Hii mikutano mnayoifanya iko kisheria? Kwanini mnataka kuivuruga nchi? TL bado ana hamu na kuwa nchini? Au ndio maana inakuwa rahisi kusema tunyimwe misaada.
Na wanaomshabikia huyo punguani hua nawaona ni mapunguani +,Wewe ule bata Belgium na familia yako and then unataka Tanzania iwekewe vikwazo.
Kazi Iendelee Mama Samia hawa makuadi wa mabeberu lazima wathibitiwe
Wewe si unakula bure Ulaya huku Ikungi wakifa njaaa haikuhusu.
Yes. This is part of the solution to stop the prevailing CCM dictatorship.
Hakuna namna tena
Samia anaharibu, amewekeza kuwafurahisha wahisani kwa kuwaonesha serikali yake inapambana na Corona.
Lakini masuala mengine ya utawala bora na haki za binadamu kwake anaona hayana maana.
Hao wahisani watakuja kumgeuka siku sio nyingi, kama Magufuli na ujuaji wake alikemewa Samia hana exception yoyote.
Mbowe kutaka kutimiza jambo linalokubalika kisheria hakustahili kuvamiwa hotelini usiku wa manane na polisi kama gaidi, wamuachie huru bila masharti yoyote.
Kuandika tu haujui,itakuwa kujibu hoja?Wewe ule bata Belgium na familia yako and then unataka Tanzania iwekewe vikwazo.
Kazi Iendelee Mama Samia hawa makuadi wa mabeberu lazima wathibitiwe
Eti mwamba ,chadema na wafuasi wao huwa nawafananisha na jibwa Koko linalobwekea mzigo wa mgeni.
Ma kaupiga mwingi mpaka unamwagika sasa
MKuu wa mkoa anakadi ya ccm sasa hii katiba haifai ndoo maana jiwe alijiita mungu ktk tz hii mbowe na wenzake wawe huru maana wakipiganiacho nimstakabali wa vizazi vijavyo, japo waramba kwato hawataki kusikia katiba mpya.Watapa pesa wapi? Hakuna mzungu wa kutoa pesa za bure kwa sasa [emoji38][emoji38][emoji38]
Ndio maana unaona wanakamua wanachi na matozo ya kipumbavu.
Aliyejua kula na wapinzani ni Kikwete tu walipewa pesa nyingi sana za miradi ya barabara na maji bila masharti.
Ila all in all anguko la samia litakuwa kubwa sana ataanguka I'm telling you before 2025.
anatakiwa aongeze mashambulizi zaidi.Ma kaupiga mwingi mpaka unamwagika sasa
Naunga mkono hoja
Tozo lazima mtozwe tuYaani chadema wameamua kutumika kuzima sauti za wananchi juu ya tozo
Leo tunaona mambo yamehama tunajadili chadema na kesi zao kesho tunapo shtuka tunaambiwa tumechelewa
Merehemu alisema wazi hataki siasa za uwazi
Huyu kasema anapenda haki huku anawaumiza wapinzani
Aweke uwanja sawa kama yuko tayari kukosoana
Mfano wa uongozi sober ni upi nchini kwetu? Mbowe na genge lake? Acha utani mzeeRasmi sasa kuwa Samia ameamua kujiandikia obituary yake mwenyewe mapema. Mungu hataniwi.
Utawala wa CCM ni worse than kuongozwa na jeshi ambalo viongozi wake ni dizaini ya Iddi Amini. It's absurd.
Bora tu sasa aingie Mabeyo & the boys waweze kuleta stabilization katika uongozi wa nchi yetu. Mabeyo is a gentleman - nina uhakika anaweza aka manage transition kutoka mikononi mwa CCM (ambao obviously sasa wamefikia kiwango cha total insanity) na kukabidhi nchi kwa uongozi uliokuwa sober.
Hakuna kutumia miamala ya simu tena,tuone,labda watoze kwakoTozo lazima mtozwe tu