Kukamatwa kwa Mtanzania Kiongozi wa Waasi nchini Msumbiji: Kwanini hakuripotiwi na Vyombo vyetu?

Kukamatwa kwa Mtanzania Kiongozi wa Waasi nchini Msumbiji: Kwanini hakuripotiwi na Vyombo vyetu?

Huyo hawezi kuwa MTanzania, shida hapo ni hiyo rasilimali ya mafuta/gesi huko Cabo delgado, na mabeberu ndio yanatuchonganisha wenyewe kwa wenyewe huku yanafyonza tu, kila mtu atumie akili zake vizuri.
 
Hivi vijamaa mbona ni kama vya hovyo hovyo tu, nashangaa vinalisumbuaje jeshi la Msumbiji!
Binafsi naona tz tunalo jukumu LA kuingua msumbiji na kuweka mambo sawa. Weaknesses za jeshi la msumbiji tunatakiwa kuzi supplement. Usalama wa tz haupo kabisa kama Mozambique inawaka moto.
 
Hawakupaswa kutangaza, huo ni uharibifu wa masuala ya kiintellijinsia, hapo ni kama wamewapa alert wenzake na Ali, kuwa kimeumana Ali yupo mikononi mwa vyombo, atakavyoteswa atawataja woteee!

Ndiyo maana nasema huo ni uzushi Tu!
Sirro mwenyewe alishasema huko Msumbiji Kuna magaidi kibao kutoka bongo.
 
Binafsi naona tz tunalo jukumu LA kuingua msumbiji na kuweka mambo sawa. Weaknesses za jeshi la msumbiji tunatakiwa kuzi supplement. Usalama wa tz haupo kabisa kama Mozambique inawaka moto.
Kwani hatuko huko?Tena sio sisi tu,Sadc jeshi lake liko huko.
 
Hivi vijamaa mbona ni kama vya hovyo hovyo tu, nashangaa vinalisumbuaje jeshi la Msumbiji!
wana silaha bora kuliko hata siri kali zetu [emoji3] na rushwa ndo silaha yao ya pili yaan wanawatumia wale wenye njaa kote serikalini.na mtaani ili kujipatia taarifa mbali mbali , na hata wana watu maalum kbs wa propaganda ambao wengine tuko nao humu na kwingineko , plus hutumia madai ya jamii ili.kujiongezea support ya wananchi ,unaambiwa wakipateka sehemu basi watu wanaoisha hizo sehemu huishi maisha ya bata sana kwa kuwaletea vyakula bure kutoka wanapoenda kushbulia , SO HAO WATU WAMEJIPANGA NA TUSIOMBE SIKU WAKAFANIKIWA KUKAMATA SEHEMU HUKU KWETU TZ , NDO WATACHIMBIA MIZIZI NA KUWATOA ITAKUWA NGUMU ,USISAHAU NI DUNIANI KOTE , WAKITOKEA HAWA JAMAA HUWEZI KUWALIZA KWA JESHI LA NDANI MAANA MPK WANAJIONESHA HADHARANI BASI UJUE WAMEJIWEKEA MIZIZI KILA IDARA YA SERIKALI NA JESHINI
 
Something noted here, Paskal atatuambia kwa nini siku hizi tendency ya waandishi habari kuwahoji viongozi wenye dhamana imepungua?
Kuna namna nadhani bahasha zimepungua.

Halafu kumbuka siku hizi teknolojia ya mitandao imepanuka.

Mkubwa au wakubwa wanaogopa kuhojiwa sana, maana wanaogopa kauli zao kurukiwa na kulishwa maneno wasiyoyatamka.

Wewe unadhani kwa mfano.....baada kilichomtokea Ndugai kwenye ule mualiko,vigogo hawatakubali mialiko isiyo na umuhimu kwa maslahi ya vikundi binafsi.

Lazima watakuwa na tahadhari ya hali ya juu.
 
Uislamu umefanya dunia kuwa sio sehemu salama ya kuishi.Badala Mungu awapiganie watu,eti watu wanampigania Mungu,huyo Mungu ni wa kutiliwa shaka.
Mbona haikua hivyo huko nyuma!?..shida imeanzia wapi!?..siyo Vita ya bush dhidi ya ugaidi ndiyo imezaa haya!!?...wale waliopigana Vita vya msalaba walikua wanampigania mungu gani!!!?
 
