Kukamatwa viongozi wa CHADEMA: Lissu awataka wahisani kuacha kuisaidia Serikali

Mfano wa uongozi sober ni upi nchini kwetu? Mbowe na genge lake? Acha utani mzee
Wewe ndiwe unataja majina - mimi sijataja majina.

Nachojua ni kuwa kuna viongozi sober wengi tu out there wazuri kuliko hawa machizi tulio nao sasa!
 
Siamini kama ni Samia katoa order ya kukamatwa wapinzani!!Mi nadhani kuna Raisi Mwingine nyuma ya Samia anaeratibu haya yanayotokea kwa sasa nchini!!!
 
Ni aibu sana kwa mama Samia kuruhusu uonevu kama huu ndani ya Tanzania. Tulidhani atakuwa kama watangulizi wake wenye imani ya kiislamu ,,Mwinyi na JK ambao walikuwa na uvumilivu mkubwa dhidi ya changamoto kama hizi. Na kwavile yeye ni mama basi tukajua mama atakuwa mvumilivu zaidi.
Sad amechagua upande wa uonevu.
Tutamkumbuka kama mama mwonevu na mtesaji.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Yupo sahihi sana kiupande wake.
Wahisani wasiposaidia haumii Samia, Tundu Lissu wala Majaliwa watakaoumia ni wale wenzangu na mimi.

Kifupi Lissu ametaka makosa ya CCM wawajibishwe wananchi.
 
hahahahahaha huu upumbavu ndio mliokuwa mnautafuta.....mngewajua vizuri hao mnaowaita wahisani wanaoisadia Tanzania basi mngekaa kimya tu....TL anaongea haya halafu eti ndio alikuwa anataka Urais kwa utoto na ujinga kushindwa hata kuread between the lines...
 
Hamna muhisani anayemsikiliza Lissu, wanajua ana njaa.
 
Lissu anarudia tena kuwaomba wahisani watunyime pesa?😂😂😂😂😂

Mh Rais, kamatilia hapohapo!
 
Katiba bora itatupa viongozi bora. Very simple.
Tatizo siyo katiba mzee, tatizo watu! Bible pamoja na uzuri na maonyo yake yote lakini bado kuna makasisi wanabaka! Hii katiba iliyopo tu ina mazuri mengi mnoo, je yanafuatwa? Hapana
 

Imebidi nicheke tu,Mkuu unacomment kama unawasimulia watoto wa kindergaten hadithi.Hapa ni watu wazima na akili zetu hebu acha kutupigia blah blah blah za hadithi zako za kufikirika.
 


Mkuu mimi niliposikia kuwa inasemekana kuwa Kikwete ni role model wa Mama SSH nikajua mambo yatakwenda vizuri kwa maridhiano na kustahamiliana kama enzi za uongozi wa Kikwete, kumbe sivyo kabisa !

Kikwete he is a gentleman ! Hakika anajua sana kufanyakazi na watu wenye hulka mbalimbali.

Mshauri wa Kikwete na Kikwete mwenyewe walijua sana ku-deal na watu wa Kaliba za aina zote wakiwemo Wapinzani kwa amani na utulivu.

Haya yanayoendelea naamini Mzee Kikwete hajaombwa ushauri.

Naye alisema asipoombwa ushauri atabaki kimya!

Mungu amuweke, InshaAllah.
 
Jinga kabisa, wakati mna andamana na kumfanyia fujo kikwete kumbe mlikua mnakula nae?
Kwa hiyo fujo ma mtusi yale kwa kikwete yalikua ni posho yake?
Nidham imewapungua kabisa.

Kumbe demokrasia kwenu ni vurugu?
Basi hi ni zamu yenu kubananishwa.
 
Kwani hatuwezi kujitegemea?
Mwacheni atuchongee, Sisi ni matajiri. Tunajiweza kwa kila kitu
Lisu anataka watanzania wapate tabu ila hilo ni Dua la kuku. Hivi huko ubeligiji anajishughulisha na nini
 
Tatizo siyo katiba mzee, tatizo watu! Bible pamoja na uzuri na maonyo yake yote lakini bado kuna makasisi wanabaka! Hii katiba iliyopo tu ina mazuri mengi mnoo, je yanafuatwa? Hapana
Katiba ya sasa haijilindi yenyewe. Ulinzi wake upo mikononi mwa rais. Anaweza kufanya lolote na wala asiwajibishwe!

Katiba mpya (kama ya Kenya na Ghana ambazo sasa hivi zinapaa kiuchumi) zinajilinda zenyewe. Kila muhimili una nguvu yake. Chini ya katiba imara inayojilinda, nguli prof Assad asingeondolewa kwenye nafasi ya CAG kinyemela!
 
We jomba usiwe punguani. .kwani wahisani ndio wanafanya tynakula na kuishi. ..mbona sikuelewi sijui nani amekukaririsha watu wwngine mmeshakuwa mahayawani kwa kuwa tegemezi mpaka kufa. .mtajikomboa lini ifike siku na nyinyi muwe wahisani. .shwainnnnniii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…