Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
We mwenye kubwa una mchango gani kwa dunia zaidi ya madufi ya hapa jamvini? Kama we ndo una iq kubwa bora nibaki na ndogo tu!Kaka una IQ ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mwenye kubwa una mchango gani kwa dunia zaidi ya madufi ya hapa jamvini? Kama we ndo una iq kubwa bora nibaki na ndogo tu!Kaka una IQ ndogo
Mungu muweza wa vyote, Aliumbaje binadamu wenye low IQ, wanao mkataa?Kiranga Infropreneur
Unajua ukiweza kuruhusu ufahamu wako kufikiri nje ya mipaka yake uliyoisoma au kuisikia kuna mengi mtu waweza kujifunza
Tena ni vichwa panzi kweli kweliKICHAKA CHA AKILI DUNI: KUKATAA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU NI USHETANI
Haiwezekani dunia hii kubwa, mataifa yenye nguvu, na maajabu yasiyoelezeka viwepo halafu bado mtu adai Mungu hayupo! Hili ni jambo linaloonesha upungufu wa akili (IQ) na kushindwa kuona ukweli wa wazi kabisa.
1. Historia Inashuhudia
Kuanzia enzi za kale, watu wameamini Mungu. Manabii wamekuja, wamehubiri, na wamethibitisha uwepo Wake kwa miujiza. Je, yote haya ni hadithi za kubuni? au upinzani kutoka kwa watu wenye IQ ndogo.
2. Ushirikina Upo Lakini Mungu Hayupo?
Wale wanaosema Mungu hayupo bado wanaamini uchawi na nguvu za giza. Ikiwa nguvu hizo za giza zipo, je, huoni kuwa kuna nguvu ya mwanga inayozishinda?
3. Maombi Yanaponya
Watu wameombewa na wakapona magonjwa ambayo hata sayansi ilishindwa kueleza. Wapo waliokaribia kufa, lakini maombi yamewarejesha. Huu ni ushahidi wa moja kwa moja kwamba Mungu yupo.
4. Uislamu, Ibada, na Kufunga
Kwa nini mamilioni ya watu hufunga Ramadhani, huswali, na kuabudu kila siku kwa nidhamu ya hali ya juu? Kwa nini dini kubwa duniani zina mfumo thabiti wa ibada? Je, unadhani hii yote ni bahati mbaya? au mtazamo wa watu wenye IQ ndogo hushindwa kufikiri.
5. "If something can be proved, then that thing is absolutely correct."
Ushahidi wa uwepo wa Mwenyezi Mungu upo kila mahali, ila upofu wa kiakili na kiroho huwazuia watu kuutambua. Kukataa ukweli huu ni sawa na kusema jua halipo kwa sababu tu umefumba macho!
6. Hisia za Kiroho Ndani ya Mwanadamu
Kila mtu kwa asili ana hisia za kutafuta maana ya maisha. Hili linaonesha kuwa ndani ya roho ya binadamu kuna kitu kinachomtamanisha Muumba wake.
7. Dini na Mfumo wa Ibada Uliodumu Karne Nyingi
Tangu enzi za mababu zetu, watu wamekuwa wakiabudu nguvu kubwa isiyoonekana. Kuabudu, kufunga, na sala vimekuwepo kwa miaka mingi na vinaendelea kudumu.
8. Ushirikina na Nguvu za Giza
Ikiwa nguvu za giza na uchawi zipo, basi kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda. Na hiyo ni nguvu ya Mungu. Katika kila dini na tamaduni, watu huamini nguvu zisizoonekana. Hili linathibitisha kuwa kuna ulimwengu wa kiroho unaodhibitiwa na Mwenyezi Mungu.
9. Uwepo wa Ulimwengu na Utaratibu Wake
Ulimwengu haukujitokeza tu kutoka kwenye "kitu kisicho na mpangilio." Sayansi inakiri kuwa kila kitu kilitokana na chanzo fulani, na huo ni Uwezo wa Mungu. Sayari, jua, mwezi, na nyota zote zina mpangilio maalum na hazigongani. Ni nani anayezidhibiti?
10. Muujiza wa Uhai
Binadamu, wanyama, na mimea vyote vina mfumo wa kushangaza unaofanya kazi kwa usahihi mkubwa. Damu inapita mwilini, moyo unadunda bila kupumzika, ubongo unafanya kazi bila kushindwa. Yote haya hayawezi kuwa matokeo ya bahati mbaya
Kwa Nini Tunasema Una IQ Ndogo Ukikataa Uwepo wa Mwenyezi Mungu?
