Kukamatwa viongozi wa CHADEMA: Lissu awataka wahisani kuacha kuisaidia Serikali

Kukamatwa viongozi wa CHADEMA: Lissu awataka wahisani kuacha kuisaidia Serikali

Wanasiasa bana, kwaiyo saivi uviko umewekwa pembeni na tukusanyike tu? Lisu akiwa huko aliko alimpigia kelele magufuri fanya ivi fanya vile watu watakufa, badae akaja kufanya kampeni uviko na masharti aliyokuwa anapendekeza vyote akaviweka pembeni.
 
Hii mikutano mnayoifanya iko kisheria? Kwanini mnataka kuivuruga nchi? TL bado ana hamu na kuwa nchini? Au ndio maana inakuwa rahisi kusema tunyimwe misaada.
Wana siasa wachache sana watafika mbinguni kama wakiendelea hivi. Bora hata makahaba ambao dhambi yao huwa hawamlazimshi mtu kuitenda..ataitenda kwa hiari yake. na watatungalia kwenda Mbinguni kwa sababu hizo
 
Wewe ule bata Belgium na familia yako and then unataka Tanzania iwekewe vikwazo.
Kazi Iendelee Mama Samia hawa makuadi wa mabeberu lazima wathibitiwe
Na wanaomshabikia huyo punguani hua nawaona ni mapunguani +,

Yaani katika mambo yooote kaona ni bora awaambie wahisani wasisaidie Tz wanaoumia ni viongozi au wananchi???

Pathetic.
 
Samia anaharibu, amewekeza kuwafurahisha wahisani kwa kuwaonesha serikali yake inapambana na Corona.

Lakini masuala mengine ya utawala bora na haki za binadamu kwake anaona hayana maana.

Hao wahisani watakuja kumgeuka siku sio nyingi, kama Magufuli na ujuaji wake alikemewa Samia hana exception yoyote.

Mbowe kutaka kutimiza jambo linalokubalika kisheria hakustahili kuvamiwa hotelini usiku wa manane na polisi kama gaidi, wamuachie huru bila masharti yoyote.

Uhuru bila mipaka ni wendawazimu, Samia alijaribu kuweka uwanja huru kisiasa lakn maneno ya kejeli mnayomrushia imedhihirisha wazi kwamba anadili na watu wenye hulka za kiwehuwehu

Mnalialia nini sasa, si mlitamka hadharani kwamba huyu wa sasa atie maji kwenye nywele kujiandaa kunyolewa kwa wembe

Sasa wacha liwakute linalowastahili
 
Wewe ule bata Belgium na familia yako and then unataka Tanzania iwekewe vikwazo.
Kazi Iendelee Mama Samia hawa makuadi wa mabeberu lazima wathibitiwe
Kuandika tu haujui,itakuwa kujibu hoja?

Tafuta ulipokaa ubongo wako kisha urudishe kichwani!
 
Eti mwamba ,chadema na wafuasi wao huwa nawafananisha na jibwa Koko linalobwekea mzigo wa mgeni.

Lissu anaumwamba gani ikiwa alihamasisha maamdamano na kuyakimbia,chadema nawahakikishia kuwa msipobadili mikakati ya kuendesha siasa uchwara zenu ,mtaishi Kama yatima kwenye hii nchi.

Shubamiti
 
Watapa pesa wapi? Hakuna mzungu wa kutoa pesa za bure kwa sasa [emoji38][emoji38][emoji38]


Ndio maana unaona wanakamua wanachi na matozo ya kipumbavu.

Aliyejua kula na wapinzani ni Kikwete tu walipewa pesa nyingi sana za miradi ya barabara na maji bila masharti.

Ila all in all anguko la samia litakuwa kubwa sana ataanguka I'm telling you before 2025.
MKuu wa mkoa anakadi ya ccm sasa hii katiba haifai ndoo maana jiwe alijiita mungu ktk tz hii mbowe na wenzake wawe huru maana wakipiganiacho nimstakabali wa vizazi vijavyo, japo waramba kwato hawataki kusikia katiba mpya.
 
Hili swara nadhani hata wanainchi wanachangia hivi kama ccm wameongeza kodi kubwa na bado RAIA hashituki kwa vitendo unadhani hili la katiba mpya wataliwaza? Naona tz bado maisha hayajawa magumu sana siku yakiwa magumu hakuna atakae ogopa polici

Nakingine hao policiccm mbona niwapumbavu hivi hawajui madhala take?

Kama haujui Leo ngoja nikwambie hivi unajua kilicho tokea baada ya kuzikwa jiwe? Ktk kabuki lake? Hapo CHATO?

Nitawambia Sikh nyingine nahuyu Samia ajihadhali sana juu ya haki za watu.
 
Yaani chadema wameamua kutumika kuzima sauti za wananchi juu ya tozo


Leo tunaona mambo yamehama tunajadili chadema na kesi zao kesho tunapo shtuka tunaambiwa tumechelewa



Merehemu alisema wazi hataki siasa za uwazi

Huyu kasema anapenda haki huku anawaumiza wapinzani

Aweke uwanja sawa kama yuko tayari kukosoana
Tozo lazima mtozwe tu
 
Rasmi sasa kuwa Samia ameamua kujiandikia obituary yake mwenyewe mapema. Mungu hataniwi.

Utawala wa CCM ni worse than kuongozwa na jeshi ambalo viongozi wake ni dizaini ya Iddi Amini. It's absurd.

Bora tu sasa aingie Mabeyo & the boys waweze kuleta stabilization katika uongozi wa nchi yetu. Mabeyo is a gentleman - nina uhakika anaweza aka manage transition kutoka mikononi mwa CCM (ambao obviously sasa wamefikia kiwango cha total insanity) na kukabidhi nchi kwa uongozi uliokuwa sober.
Mfano wa uongozi sober ni upi nchini kwetu? Mbowe na genge lake? Acha utani mzee
 
Back
Top Bottom