Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

Huyu mzee Muliro ni mtu wa hovyo, sijui halioni hata aibu huku linakaribia kustaafu?
Jeshi la polisi bado sana kuwa na watu wenye weredi unakaa na maiti ambayo haijatambulika zaidi ya siku kumi tena kwenye hospitari yao kuna vyombo vya habari kama TBC wanakipindi maalumu cha watu waliopotea kwanini usitangaze na wakati huohuo ndugu wamepita vituo vya polisi hawajampata ina maana hawana database zao kwa ufupi huyu kamanda atakufinyanga uongo hajui natamani kesi iende mahakamani muriro akahojiwe atasema ukweli
 
Doh!

Hizo siku kumi zimefahamikaje mkuu
 
Hata mimi ninatamani iende mahakamani! hadi raha! atakapotoa mimacho! Huyu si ndiye aliyesema tukiandama tuchakazwe kama mbwa koko? akiwa Dodoma? Nadhani atakimbia hatathubutu kumkamata boni yai
 
Jpm Kuna watu alikuwa anawasukuma kinyesi kuna mtu alinitonya bashite ni miongoni ni masharti ya mganga
Mkuu hizi ni tetesi pia zinaweza kuwa siyo kweli,lakini pia mambo kama naona siyo vizuri kuyaongelea kwani yanateeza uta wa mtu
 
Hujawahi kuwa na akili.
 
Chizi mwenyewe.

Unazani kwa Nini kuna vyama vingi na mashirika mbalimbali? Na yote yanakula Kodi zetu? .

Kama hayafanyi kazi zetu basi yajifunge.
Kama hayafanyi kazi basi yafungiwe na siyo kusubiri yajifunge yenyewe.
 
Ukiona hivyo wahusika ni wao
 
Mmechelewa sana , wenye pesa na vyeti feki walikuwa wanawadanganya jmaa ni dikteta
Vyeti feki kina Makonda na Msukuma mbona hawakuguswa? JPM alikua mnafiki tu aliwanyoosha wale waliompinga tu ila majizi yaliyokua upande wake wala hakudeal nayo!! Rejea yule jangili Nchambi na mwanyika wa ACACIA walipelekewa mahakamani na kukiri uhujumu uchumi ila hawakuchukuliwa hatua na Ccm mpaka kesho.
 
Sahihi sn
 
Kwani Makonda hakusoma Ushirika Moshi?
 
Ben Malisa inabidi ahesabu meno yake yako mangapi ili ajue baadaye jinsi ya kufungua kesi ya madai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…