1. Unapuuza Ukweli Ulio Wazi: Ulimwengu una mpangilio kamili, lakini bado unadai haujaumbwa na nguvu yoyote.
2. Sayansi Hata Yenyewe Haikanushi Mungu: Wanasayansi wengi wanakiri kuwa kuna nguvu kubwa inayoendesha vitu, lakini bado unakataa.
3. Unakubali Ushirikina Lakini Hukubali Mungu: Unaamini uchawi na nguvu za giza zipo, lakini hukubali kuwa kuna nguvu ya mwanga inayoyashinda.
4. Unakataa Historia ya Manabii: Manabii wengi wamekuja na ushahidi wa Mungu, lakini bado huamini.
5. Unapinga Maombi Yanavyoponya: Watu wamepona kupitia maombi, lakini bado unashikilia msimamo wako wa kukataa Mungu.
6. Unapuuza Miujiza ya Maumbile: Jinsi mwili wa binadamu unavyofanya kazi, mpangilio wa dunia, na viumbe vya ajabu vyote ni ushahidi wa Muumba.
7. Huwezi Kutoa Maelezo Mbadala: Unakataa Mungu lakini huwezi kueleza kwa ufasaha nani aliyeumba vyote.
8. Unajidanganya Mwenyewe: Unasema Mungu hayupo, lakini unapopatwa na shida kubwa, unamuita Yeye kwa msaada.
9. Unadhani Wewe Ndiye Mwerevu Kuliko Wengine Wote: Mamilioni ya watu wanaamini Mungu, lakini unadhani wao wote wamekosea na wewe peke yako uko sahihi.
Kwa hiyo, mwenye IQ ndogo ndiye atakayekataa uwepo wa Mungu, na mwenye akili timamu atatafakari, kuelewa, na kukubali ukweli dhahiri wa uwepo wa Muumba wa vyote!
Kutokana na akili ndogo za raia wengi watakubali hakun Mungu wakati ndugu zao wameponywa huko, wengin ni wachawi, wametabiriwa ukweliMpaka sasa binadamu amegundua 30% ya vitu vinavyopatikana kwenye hii universe na kizazi cha binadamu kimekuwepo mamilion ya miaka, sasa hivyo vingine ni nani havijuaye zaidi ya Mungu mwenyewe?
Una low IQ kakaMungu muweza wa vyote, Aliumbaje binadamu wenye low IQ, wanao mkataa?
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wenye high IQ, watakao mkubali?
Ni either Mungu huyo sio muweza wa yote au hayupo.
Watu wengi wana low IQ na kutokuwa na maelezo ya kutoshaTena ni vichwa panzi kweli kweli
Nimekuelewa vizuri sana, sema wewe kwa upeo wako ambo flexible ndio hujanielewa... nilichokimaanisha hasa kutokulingana akili/upeo/ufahamu sio uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu nimetumiq neno "homogenious" hili kurahisisha unielewe kwa haraka, hebu soma uelewe sio usome halafu ukimbilie kujibu.Sijasema tuwe homogeneous.
Wewe unasumbuliwa kitu kimoja kinaitwa dunniny kruger effects.Hujaelewa hata nilichoandika.
Umefanya logical non sequitur fallacy.
Siwezi kuwa na akili ndogo, wenye akili ndogo ni nyie mna question kila status quo ya maisha yetu halafu mkikosa majibu mnayoyataka mnahitimisha Mungu hayupo.Kwa sababu una akili ndogo.
Hakika kaka, kuna maswali ambao wao wenyewe hawana majibu na kushindwa kwao kupata majibu ya maswali hayo, basi ndio wanatengeneza hitimisho kuwa Mungu hayupo.Kutokana na akili ndogo za raia wengi watakubali hakun Mungu wakati ndugu zao wameponywa huko, wengin ni wachawi, wametabiriwa ukweli
Una low IQ kaka
Wewe ngumbaru hujui hata spelling za homogeneous. Jifunze spelling kwanz kanla ya kubishana na mimi..Nimekuelewa vizuri sana, sema wewe kwa upeo wako ambo flexible ndio hujanielewa... nilichokimaanisha hasa kutokulingana akili/upeo/ufahamu sio uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu nimetumiq neno "homogenious" hili kurahisisha unielewe kwa haraka, hebu soma uelewe sio usome halafu ukimbilie kujibu.
