"Kukataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu: Ishara ya IQ ndogo na Utumwa wa Shetani"

"Kukataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu: Ishara ya IQ ndogo na Utumwa wa Shetani"

Kiranga Infropreneur

Unajua ukiweza kuruhusu ufahamu wako kufikiri nje ya mipaka yake uliyoisoma au kuisikia kuna mengi mtu waweza kujifunza
Mungu muweza wa vyote, Aliumbaje binadamu wenye low IQ, wanao mkataa?

Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wenye high IQ, watakao mkubali?

Ni either Mungu huyo sio muweza wa yote au hayupo.
 
KICHAKA CHA AKILI DUNI: KUKATAA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU NI USHETANI
Haiwezekani dunia hii kubwa, mataifa yenye nguvu, na maajabu yasiyoelezeka viwepo halafu bado mtu adai Mungu hayupo! Hili ni jambo linaloonesha upungufu wa akili (IQ) na kushindwa kuona ukweli wa wazi kabisa.
1. Historia Inashuhudia
Kuanzia enzi za kale, watu wameamini Mungu. Manabii wamekuja, wamehubiri, na wamethibitisha uwepo Wake kwa miujiza. Je, yote haya ni hadithi za kubuni? au upinzani kutoka kwa watu wenye IQ ndogo.

2. Ushirikina Upo Lakini Mungu Hayupo?
Wale wanaosema Mungu hayupo bado wanaamini uchawi na nguvu za giza. Ikiwa nguvu hizo za giza zipo, je, huoni kuwa kuna nguvu ya mwanga inayozishinda?

3. Maombi Yanaponya
Watu wameombewa na wakapona magonjwa ambayo hata sayansi ilishindwa kueleza. Wapo waliokaribia kufa, lakini maombi yamewarejesha. Huu ni ushahidi wa moja kwa moja kwamba Mungu yupo.

4. Uislamu, Ibada, na Kufunga
Kwa nini mamilioni ya watu hufunga Ramadhani, huswali, na kuabudu kila siku kwa nidhamu ya hali ya juu? Kwa nini dini kubwa duniani zina mfumo thabiti wa ibada? Je, unadhani hii yote ni bahati mbaya? au mtazamo wa watu wenye IQ ndogo hushindwa kufikiri.

5. "If something can be proved, then that thing is absolutely correct."
Ushahidi wa uwepo wa Mwenyezi Mungu upo kila mahali, ila upofu wa kiakili na kiroho huwazuia watu kuutambua. Kukataa ukweli huu ni sawa na kusema jua halipo kwa sababu tu umefumba macho!

6. Hisia za Kiroho Ndani ya Mwanadamu
Kila mtu kwa asili ana hisia za kutafuta maana ya maisha. Hili linaonesha kuwa ndani ya roho ya binadamu kuna kitu kinachomtamanisha Muumba wake.


7. Dini na Mfumo wa Ibada Uliodumu Karne Nyingi
Tangu enzi za mababu zetu, watu wamekuwa wakiabudu nguvu kubwa isiyoonekana. Kuabudu, kufunga, na sala vimekuwepo kwa miaka mingi na vinaendelea kudumu.

8. Ushirikina na Nguvu za Giza
Ikiwa nguvu za giza na uchawi zipo, basi kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda. Na hiyo ni nguvu ya Mungu. Katika kila dini na tamaduni, watu huamini nguvu zisizoonekana. Hili linathibitisha kuwa kuna ulimwengu wa kiroho unaodhibitiwa na Mwenyezi Mungu.

9. Uwepo wa Ulimwengu na Utaratibu Wake
Ulimwengu haukujitokeza tu kutoka kwenye "kitu kisicho na mpangilio." Sayansi inakiri kuwa kila kitu kilitokana na chanzo fulani, na huo ni Uwezo wa Mungu. Sayari, jua, mwezi, na nyota zote zina mpangilio maalum na hazigongani. Ni nani anayezidhibiti?