Serikali ilipotumia nguvu kupambana na huu ugaidi kule kibiti,kama kawaida wanasiasa wa upinzani walilitumia tukio lile kama agenda ya kutafutia kick za kisiasa.

Tulifikia mahali Polisi wanavamiwa vituoni mchana kweupe.
Askari wanavamiwa kwenye vizuizi mchana kweupe na kuuwawa kama kuku.

Tukafikia mahali kuwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji huko kibiti ni kosa na unauwawa.

Serikali ilipolivalia njuga hili kundi na kufanikiwa kulidhibiti ndio likatimkia huko Mozambique[emoji1174].

Tanzania [emoji1241] kila kitu tunapiga domo, kila kitu ni ujuaji.

Kwa hili tukio kuna la kujifunza hapo kwa jamii yetu.

Na sijui kwa nini Media za Tanzania [emoji1241] zinakuwa na umbeya badala ya kutuletea habari.

Wao wanakaa kudandia lift kwenye magari ya wakubwa kwenda kuwajenga kisiasa kwa kupewa vibahasha vya khaki.

Kisha taarifa za habari zinajaa siasa tupu.

Makonngamano, Warsha, Uzinduzi, Uteuzi na kisha Migogoro ya wakulima na wafugaji.

Hatuoni media kwa mfano ikimtafuta waziri wa Nishati na kumuweka Interview atuambie sababu ya kuzuka ghafla kwa tatizo la umeme nchini?

Lini na nini hatma yake?

Na vitu vingine kama hivyo vyenye kuigusa jamii.

MEDIA Tanzania [emoji1241] ni kanjanja tupu 75%.

Huko online media nako TCRA imepakalia kimya huku kukiwa na madudu tupu.

Wao TCRA wanamuona Polepole tu.
Nakumbuka ata Azory Gwanda alipotelea kule sijui alikuwa na nini yule jamaa mpaka kuzamia kule? Alikuwa mmoja wao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
YaHuyo hawezi kuwa MTanzania, shida hapo ni hiyo rasilimali ya mafuta/gesi huko Cabo delgado, na mabeberu ndio yanatuchonganisha wenyewe kwa wenyewe huku yanafyonza tu, kila mtu atumie akili zake vizuri.
Hapo Kuna walionyimwa,ndiyo wametengeneza kundi lao Hilo...nna mashaka na uingereza
 
Serikali ilipotumia nguvu kupambana na huu ugaidi kule kibiti,kama kawaida wanasiasa wa upinzani walilitumia tukio lile kama agenda ya kutafutia kick za kisiasa.

Tulifikia mahali Polisi wanavamiwa vituoni mchana kweupe.
Askari wanavamiwa kwenye vizuizi mchana kweupe na kuuwawa kama kuku.

Tukafikia mahali kuwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji huko kibiti ni kosa na unauwawa.

Serikali ilipolivalia njuga hili kundi na kufanikiwa kulidhibiti ndio likatimkia huko Mozambique[emoji1174].

Tanzania [emoji1241] kila kitu tunapiga domo, kila kitu ni ujuaji.

Kwa hili tukio kuna la kujifunza hapo kwa jamii yetu.

Na sijui kwa nini Media za Tanzania [emoji1241] zinakuwa na umbeya badala ya kutuletea habari.

Wao wanakaa kudandia lift kwenye magari ya wakubwa kwenda kuwajenga kisiasa kwa kupewa vibahasha vya khaki.

Kisha taarifa za habari zinajaa siasa tupu.

Makonngamano, Warsha, Uzinduzi, Uteuzi na kisha Migogoro ya wakulima na wafugaji.

Hatuoni media kwa mfano ikimtafuta waziri wa Nishati na kumuweka Interview atuambie sababu ya kuzuka ghafla kwa tatizo la umeme nchini?

Lini na nini hatma yake?

Na vitu vingine kama hivyo vyenye kuigusa jamii.

MEDIA Tanzania [emoji1241] ni kanjanja tupu 75%.

Huko online media nako TCRA imepakalia kimya huku kukiwa na madudu tupu.