Wewe unasumbuliwa kitu kimoja kinaitwa dunniny kruger effects.
Na argument yangu iko so valid wala hakuna fallacy hapo.
Siwezi kuwa na akili ndogo, wenye akili ndogo ni nyie mna question kila status quo ya maisha yetu halafu mkikosa majibu mnayoyataka mnahitimisha Mungu hayupo.
Kuwepo kwa watu wenye akili ndogo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Kutokana na akili ndogo za raia wengi watakubali hakun Mungu wakati ndugu zao wameponywa huko, wengin ni wachawi, wametabiriwa ukweli
Una low IQ kaka
Kuwepo kwa watu wenye akili ndogo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Hakika kaka, kuna maswali ambao wao wenyewe hawana majibu na kushindwa kwao kupata majibu ya maswali hayo, basi ndio wanatengeneza hitimisho kuwa Mungu hayupo.
Mfano kama Kiranga huwa anataka umpe chanzo cha Mungu ni nini hasa, ni akili hiyo kweli?
Wewe ni kiazi mbatata mmoja hivi anayesumbuliwa na u-much knowing huna lolote, endelea kumkejeri aliyejikojolea wakati na wewe mbuzi umejinyea...nyau wewe.Wewe ngumbaru hujui hata spelling za homogeneous. Jifunze spelling kwanz kanla ya kubishana na mimi..
Hakuna ugumu wowote kwenye maelezo yako yasioeleweka, ila kwa ujuaji wako unaleta complications ambazo hazina ulazima ionekane sijakuelewa, na wewe ndio hujanielewaUnasema umenielewa lakini hujasema umenielewa nini.
Wewe sio tu ni mjinga, bali ni kinyungurusu mmoja unaejikuta unajua sana vitu wakati kichwa chako kina kamasi badala ya ubongo. Dalili moja wapo ya vinyungurugusu kama wewe ni kuacha kujadili kiini cha hoja na ku focus na vitu vidogo.Wacha ujinga.
Huwezi kujadili hoja ya contradiction ya mutual exlusivity.Wewe ni kiazi mbatata mmoja hivi anayesumbuliwa na u-much knowing huna lolote, endelea kumkejeri aliyejikojolea wakati na wewe mbuzi umejinyea...nyau wewe.
Hakuna ugumu wowote kwenye maelezo yako yasioeleweka, ila kwa ujuaji wako unaleta complications ambazo hazina ulazima ionekane sijakuelewa, na wewe ndio hujanielewa
Wewe sio tu ni mjinga, bali ni kinyungurusu mmoja unaejikuta unajua sana vitu wakati kichwa chako kina kamasi badala ya ubongo. Dalili moja wapo ya vinyungurugusu kama wewe ni kuacha kujadili kiini cha hoja na ku focus na vitu vidogo.
Huyu Kiranga ana low IQ mkuu anaweza kutueleza beginning of human and the whole universeWewe ni kiazi mbatata mmoja hivi anayesumbuliwa na u-much knowing huna lolote, endelea kumkejeri aliyejikojolea wakati na wewe mbuzi umejinyea...nyau wewe.
Hakuna ugumu wowote kwenye maelezo yako yasioeleweka, ila kwa ujuaji wako unaleta complications ambazo hazina ulazima ionekane sijakuelewa, na wewe ndio hujanielewa
Wewe sio tu ni mjinga, bali ni kinyungurusu mmoja unaejikuta unajua sana vitu wakati kichwa chako kina kamasi badala ya ubongo. Dalili moja wapo ya vinyungurugusu kama wewe ni kuacha kujadili kiini cha hoja na ku focus na vitu vidogo.
Tesla alikuwa mcha Mungu na ana high IQ watu kama Friedrich Nietzsche alikuwa anajikuta na theory zake ila mwamba ni kondoo tuYani kufanya maombi na kusubiri miujiza ni high IQ? Yani mwamposa ni genius na Issac Newton ni moron? Tuna matatizo makubwa sana wabongo sio ajabu kutuona nyuzi tuzipendazo za kula kimasihara, kumsurprise x, simba na yanga na uchawi ndizo zinazochangiwa sana! National embecility prevails
Tesla alikuwa mcha Mungu na ana high IQ watu kama Friedrich Nietzsche alikuwa anajikuta na theory zake ila mwamba ni kondoo tu
Kuwepo mtu mwenye low IQ ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.Huyu Kiranga ana low IQ mkuu anaweza kutueleza beginning of human and the whole universe