10. Muujiza wa Uhai
Binadamu, wanyama, na mimea vyote vina mfumo wa kushangaza unaofanya kazi kwa usahihi mkubwa. Damu inapita mwilini, moyo unadunda bila kupumzika, ubongo unafanya kazi bila kushindwa. Yote haya hayawezi kuwa matokeo ya bahati mbaya

Kwa Nini Tunasema Una IQ Ndogo Ukikataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu?
1. Unapuuza Ukweli Ulio Wazi:
Ulimwengu una mpangilio kamili, lakini bado unadai haujaumbwa na nguvu yoyote.

2. Sayansi Hata Yenyewe Haikanushi Mungu: Wanasayansi wengi wanakiri kuwa kuna nguvu kubwa inayoendesha vitu, lakini bado unakataa.

3. Unakubali Ushirikina Lakini Hukubali Mungu: Unaamini uchawi na nguvu za giza zipo, lakini hukubali kuwa kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda.

4. Unakataa Historia ya Manabii: Manabii wengi wamekuja na ushahidi wa Mungu, lakini bado huamini.

5. Unapinga Maombi Yanavyoponya: Watu wamepona kupitia maombi, lakini bado unashikilia msimamo wako wa kukataa Mungu.

6. Unapuuza Miujiza ya Maumbile: Jinsi mwili wa binadamu unavyofanya kazi, mpangilio wa dunia, na viumbe vya ajabu vyote ni ushahidi wa Muumba.

7. Huwezi Kutoa Maelezo Mbadala: Unakataa Mungu lakini huwezi kueleza kwa ufasaha nani aliyeumba vyote.

8. Unajidanganya Mwenyewe: Unasema Mungu hayupo, lakini unapopatwa na shida kubwa, unamuita Yeye kwa msaada.

9. Unadhani Wewe Ndiye Mwerevu Kuliko Wengine Wote: Mamilioni ya watu wanaamini Mungu, lakini unadhani wao wote wamekosea na wewe peke yako uko sahihi.


Kwa hiyo, mwenye IQ ndogo ndiye atakayekataa uwepo wa Mungu, na mwenye akili timamu atatafakari, kuelewa, na kukubali ukweli dhahiri wa uwepo wa Muumba wa vyote!
Tena ni vichwa panzi kweli kweli
 
Mpaka sasa binadamu amegundua 30% ya vitu vinavyopatikana kwenye hii universe na kizazi cha binadamu kimekuwepo mamilion ya miaka, sasa hivyo vingine ni nani havijuaye zaidi ya Mungu mwenyewe?
Kutokana na akili ndogo za raia wengi watakubali hakun Mungu wakati ndugu zao wameponywa huko, wengin ni wachawi, wametabiriwa ukweli
Mungu muweza wa vyote, Aliumbaje binadamu wenye low IQ, wanao mkataa?

Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wenye high IQ, watakao mkubali?

Ni either Mungu huyo sio muweza wa yote au hayupo.
Una low IQ kaka
 
Sijasema tuwe homogeneous.
Nimekuelewa vizuri sana, sema wewe kwa upeo wako ambo flexible ndio hujanielewa... nilichokimaanisha hasa kutokulingana akili/upeo/ufahamu sio uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu nimetumiq neno "homogenious" hili kurahisisha unielewe kwa haraka, hebu soma uelewe sio usome halafu ukimbilie kujibu.
Hujaelewa hata nilichoandika.

Umefanya logical non sequitur fallacy.
Wewe unasumbuliwa kitu kimoja kinaitwa dunniny kruger effects.
Na argument yangu iko so valid wala hakuna fallacy hapo.
Kwa sababu una akili ndogo.
Siwezi kuwa na akili ndogo, wenye akili ndogo ni nyie mna question kila status quo ya maisha yetu halafu mkikosa majibu mnayoyataka mnahitimisha Mungu hayupo.
 
Kutokana na akili ndogo za raia wengi watakubali hakun Mungu wakati ndugu zao wameponywa huko, wengin ni wachawi, wametabiriwa ukweli

Una low IQ kaka
Hakika kaka, kuna maswali ambao wao wenyewe hawana majibu na kushindwa kwao kupata majibu ya maswali hayo, basi ndio wanatengeneza hitimisho kuwa Mungu hayupo.

Mfano kama Kiranga huwa anataka umpe chanzo cha Mungu ni nini hasa, ni akili hiyo kweli?
 
