"Kukataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu: Ishara ya IQ ndogo na Utumwa wa Shetani"

"Kukataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu: Ishara ya IQ ndogo na Utumwa wa Shetani"

Mungu angekuwepo sidhani kama hata ungehitaji kuanzisha uzi wa kuthibitisha uwepo wake.
 
Mawazo yako tu sio sheria! Unaweza kuongea lolote tu na muda unasonga ukale kande ulale
 
Kabisa hata mimi huwa namuona Kiranga na genge lake humu ni watu wenye akili au IQ ndogo sana.
 
Kabisa hata mimi huwa namuona Kiranga na genge lake humu ni watu wenye akili au IQ ndogo sana.
Uwepo wa watu wenye akili ndogo sana ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote hayupo.

Angekuwapo, kusingekuwa na ntu mwenye akili ndogo.

You just made my point.

But I don't think that you understand that you just made my point.

Kwa sababu una akili ndogo sana.
 
Uwepo wa watu wenye akili ndogo sana ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote hayupo.

Angekuwapo, kusingekuwa na ntu mwenye akili ndogo.

You just made my point.

But I don't think that you understand that you just made my point.

Kwa sababu una akili ndogo sana.
Sisi binadamu au niseme viumbe wote tuliopo hapa duniani kutokuwa homogenious haitupi tafsiri ya kwamba kuna mapungufu kwenye kazi ya uumbaji aliyoifanya Mungu kiasi kwamba mpaka iwe ni moja ya uthibitisho wa kutokuwepo kwake.

Binadamu/viumbe kutofautiana upeo/akili na utambuzi ndio asili yenyewe ambayo Mungu aliikusudia kuiweka kwenye kila alichokiumba.

Pamoja na hivyo binadamu wote tuna potentiality ya kufanya jambo lolote linalowezekana kibinadamu.
 
Dunia Ina watu wamepewa kipawa kidogo Cha kifikiri hawezi think out of box
Mpaka sasa binadamu amegundua 30% ya vitu vinavyopatikana kwenye hii universe na kizazi cha binadamu kimekuwepo mamilion ya miaka, sasa hivyo vingine ni nani havijuaye zaidi ya Mungu mwenyewe?
 
Sisi binadamu au niseme viumbe wote tuliopo hapa duniani kutokuwa homogenious haitupi tafsiri ya kwamba kuna mapungufu kwenye kazi ya uumbaji aliyoifanya Mungu kiasi kwamba mpaka iwe ni moja ya uthibitisho wa kutokuwepo kwake.

Binadamu/viumbe kutofautiana upeo/akili na utambuzi ndio asili yenyewe ambayo Mungu aliikusudia kuiweka kwenye kila alichokiumba.

Pamoja na hivyo binadamu wote tuna potentiality ya kufanya jambo lolote linalowezekana kibinadamu.
Sijasema tuwe homogeneous.

Hujaelewa hata nilichoandika.

Umefanya logical non sequitur fallacy.

Kwa sababu una akili ndogo.
 
Back
Top Bottom