuwakwamisha wajasiliamali wadogo ili wapae kiuchumi na kuongeza ajira......

Lakini mambo yote hayo yafanyike kwa kuzingatia Hali na afya za binadamu......
 
Kwa aina hii ya kosa haichukuwi hata nusu saa kwa upande wa polisi kubaini kama mtuhumiwa ana kosa au la. Ni maswali mawili tu majibu yake yanatoa jibu sahihi

1. Unayo lessen ya biashara yako?
2. Unacho Kibali cha TFDA?

Mimi pia sipendelei polisi kutaka umaarufu kupitia media. Utulivu wa uharifu utatoa taswila ya kuwa polisi wanafanya kazi yao. Na siyo kila kitu kimbilia kwenye media ili kupata umaarufu
Nakubaliana nawe 200%
 
ila bashe akitoa viboriti na vibanzi vidogo vidogo vya siasa chafu chafu, kwa kweli atakuwa kiongozi mzuri ndani ya li-chama chakavu la CCM!
CCM ndiyo wanyanyapaa wake,tatizo..
 
Kumiliki kiwanda bila ya kibali/leseni ni kosa kisheria. Lakini pia kuzalisha bidhaa kiwandani na kuuza pasipo kukagaguliwa na TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY nayo ni kosa kisheria na bidhaa hizo zaweza kuwa ni hatari kwa matumizi ya mwana wa Adamu.

Kwa mantiki hiyo huna sababu ya msingi ya kulilaumu jeshi la polisi. Kwani limetekeleza wajib wake. Bali kumpongeza mwana matukio Zitto na waziri wa kilimo ni jambo jema.

Ningekuona una maana endapo tu ungelisifu jeshi la polisi kwa kumwibua mhusika huo na akapata kusaidiwa na waziri wa kilimo.
Kwani Polisi hawaruhusiwi kutoa hata maelekezo tu kwa watu kama huyo baada ya kumuhoji na kujiridhisha juu ya uelewa wake kwa kosa analotuhumiwa nalo??
 
Polisi hawajafanya kosa kumkamata kwa kuendesha shughuli zake kibubu bubu..........kuna sheria mbalimbali zinazosimamia uendeshawaji wa shughuli kama hizo zikiwemo afya na mazingira, sheria za viwango, sheria za kazi nk ndo maana unatakiwa kuwa na vibali. Watu wakianza kuhara hapa kwa kutumia mafuta yasiyo na viwango ni hao hao mtakaokuja kuwasema polisi........
police au ni TBS ndo wahusika
 
Sijaandika Ili nionekane wa maana, nimeandika kwa mtazamo wangu, naheshimu pia mtazamo wako.
Tatizo lako umeandika kiushabiki sana na kulikandia jeshi la police kana kwamba walichofanya ni kinyume cha sheria. Tunapozungumzia rule of law simply means sheria ni msumeno!
 
Hapa tujiulize aina ya uhalifu wanaorusiwa kufanya na pia weledi wao katika kufanikisha majukumu ya ukamataji. Je wanao weledi na ruhusa ya kukagua viwanda? Je Polisi wanaruhusiwa kufanya ukaguzi viwandani? Wanao weledi wa kufahamu yapasayo kufanywa wakati wa ukaguzi?

Turudi kwa Kibatara ..Je Polisi hao wanajua PGO inssema nini kwa mjasirimia kama huyu?
 
Kumiliki kiwanda bila ya kibali/leseni ni kosa kisheria. Lakini pia kuzalisha bidhaa kiwandani na kuuza pasipo kukagaguliwa na TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY nayo ni kosa kisheria na bidhaa hizo zaweza kuwa ni hatari kwa matumizi ya mwana wa Adamu.

Kwa mantiki hiyo huna sababu ya msingi ya kulilaumu jeshi la polisi. Kwani limetekeleza wajib wake. Bali kumpongeza mwana matukio Zitto na waziri wa kilimo ni jambo jema.

Ningekuona una maana endapo tu ungelisifu jeshi la polisi kwa kumwibua mhusika huo na akapata kusaidiwa na waziri wa kilimo.
sawa koplo matlda, tumekusikia.
 