Nimekuelewa vizuri sana, sema wewe kwa upeo wako ambo flexible ndio hujanielewa... nilichokimaanisha hasa kutokulingana akili/upeo/ufahamu sio uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu nimetumiq neno "homogenious" hili kurahisisha unielewe kwa haraka, hebu soma uelewe sio usome halafu ukimbilie kujibu.

Wewe unasumbuliwa kitu kimoja kinaitwa dunniny kruger effects.
Na argument yangu iko so valid wala hakuna fallacy hapo.

Siwezi kuwa na akili ndogo, wenye akili ndogo ni nyie mna question kila status quo ya maisha yetu halafu mkikosa majibu mnayoyataka mnahitimisha Mungu hayupo.
Wewe ngumbaru hujui hata spelling za homogeneous. Jifunze spelling kwanz kanla ya kubishana na mimi..

Unasema umenielewa lakini hujasema umenielewa nini.

Wacha ujinga.
 
Kutokana na akili ndogo za raia wengi watakubali hakun Mungu wakati ndugu zao wameponywa huko, wengin ni wachawi, wametabiriwa ukweli

Una low IQ kaka
Kuwepo kwa watu wenye akili ndogo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Mungu huyo kuwepo na kuumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na watu wenye akili ndogo ni contradiction, ni contradiction yenye mutual exclusivity.

Ama watu wenye akili ndogo wapo na Mungu huyo hayupo.

Ama Mungu huyo yupo na watu hao wenye akili ndogo hawapo.

Watu wenye akili ndogo mpo, ndiyo nyie mnaoshindwa kuielewa hii contradiction yenye mutual exclusivity.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.
 
Hakika kaka, kuna maswali ambao wao wenyewe hawana majibu na kushindwa kwao kupata majibu ya maswali hayo, basi ndio wanatengeneza hitimisho kuwa Mungu hayupo.

Mfano kama Kiranga huwa anataka umpe chanzo cha Mungu ni nini hasa, ni akili hiyo kweli?
Kuwepo kwa watu wenye akili ndogo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Mungu huyo kuwepo na kuumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na watu wenye akili ndogo ni contradiction, ni contradiction yenye mutual exclusivity.

Ama watu wenye akili ndogo wapo na Mungu huyo hayupo.

Ama Mungu huyo yupo na watu hao wenye akili ndogo hawapo.

Watu wenye akili ndogo mpo, ndiyo nyie mnaoshindwa kuielewa hii contradiction yenye mutual exclusivity.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.

But of course, you may not know what a contradiction is, what mutual exclusivity is, and your bias and cognitive dissonance may prevent you to realize that your God does not exist.
 
Wewe ngumbaru hujui hata spelling za homogeneous. Jifunze spelling kwanz kanla ya kubishana na mimi..
Wewe ni kiazi mbatata mmoja hivi anayesumbuliwa na u-much knowing huna lolote, endelea kumkejeri aliyejikojolea wakati na wewe mbuzi umejinyea...nyau wewe.
Unasema umenielewa lakini hujasema umenielewa nini.
Hakuna ugumu wowote kwenye maelezo yako yasioeleweka, ila kwa ujuaji wako unaleta complications ambazo hazina ulazima ionekane sijakuelewa, na wewe ndio hujanielewa
Wacha ujinga.
Wewe sio tu ni mjinga, bali ni kinyungurusu mmoja unaejikuta unajua sana vitu wakati kichwa chako kina kamasi badala ya ubongo. Dalili moja wapo ya vinyungurugusu kama wewe ni kuacha kujadili kiini cha hoja na ku focus na vitu vidogo.
 
Wewe ni kiazi mbatata mmoja hivi anayesumbuliwa na u-much knowing huna lolote, endelea kumkejeri aliyejikojolea wakati na wewe mbuzi umejinyea...nyau wewe.

Hakuna ugumu wowote kwenye maelezo yako yasioeleweka, ila kwa ujuaji wako unaleta complications ambazo hazina ulazima ionekane sijakuelewa, na wewe ndio hujanielewa

Wewe sio tu ni mjinga, bali ni kinyungurusu mmoja unaejikuta unajua sana vitu wakati kichwa chako kina kamasi badala ya ubongo. Dalili moja wapo ya vinyungurugusu kama wewe ni kuacha kujadili kiini cha hoja na ku focus na vitu vidogo.
Huwezi kujadili hoja ya contradiction ya mutual exlusivity.