Wao TCRA wanamuona Polepole tu.
Umeitaja TCTA mpaka nimesikia Kichefuchefu
Hawa na TANESCO Nihovyo hovyo
 
Hawawezi kuripoti coz media hazipo huru kutangaza Kika kitu!!mf. Kama wangeripoti hayo ujue Mlipuko Wake ungekua mkubwa Sana!!mjadala ungehamia huko halafu serikali ingeonekana imeacha kuwakamata magaidi halisi inabambikia kesi watu wasio na hatia!!
 
Hao jamaa ndio hao hao waliokuwa wameanza kusumbua Tanga, Kibiti hivyo kuwepo Msumbiji ni rahisi tu kuunganisha doti.

Bila shaka mbinu zilizotumiaka kuwang'oa huku ni za kupongezwa maana sidhani kama ilikuwa kazi rahisi.

Waliukimbia moto huku wakaona watakuwa salama wakiwa Msumbiji...na wao wakiwakamata hawana haja ya kuhoji ni Watanzania au la, wamalizane nao tu.
 
huku ss bado tuna gaidi mbowe,huko tena yamezuka mengine .duuuh Sasa tunashindwa kuelewa huu ugaidi huu !!! tutafika tu
 
Kwani tanzania si ndiyo kiwanda cha kupika na kuwaanda ‘magaidi’ ambao baadaye wakisha pindua serikali zao wanakuwa ma rais. Akina machel, M7, kabila, netto hawa woote waliku aga ‘magaidi’
 
Serikali ilipotumia nguvu kupambana na huu ugaidi kule kibiti,kama kawaida wanasiasa wa upinzani walilitumia tukio lile kama agenda ya kutafutia kick za kisiasa.

Tulifikia mahali Polisi wanavamiwa vituoni mchana kweupe.
Askari wanavamiwa kwenye vizuizi mchana kweupe na kuuwawa kama kuku.

Tukafikia mahali kuwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji huko kibiti ni kosa na unauwawa.

Serikali ilipolivalia njuga hili kundi na kufanikiwa kulidhibiti ndio likatimkia huko Mozambique[emoji1174].

Tanzania [emoji1241] kila kitu tunapiga domo, kila kitu ni ujuaji.

Kwa hili tukio kuna la kujifunza hapo kwa jamii yetu.

Na sijui kwa nini Media za Tanzania [emoji1241] zinakuwa na umbeya badala ya kutuletea habari.

Wao wanakaa kudandia lift kwenye magari ya wakubwa kwenda kuwajenga kisiasa kwa kupewa vibahasha vya khaki.

Kisha taarifa za habari zinajaa siasa tupu.

Makonngamano, Warsha, Uzinduzi, Uteuzi na kisha Migogoro ya wakulima na wafugaji.

Hatuoni media kwa mfano ikimtafuta waziri wa Nishati na kumuweka Interview atuambie sababu ya kuzuka ghafla kwa tatizo la umeme nchini?

Lini na nini hatma yake?

Na vitu vingine kama hivyo vyenye kuigusa jamii.

MEDIA Tanzania [emoji1241] ni kanjanja tupu 75%.

Huko online media nako TCRA imepakalia kimya huku kukiwa na madudu tupu.

Wao TCRA wanamuona Polepole tu.
Mwanasiasa gani wa upinzani aliyetaka swala kibiti lisifwatiliwe au kutafutia kick?.Maana Mambo mengi yanatokea kwasababu ya serikali inayoongozwa na ccm kushindwa kwenye maeneo mengi.Endapo mwanasiasa wa upinzani akiongea jambo lolote hiyo inabaki kua ni maoni yake binafsi au ya chama chake ila hiyo haiondoi wajibu wa serikali kutekeleza majukumu yake.kwasababu serikali ndio yenye wajibu na dhamana.Sasa ni ujinga kuhuusisha upinzani wakati upinzani hauna dhamana yoyote kwenye hii nchi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Siyo Uislamu ni wapiginaji wanaotumia dini ya kiislamu kumbuka mti wenye matunda ndio upigwao mawe uislam ndini safi
Uislamu umefanya dunia kuwa sio sehemu salama ya kuishi.Badala Mungu awapiganie watu,eti watu wanampigania Mungu,huyo Mungu ni wa kutiliwa shaka.
 
Back
Top Bottom