Shida kwanini wasitoe ELIMU KWA WANANCHI.
Yaani baada ya kumkamata inatakiwa Sasa wampeleke akafuate hizo taratibu asichukuliwe Kama MUHALIFU.
Mimi hapa nimekuelewa zito na Bashe pia nimemuelewa
Kumiliki kiwanda bila ya kibali/leseni ni kosa kisheria. Lakini pia kuzalisha bidhaa kiwandani na kuuza pasipo kukagaguliwa na TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY nayo ni kosa kisheria na bidhaa hizo zaweza kuwa ni hatari kwa matumizi ya mwana wa Adamu.

Kwa mantiki hiyo huna sababu ya msingi ya kulilaumu jeshi la polisi. Kwani limetekeleza wajib wake. Bali kumpongeza mwana matukio Zitto na waziri wa kilimo ni jambo jema.

Ningekuona una maana endapo tu ungelisifu jeshi la polisi kwa kumwibua mhusika huo na akapata kusaidiwa na waziri wa kilimo.
 
Hivi viwanda viwe vingi tu, tena viindolewe Kodi zoote, VAT inatosha sana kwa serikali Kwa sekta kama hizi,

Ubunifu hapa, ni kulazimisha kiwanda kiajiri rasmi at least 2people (NSSF plus NHIF) included kwenye malipo Yao na mshahara uwe atleasrt official kima cha Chini cha serikali,

Wakikizi vigezo wasamehewe Kodi zoote za uendeshaji, ibaki VAT kwa whole saler wa product.

Ukifanya hivi utashanga kuna viwanda visivopungua 1M ambavyo vinasajiliwa officially,

Then utaongeza ajira, viwandani, mashambani, na utapunguza bei ya bidhaa Kwa mlaji WA mwisho maana viwanda vitakuwa vingi then vitashindani on price and quality na kumnufaisha mkulima.
Jamani, hivi ni kweli tunatetea uhaqlifu? Hivi hiyo bidhaa ikiwadhuru wananchi mtamlaumu nani. Hivi kweli tumefikia mahali pa kuchagua sheria zipi zifuatwe na zipi zipuuzwe. Tutakuwa tunajenga taifa la namna gani? Ni afadhali mtu awe mkweli kuliko huyu aliekyuwa anatengeneza mafuta akiuza kutumia nembo za viwanda vingine. Huyo Zitto sasa hivi amekuwa irrelevant ndiyo maana anarukia vitu ambavyo yeye kama kiongozi wa kitaifa asingetakiwa. Anajikweza tu, but he is done.
 
Bashe akili kubwa sana. TBS waige mfano huu. Badala ya kuangamiza biashara yake kwa kutokuwa na makaratasi tu (usajili) ni vema TBS nao wakikuta watu wa namna hii wawarasimishe na kuwapa utaratibu hata bure ikibidi.
 
View attachment 2086870


View attachment 2086871

Mzalishaji mdogo wa mafuta sio peke yake wapo maelfu waliojisajili SIDO na kupewa mafunzo.

Watu kama hao ni vichwa ngumu tu; hakuna cha ubunifu wala nini zaidi ya kuvunja sheria.

Waziri ku support watu wa aina hiyo ni kutuma message mbaya kwenye jamii vunja sheria ukikamatwa utapelekwa SIDO kwenye mafunzo.

Soon watu wataanza kuzalisha umeme na kujisambazia nyumba za jirani bila ya kushirikisha TANESCO.

Kilatha🤣🤣🤣🤣
 
Jamani, hivi ni kweli tunatetea uhaqlifu? Hivi hiyo bidhaa ikiwadhuru wananchi mtamlaumu nani. Hivi kweli tumefikia mahali pa kuchagua sheria zipi zifuatwe na zipi zipuuzwe. Tutakuwa tunajenga taifa la namna gani? Ni afadhali mtu awe mkweli kuliko huyu aliekyuwa anatengeneza mafuta akiuza kutumia nembo za viwanda vingine. Huyo Zitto sasa hivi amekuwa irrelevant ndiyo maana anarukia vitu ambavyo yeye kama kiongozi wa kitaifa asingetakiwa. Anajikweza tu, but he is done.


Anajikweza tu, but he is done.
 
Back
Top Bottom