Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mwamba kaungurumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini wa akili ni kitu kibaya sana. Yaani tunalazimika kuiga mambo fulani ili kuwaridhisha watu fulani ili tupate kitu fulani? Aaaaargh!Samia anaharibu, amewekeza kuwafurahisha wahisani kwa kuwaoneaha seeikali yake inapambana na Corona, lakini masuala mengine ya utawala bora na haki za binadamu kwake anaona hayana maana, hao wahisani watakuja kumgeuka siku sio nyingi, kama Magufuli na ujuaji wake alikemewa Samia hana exception yoyote.
Mkuu nakumbuka hawa ndio walio sema wanataka kumnyoa.Samia anaharibu, amewekeza kuwafurahisha wahisani kwa kuwaonesha serikali yake inapambana na Corona, lakini masuala mengine ya utawala bora na haki za binadamu kwake anaona hayana maana, hao wahisani watakuja kumgeuka siku sio nyingi, kama Magufuli na ujuaji wake alikemewa Samia hana exception yoyote.
Mbowe kutaka kutimiza jambo linalokubalika kisheria hakustahili kuvamiwa hotelini usiku na polisi kama gaidi.
Ndio watanyolewa tu, kwa kukemewa wasiendelee kuwatesa wapinzani wasio na makosa yoyote wanaopigania haki zao kisheria.Mkuu nakumbuka hawa ndio walio sema wanataka kumnyoa.
Rasmi sasa kuwa Samia ameamua kujiandikia obituary yake mwenyewe mapema. Mungu hataniwi.
Acha ujinga. Kwahiyo unataka huyu bibi aendelee kuonea watu??Wewe ule bata Belgium na familia yako and then unataka Tanzania iwekewe vikwazo.
Kazi Iendelee Mama Samia hawa makuadi wa mabeberu lazima wathibitiwe
Halimpati Mwewe.Lisu anataka watanzania wapate tabu ila hilo ni Dua la kuku. Hivi huko ubeligiji anajishughulisha na nini
Unafikiri hii nchi watakabidhiwa machizi wenzako ?Rasmi sasa kuwa Samia ameamua kujiandikia obituary yake mwenyewe mapema. Mungu hataniwi.
Utawala wa CCM ni worse than kuongozwa na jeshi ambalo viongozi wake ni dizaini ya Iddi Amini. It's absurd.
Bora tu sasa aingie Mabeyo & the boys waweze kuleta stabilization katika uongozi wa nchi yetu. Mabeyo is a gentleman - nina uhakika anaweza aka manage transition kutoka mikononi mwa CCM (ambao obviously sasa wamefikia kiwango cha total insanity) na kukabidhi nchi kwa uongozi uliokuwa sober.
kama magufuli na ubandidu ule alipewa pesa, bro makinika.Samia anaharibu, amewekeza kuwafurahisha wahisani kwa kuwaonesha serikali yake inapambana na Corona.
Lakini masuala mengine ya utawala bora na haki za binadamu kwake anaona hayana maana.
Hao wahisani watakuja kumgeuka siku sio nyingi, kama Magufuli na ujuaji wake alikemewa Samia hana exception yoyote.
Mbowe kutaka kutimiza jambo linalokubalika kisheria hakustahili kuvamiwa hotelini usiku wa manane na polisi kama gaidi, wamuachie huru bila masharti yoyote.
Kwani sisi Tanzania tunawategemea hao mabeberu?Lisu anataka watanzania wapate tabu ila hilo ni Dua la kuku. Hivi huko ubeligiji anajishughulisha na nini
Nakumbuka 1 month before 17th March nili post comment kama hii na kuna mtu aliniita chizi kama ulivyoonita wewe. The rest is history!Unafikiri hii nchi watakabidhiwa machizi wenzako ?