Unanijadili mimi kwa ad hominem logical fallacy.

Nakupeleka ignore list. Kuanzia hapa sitaona uharo unaoandika.

Kwa faida ya wengi wasiotaka kutukanana, nakupeleka ignore kist.

Umeangusha viwango vya mazungumzo na kupeleka majadiliano haya kwenye kutukanana.
 
Wewe ni kiazi mbatata mmoja hivi anayesumbuliwa na u-much knowing huna lolote, endelea kumkejeri aliyejikojolea wakati na wewe mbuzi umejinyea...nyau wewe.

Hakuna ugumu wowote kwenye maelezo yako yasioeleweka, ila kwa ujuaji wako unaleta complications ambazo hazina ulazima ionekane sijakuelewa, na wewe ndio hujanielewa

Wewe sio tu ni mjinga, bali ni kinyungurusu mmoja unaejikuta unajua sana vitu wakati kichwa chako kina kamasi badala ya ubongo. Dalili moja wapo ya vinyungurugusu kama wewe ni kuacha kujadili kiini cha hoja na ku focus na vitu vidogo.
Huyu Kiranga ana low IQ mkuu anaweza kutueleza beginning of human and the whole universe
 
Yani kufanya maombi na kusubiri miujiza ni high IQ? Yani mwamposa ni genius na Issac Newton ni moron? Tuna matatizo makubwa sana wabongo sio ajabu kutuona nyuzi tuzipendazo za kula kimasihara, kumsurprise x anayetaka kupasha kiporo, simba na yanga na uchawi wao ndizo zinazochangiwa sana! National embecility prevails
 
Yani kufanya maombi na kusubiri miujiza ni high IQ? Yani mwamposa ni genius na Issac Newton ni moron? Tuna matatizo makubwa sana wabongo sio ajabu kutuona nyuzi tuzipendazo za kula kimasihara, kumsurprise x, simba na yanga na uchawi ndizo zinazochangiwa sana! National embecility prevails
Tesla alikuwa mcha Mungu na ana high IQ watu kama Friedrich Nietzsche alikuwa anajikuta na theory zake ila mwamba ni kondoo tu
 
Tesla alikuwa mcha Mungu na ana high IQ watu kama Friedrich Nietzsche alikuwa anajikuta na theory zake ila mwamba ni kondoo tu

Unaweza kujustify? Au yeleyele ya petro na yohana? Ya kufikirika tu! Tukakate viuno na diamond then twende kwa mwamposa ndio uwezo wetu ulipoishia hatuna mchango wowote wa maana kwa maendeleo ya dunia hata hizo imani tumeletewa tu na magenius wa sanaa then tunajifanya tuna high iq kukariri vimistari vya kuruani na biblia fiction tupu
 
Huyu Kiranga ana low IQ mkuu anaweza kutueleza beginning of human and the whole universe
Kuwepo mtu mwenye low IQ ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Kama kweli nina low IQ hilo linaonesha huyo Mungu hayupo.

Huelewi wapi?
 
Kwanza kabisa naona umeikosea sana demographic isiyoamini Mungu, hawa Watu sio kwamba wamejitakia iwe hivyo; mapito yao Katika maisha yamewapeleka katika huo mtazamo

Pili, sichukulii kukosa Imani juu ya uwepo wa Mwenyezi Mungu ni symptom ya low IQ, nachukulia situation hii kwamba mtu ana IQ kubwa maana "Kajiuliza Maswali" (low IQ kwenye Imani haziulizagi maswali bali zina tii tu)

Imani juu ya Mwenyezi Mungu hailazimishwi na wala haikaririshwi (wengi wamekariri),

Mwenyezi Mungu anajidhihirisha kama matokeo ya experience ya muda mrefu na tafakari ya maisha

Nenda kaishi na teja (ambaye haamini Mungu) mtaani afu uje uniambie haamini Mungu kwasababu ana low IQ
 
Back
Top Bottom